Maswali 20 Ambayo Yatamnyegeza Mwanamke Ukimuuliza


Kama vyenye sisi hupenda kusema katika blog hii ya Nesi Mapenzi, kutongoza mwanamke ni sanaa, na ujuzi wa sanaa kuna raha yake. Unaweza kubadilisha mbinu tofauti tofauti ili kutimiza lengo lako ambalo ni kumshawishi mwanamke. Kumshawishi mwanamke kunahija ujanja mmoja tu ambao ni matamshi yako. [Soma: SMS 47 za mapenzi za kumnyegeza mwanamke]


Kuna njia tofauti tofauti ambazo unaweza kutumia kumshawishi mwanamke yeyote kuingia katika box lako. Hapa tumekurahishia kazi kwa kukuandalia maswali ishirini ambayo ukimuuliza mwanamke yeyote utamfanya azimie. Maswali haya unaweza kuyatumia mkiwa pamoja ama kama mwanamke anaweza kuhisi fedheha kiasi flani basi ni vyema zaidi kutumia maswali haya katika text, mtandaoni ama Whatsapp. [Soma: Jinsi ya kuuteka nyara moyo wa mwanamke]

Tumia maswali haya kumuuliza aidha mpenzi wako ama mwanamke yeyote yule ambaye huwa unamtongoza. Unaweza kuanza na swali lolote lile ilimradi uwe unachat na yeye muda wote. Hakikisha umetumia maswali nyakati za usiku ili uweze kupata matokeo mazuri.

1. Uko pekeako?
Swali hili linaeleweka kuuliza kama yuko pekeake na hana kitu cha kufanya nyumbani. Akijibu yuko pekeake. Mjibu kwa kumwambia kuwa unatamani ungekuwa uko na yeye pale alipo sasa.

2. Unafanya nini sahizi?
Fanya kumuuliza hivi kwa umakini ili ujue kama yuko huru ama vipi. Kama ana kazi basi itakuwa ni vigumu kwake kumakinika na mpango mzima. So hakikisha kuwa hayuko buzy. Wanawake wengi hupenda kusema kuwa wako kitandani hawana kitu cha kufanya. [Soma: Mambo muhimu ya kuzingatia wakati unapotongoza ukitumia ishara ya mwili (body language)]

3.Wapenda kupapaswa wakati umelala kwa kitanda?
Swali hili ni kama changamsha bongo kwake. Hii inatoa nafasi ya kuiweka akili yake kwa chat na kuanza kuongea maswala ya kimapenzi polepole bila kumfanya aingiwe na woga ama kushuku nia yako chafu.

4. Unavalia nini kama unaenda kulala/ umevalia nini sasa hivi?
Hili ni swali lenye shauku kwa mwanamke ambaye tayari amejilaza kwa kitanda. Hili ni swali la kibinafsi na bado halijatimiza kumfanya mwanamke kuingiwa na akili ya kusisimuliwa. Akitaja kile alichovali unafaa kumjibu kwa mfano: "Duh!, sahizi umenifanya nianze kukuwaza vile ambavyo umerembeka". [Soma: Jinsi ya kumpandisha nyege mwanamke kwa kukaa kando yake]

5. Hivi waona unarembeka / sexy zaidi ukivalia nguo gani?
Mfanye aanze kuongea mambo na nguo ambazo akizivaa zinamfanya akuwe sexy ama zinazomrembesha. Atajieleza vile alivyo yeye. Hapa utakuwa unamsoma akili yake iwapo anaweza kustahimili chat yako. Akitaja anapenda kuvaa kanga, jaribu kuichafua akili yake kwa kumuuliza iwapo amenyeshewa na mvua akiwa amevalia kanga(ama nguo yeyote) angejihisi vipi.

6. Ushawahi hata mara moja kumuona mtu mwengine akifanya ngono kwa bahati mbaya?
Swali kama hili linawaweka nyote katika hisia za kupandwa na nyege lakini mnaliweka swali hili kwa mtu wa tatu ili liwazuie mjiskie huru kuendeleza na chat yenu. [Soma: Mitandao maarufu ya kutafuta mapenzi]

7. Ushawahi kushikwa matiti na mtu yeyote kibahati mbaya wakati mmesimama mahali hadharani penye watu wengi?
Swali kama hili linaweza lisimshangaze mwanamke kwa sababu wanapitia mambo kama haya. Akikubali, mjibu ungetamani kuwa ni wewe umemshika kibahati mbaya. Akijibu kwa kucheka ujue mchezo unaenda sambamba.

8. Ushawahi kufanya ngono na jamaa kwa sababu ya kuwa ulikuwa na nyege?
Fanya kumfahamu kama ni mwanamke ambaye anaweza kufanya ngono na mwanaume wakati ambapo anapoingiwa na nyege. Wanawake wengi wanaweza kukataa kujibu hili swali lakini ukiona amekujibu vizuri basi inaonyesha kuwa mwanamke huyu yuko tayari kujibu swali lolote lile ambalo umemwandalia. [Soma: Dalili saba za kuonyesha kama mwanamke anakupenda].

