Mambo 8 Ya Kutarajia Unapodeti Mwanaume Mzee Kukuliko


Si jambo lisilokuwa la kawaida. Tumekuwa tukiona wanawake wengi wakiingia katika mahusiano ya kimapenzi na wanaume ambao ni wakubwa kiumri kuwaliko. Kila mmoja huwa na sababu zake za kuamua kuingia katika mahusiano kama haya. Wengine wanaweza kusema wanaume wazee wanajua upendo zaidi, wengine wanaweza kuwa wamechoshwa na vijana na wengine labda wanaweza kujikuta katika mahusiano hayo kwa kuwa wanalenga hela.


Well, hayo ni mambo ambayo hufanyika. Kile kitu ambacho tunajua ni kuwa kila mtu anakuwa na maamuzi yake na hatuwezi kuamulia mtu. Kando na hilo, kama umejikuta ama unataka kuingia katika mahusiano na wanaume ambao wamekushinda umri, kuna mambo ambayo unatarajiwa kukumbana nayo.

Leo tumekuandikia mambo ambayo utakumbana nayo katika mahusiano haya na ni kama yafuatayo:

#1 Mawasiliano bora.
Wanaume wazee wako sawa ikija katika maswala ya kuwasiliana. Hii ni kwa sababu mtu mzee anachukulia mazungumzo katika hali ya kiubinafsi. Hawashindwi kueleza matatizo yao wala huwa hawafichi mambo.

So kama umeamua kudeti mwanaume mwenye umri mkubwa kukuliko, basi weka katika akili yako kuwa mahusiano yenu hayataathirika na mawasiliano.

#2 Atakuongoza.
Kwa kuwa mwanaume huyu amekuwa na maisha marefu na ameona mengi, atakuwa mstari wa mbele kukuongoza. Wakati wowote ambao utakuwa na changamoto, yeye atakuwa yuko na wewe kukuelezea jinsi ya kukabiliana na matatizo yako. [Soma: Mambo ya kufanya ili kiwaepuka wanaume wanakuchukiza]

#3 Unaweza kuwa huru.
Huu ndio ukweli, ukiwa unadeti mwanaume mzee kukuliko, utakuwa na nafasi nyingi ya kuwa huru. Kwa kuwa anayajua maisha, hatojaribu kubadilisha tabia zako ama mambo ambayo umeyazoea.

#4 Atakupa mahaba ya kutosha.
Hapa hakuhitaji maelezo ya kina. Tunajua kuwa umri humpa mtu hekima na ujanja. Hivyo ikija katika maswala ya mahaba, wanaume wazee waliokuzidi umri watakuwa wamekolea. Mwache akufundishe maujanja ambayo bado hujawahi kujua.

#5 Hakuna mashindano.
Ukiwa unadeti mwanaume ambaye mko sambamba kiumri ama mumepishana kidogo, kwa kawaida kunakuwa na mashindano na mara nyingi kunakuwa na wivu ndani yake.

Lakini kama unadeti mwanaume aliyekuzidi umri, hii huwa tofauti. Mara nyingi yeye huwa na maisha tofauti kabisa na yale yako. Hivyo inakuwa rahisi kwa nyinyi wawili kusikizana na pia kusaidiana sehemu ambazo kunakuwa na changamoto. [Soma: Jinsi ya kumpata mwanaume yeyote bila tatizo]

#6 Subra.
Tunajua wanawake jinsi walivyo. Wanapenda kujivuta kwa kila mambo. Pia wanakuwa si wasikivu wakati mwingine. Uzuri ni kuwa ukiwa unadeti mwanaume mzee kukuliko ni sahali kwako. Wanaume aina hii wanakuwa na subra zaidi ya wanaume wowote. So ukichelewa kidogo kwenda deti ataelewa. Ukichelewa kupika wakati wake pia atafahamu. Wanakuwa na ule msemo wa ‘yataka timing kumkata kobe kichwa’

#7 Anafuata utaratibu.
Wanawake hupenda wanaume ambao wanakuwa na utaratibu. Wanawake wangependa wanaume ambao kama ataonyesha upendo basi atauonyesha upendo huo bila kusita hata siku moja. Tatizo ni kuwa wanaume wengi hawawezi kuwa na huo utaratibu. Lakini si mwisho hapo, hili kundi la wanaume wazee ama waliokupita umri wanajua vyema kufuata utaratibu huu. [Soma: Jinsi ya kuongea na mwanaume aliyekupendeza]

#8 Wanayafanya maisha yako kuwa rahisi.
Kudeti mwanaume aliyekupita umri kuna raha, utakuwa na uhakika ya kuwa maisha yako yatakuwa rahisi. Kila kitu ambacho ungetamani akufanyie basi atakutimizia bila shida yeyote. Pia atakuwa mstari wa mbele kukulinda kutokana na tishio lolote lile ambalo litajitokeza.

Ok. Haya ni baadhi ya mambo ambayo unapaswa kutarajia iwapo utaamua kudeti mwanaume aliyekushinda umri.
Psss! Lakini pia uchunge usije ukashikwa katika fumanizi manake wanaume wengi kama hawa huwa wameoa na huongoza katika kuwa na michepuko. Tafuta ambaye yuko singo.

2 comments:

  1. Ningependa kumpendekeza mmoja wa wazimu wanaoheshimika zaidi wa wakati wetu. Ni mtu ambaye amewasaidia watu wengi jijini wakati wa hali ngumu.

    Baadhi ya watu hata humwita "mungu mdogo" kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiroho na jinsi anavyowasaidia wale wanaomjia kwa ajili ya mwongozo.

    Unaweza kumtumia ujumbe kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe [email protected]

    Tafadhali zungumza naye kwa heshima na ueleze hali yako wazi, naye atajitahidi kukusaidia.

    Anatoa mwongozo wa kiroho na usaidizi kwa hali tofauti, ikiwa ni pamoja na:

    • Masuala ya mapenzi na uhusiano, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuungana tena na mpenzi wa zamani.

    • Kurejesha ndoa na mahusiano yenye matatizo.

    • Maombi na mila za kiroho kwa ajili ya ulinzi na mafanikio.

    • Tiba za mitishamba za kuponya VVU, saratani, malengelenge.

    • Maombi ya uzazi na usaidizi wa kiroho kwa wanandoa wanaotaka kupata mimba katika wiki chache.

    • Uwezo wa Telekinesis. Uwezo wa kubadilisha umbo.

    • Tambiko na maombi ya utajiri wa papo hapo.

    • Msaada wa kiroho katika hali ngumu kama vile kesi za mahakamani, kurejesha mali iliyopotea, na changamoto zingine za maisha.

    Watu wengi wamepokea msaada na mwongozo kupitia kazi yake ya kiroho.

    ReplyDelete
  2. Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.

    Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
    Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
    Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.

    Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
    Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na kufanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
    Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
    Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
    Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
    Nitaendelea kushukuru milele.
    Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi ili kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
    . Usaidizi wa kurejesha ndoa
    . Tamaduni za ujauzito ili kupata mimba
    . Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
    . Mwongozo na ulinzi wa kiroho
    . kutokuwa na uhakika wa ubaba au ubaba usio na sifa

    Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159

    [email protected]

    ReplyDelete

Jiunge na jamii yetu ya Facebook/App yetu ili uweze kutangamana na members na readers wetu wa Nesi Mapenzi ama ujitafutie mpenzi HAPA

Powered by Blogger.