Mbinu Za Kumchokora Mwanamke Kihisia


Je una ndoto ya kutaka kuwa na nguvu ambazo zitaweza kuwafanya wanawake wakuandame na kukupigania kila wakati? Ijapokuwa hii inaweza kuwa ndoto kwa wanaume wengi kule nje, wanaume wengi wanadhania kuwa jambo kama hili haliwezekani katika maisha ya kawaida kama hauna umbo la kuvutia ama pesa za kuwahonga wanawake. Huu hauna ukweli wowote.

Kupata wanawake wakuandame mara kwa mara ni ndoto ya kila mwanaume. Na ni haki yako ya kujua kutimiza jambo hili.


Ukiwa unajua mbinu za hakika za kutumia wakati unapotongoza, unaweza kumfanya mwanamke wa ndotoni mwako afanye chochote unachotaka wewe kwa kumuagiza kwa upole – aminia hili. Kama team ya Nesi Mapenzi, tumekuandalia hili chapisho kuelieza mbinu hii ili uzingatie yale muhimu ya kutimiza.

#1 Jenga taharuki
Kama unamtaka mwanamke afuate sheria zako, unahitajika kujenga utangulizi. Wanawake wanapenda drama na taharuki, hivyo basi endelea kuwapatia hayo, watakuwa kila wakati wakikuandama kutaka zaidi. Mwanzo kadri unapoendeleza taharuki na vituko katika maisha yako, ndivyo watataka zaidi kujihusisha katika maisha yako. Ushawahi kujiuliza ni kwa nini kuna baadhi ya wanawake huwa wanapenda kujihusisha na mwanaume mmoja ambaye ana wanawake wengi? Huwa kwa kawaida mwanaume kama huyu huwa amewaunganisha wanawake hawa kwa kuwakeep busy na vioja na drama za mara kwa mara.

#2 Cheza mchezo wa kutoelewa
Kitu kingine cha kufanya kuhakikisha kuwa wanawake hawatakutoka katika akili zao ni kwa kuwafanya wanawake wasijihisi huru/comfortable wakiwa na wewe. Kama mwanamke atahisi kuwa hahitaji kutumia bidii zake ili kupata atenshen kutoka kwako, basi atapoteza interest na wewe baada ya muda mfupi. Kwa jambo hili utakuwa na uhakika mkuu ya kuwa utapoteza interest ya mwanamke haraka sana, kama atagundua kuwa unasomeka kirahisi. Kwa kukabiliana na hili tatizo, hakikisha kuwa unampatia mwanamke wakati mgumu wa kukuelewa. Hii unaweza kuitimiza kwa kumchanganya, kumtia wasiwasi, mchezee akili nk ilimradi tu asipate kukuelewa ajenda au mambo yako kiurahisi. Kumchezea mchezo wa kutoeleweka kutakufanya uicontrol akili yake vile unavyotaka wewe.

#3 Cheza drama
Kama tulivyotangulia kusema awali kuwa lazima uwe na drama katika maisha yako. Wanawake hupenda drama katika maisha yao. Ushawahi kujiuliza kwa nini wanawake wanapenda kuangalia tamthilia au soaps za Mexico? Ni kwa sababu wanapenda na kutamani maisha yao yawe na drama za mara kwa mara. Bila drama katika mahusiano yako na mwanamke utamfanya aboeke na kupoteza interest katika mahusiano yenu. Hivyo basi kama utajenga drama ambayo mpenzi wako amekuwa akitamani umfanyie, basi atapendezwa na wewe na itakuwa vigumu kwake kuingiwa na akili za kuwa amechoshwa katika uhusiano wenu.

#4 Tumia mbinu za kisaikolojia
Mbinu za kisaikolojia huwa hufanya kazi kubwa sana ikija katika swala la kumtongozo na kumzuzua mwanamke. Mbinu hizi humrahishia kazi mwanaume pakubwa sana wakati anaaproach ama kumtongoza mwanamke. Haijalishi kama ndio unaanza kutongoza ama wewe ni bingwa, mbinu hizi za kisaikolojia hufanya kazi nyakati zote. Mwanzo kuna mbinu nyingine za kisaikolojia ambazo unaweza kujua kile ambacho mwanamke anafikiria akilini mwake na jinsi ya kukabiliana na vile anavyofikiria ili utumie kwa manufaa yako wewe mwenyewe.

#5 Ivumbue formula ambayo inawekwa siri ikija katika kutongoza
Ukweli usemwe. Kuingia katika akili ya mwanamke na kuijeuza fikra yake ya kumfanya akuone kuwa wewe unavutia ni kazi rahisi ya kufanya. Kile ambacho unahitajika kufanya ni kutafuta ile formula ambayo itafanya kazi kwako na kukupatia nguvu za kuweza kumpata yule mwanamke ambaye amekuwa akizunguka katika akili yako kwa muda huo wote. Ukishaipata hio formula yako, unaweza kuwajeuza wanawake vile unavyotaka wewe, bila kuangalia ushupavu wako katika dunia ya kudeti wanawake. Kufanya kuwa huwatambui huwa inafanya kazi kila wakati! Morrissey katika mtandao wa Hubpages alisema kuwa “Kadri unavyozidi kunipuuza ndivyo ninavyozidi kujisogeza karibu yako.” Hii ni kweli katika maisha ya mwanamke. Mwanamke unapomuonyesha kuwa umepoteza interest na yeye atafanya juu chini kuhakikisha kuwa atarudisha interest...

Upo!? Kazi kwako.

No comments:

Jiunge na jamii yetu ya Facebook/App yetu ili uweze kutangamana na members na readers wetu wa Nesi Mapenzi ama ujitafutie mpenzi HAPA

Powered by Blogger.