9. Kwa bahati mbaya ukimwona mwanaume akiwa uchi ungependa kuona sehemu gani yake ya mwili kuanzia mabega kushuka chini?
Sasa hapa umeanza kuwa mkorofi kwa kuanza kumuuliza maswali ya kiujanja. Hii itamfanya yeye aonekane ndiye anatumia maneno machafu na wala si wewe.

10. Unapenda gani kati ya boxer ama chupi?
Hili ni swali na kumchanganya tu. Akikujibu anapenda boxer mwambie umevalia nini. Hapa kutamfanya aanze kufikiria vile umevalia. Ataanza kukuwaza ukiwa umevalia boxer ama chupi pekee.

11. Siri yako ni ipi ya kumpagawisha mwanaume kihisia?
Kwa kumuuliza hivi utamfanya yeye kufikiria akifanya mapenzi na mwanaume na atakuwa akikuelezea. Hii itamfanya yeye kuingiwa na mawazo ya ngono. Wakati uo huo anaweza kukueleza zaidi kuhusu kwa nini yeye ni bingwa wa kupagawisha mtu. [Soma: Mbinu ya kumkontrol mwanamke kama rimoti]

12. Kama kuna sehemu ambayo mwanaume anayoweza kukugusa na kukufanya kuingiwa na unyevu ingekuwa ni ipi?
Hili ni swali la moja kwa moja ambalo litamfanya kupandwa na kuingiwa na nyege. Kama atalijibu na ukweli wake wote, basi fahamu ya kuwa atakuwa amepandwa na nyege.

13. Je ukipapaswa mwili mzima unaweza kuingiwa na unyevu?
Wanawake wengi wakipapaswa vizuri kwa kawaida huingiwa na unyevu.  Hivyo unaweza kumjibu kuwa wewe una ustadi wa aina hio so ukikutana na yeye hilo ndilo jambo la kwanza la kumfanya ili kumsisimua.

14. Kama nimekupiga busu kwa bahati mbaya wakati nakuaga, utanichukulia vibaya?
Swali kama hili litamfanya kuanza kufikiria busu lako kama lingekuwaje.[Soma: Jinsi ya kumvutia mwanamke akupende]

15. Mwili wangu ungeuona wa kuvutia ukiwa na manywele ama ukiwa umenyolewa?
Swali kama hili fasta litampa taswira ya wewe ukiwa uchi kwa madakika fulani akikuona ukiwa na manywele ama umenyolewa.

16. Kama wataka kufanya mapenzi na mwanaume ungependa wewe kuanza ama yeye?
Swali hili litamfanya afikirie akiwa uchi tayari kufanya ngono.

17. Kitu gani mwanaume anachofaa kukufanyia ili uingiwe na unyevu?
Hapa unaingia direct kwa swali ambalo ni tamu. Akikujibu vizuri unafaa urudie tena swali la 12 ili apate kukuelezea kwa kina. [Soma: SMS 20+ za kufanya maongezi yako na mwanamke yavutie]

18. Kama ningekuwa nakunongonezea maswali haya yote kwa sikio lako, je ningekusisimua kihisia?
Kama umeifanya hii chat imeenda vizuri, kufikia sasa inafaa kuwa huyo mwanamke ameingiwa na unyevu kitambo. So kwako ni kumsikia mwenyewe kama atakujibu nini.

19. Kama haungekuwa na boyfriend, je mimi na wewe tungeweza kufaana? ? Kama ningekuwa na wewe sahizi tungeweza kulana dende?
Swali kama hili laweza kukufanya ulazwe kwa kitanda, lakini hili swali la mwisho ndio litafunga mchezo.[Soma: Jinsi ya kuuhepa mtego wa mwanamke umpendaye kuwa rafiki yako]

20. Kama mwanaume yeyote muda huu angekuja sehemu unayoishi na kufanya ngono na wewe ungeipenda?
Usijizungumze kuhusu wewe wakati unapomuulizwa maswali kama haya. Lazima uhakikishe ya kuwa anakutaka. Akijibu 'ndio' kimbia fasta kushinda fastjet hadikwa nyumba anayoishi. La sivyo, hakikisha kutumia mbinu nyingine za ushawishi hadi atakapokuruhusu uende nyumbani kwake. [Soma: Mada za kuongea na mwanamke ambazo zitakufanya akuchukie milele]



15 comments:

Jiunge na jamii yetu ya Facebook/App yetu ili uweze kutangamana na members na readers wetu wa Nesi Mapenzi ama ujitafutie mpenzi HAPA

Powered by Blogger.
##valentine ##valentine