Ushawahi kupatikana katika hii hali?
Umeona demu mzuri ukaamua kumuapproach.
Ukamtongoza kwa siku kadhaa na bila kusumbuka akakukubali.
Baada ya wiki au mwezi mambo yakajeuka akakukataa.
Ukaona labda haikuwa bahati yako so ukatongoza demu mwengine mrembo.
Naye akakukubali lakini baada ya wiki akakukataa.
Mtindo ukawa ni huo huo, kila ukitongoza demu baada ya masiku au wiki anakukataa bila sababu za wewe kuelewa.
Je, kuna tatizo? Je mbinu unazozitumia kuapproach mwanamke kama huyu hazifai ama unacheza gemu yako vibaya.
Katika ukurasa wetu wa Facebook kuna msomaji wa N.M Blog alikuwa na wasiwasi wa kuwa anawatongoza mademu wazuri lakini anashindwa kuwamudu. Hivi ndivyo alivyotutumia ujumbe wake:
Hello Nesi Mapenzi. Mimi nina bahati ya mademu beautiful lakini penzi langu na wao hudumu muda mfupu sana. Inafikia mahali huwa natoswa na wananikataa. So nifanyeje? Naomba ushauri [imehakikiwa] -Naseeb
Ok, jambo la kwanza ni kuwa nampongeza Naseeb kwa kuwa ana uwezo wa kutongoza mademu warembo bila wasiwasi wowote.
Pili ni kuwa nampongoza kuwa kuachwa na mwanamke si jambo ambalo linamsumbua akilini mwake, kawaida wakati unapotongoza mwanamke huwa kuna asilimia 50 ya kukubaliwa na asilimia 50 ya kukataliwa so kuweka matumaini yote kwa mwanamke ni jambo lisilofaa kabisa.
Tofauti na dhana ya wanaume wengi wanaofikiria, kudumu na mwanamke baada ya kumtongoza ni jambo rahisi sana. Hii inaweza kufanikishwa kirahisi iwapo utafuata mbinu ambazo ni za uhakika na dhabiti. Na kwa kueleza mbinu hizi hapa Nesi Mapenzi tumekuja na mbinu nne kuu ambazo ukizitumia ipasavyo utamfanya mwanamke aone kana kwamba ulikuwa mpenzi wake tangu jadi.
Zama nami!
Hatua za kumfanya mwanamke ahisi umekuwa ndotoni mwake tangu jadi
Hatua hizi ambazo tutazieleza zinaambatana na mbinu ya MMWILIKO. Hii hufanya kazi vyema kwa kuwa utakuwa unatuma ishara za kisiri kwa mwanamke kwa akili yake bila yeye kutambua. Unaweza kumwilika vitu hivi vinne.
1. Mwendo wake wa kupumua
Mbinu hii ni kuiga vile ambavyo anapumua. Kama mwanamke unayemzimia na unatoka naye deti unataka akuone kana kwamba ulikuwa wake tangu kitambo, anza kuiga vile ambavyo anapumua. Kama kawaida yake anapumua kwa uzito basi pia wewe iga vile vile anavyopumua.
2. Toni ya sauti yake
Hii ni mbinu ambayo wengi huifanya bila wao kutambua...kuiga toni ya sauti ya anayempenda. Ukitaka kujua kama mwanamke amekupenda angalia vile jinsi ambavyo anavyoongea. Ukiona kama kuna toni flani ya sauti ameiga kutoka kwako basi ni ishara ya upendo. Hivyo hivyo, ukitaka mwanamke akupende na akuone kama anastahili kuwa nawe milele basi iga toni yake ya sauti. Kwa mfano kama anapenda kuongea kwa toni ya juu unaweza kuanza kuiiga sauti hio wakati ambapo munaongea issue ama swala muhimu. Hapa atakuchukulia na umakini zaidi tofauti na wakati ambapo unaongea kikawaida.
3. Mwendo wake wa kuzungumza
Tofauti na toni, mwendo wa kuzungumza ni vile ambavyo anatamka maneno kwa kasi flani. Kama umeshawahi kugundua ni kuwa kuna baadhi ya wanawake wanaopenda kuongea kwa haraka. Na pindi unapoongea nao kwa haraka wanajiskia huru kuongea na wewe zaidi na zaidi. Mbinu hii unaweza kuitumia kwa mwanamke unayemzimia. Kama anaongea pole pole wewe iga mwenendo huo na kama atakuwa anaongea kwa kasi vivyo hivyo iga. Bila yeye kujitambua ataanza kujivuta kwako kwani atahisi kana kwamba kuna kitu ambacho mnagawa pamoja lakini hatoelewa ni kitu gani hicho.
4. Miondoko yake ya mwili
Miondoko yake ya mwili inaweza kuwa mambo yote ya jumla anayopenda kufanya kwa kutumia mwili wake ambayo anaitambua na kuifahamu anapoifanya au la. Mfano anaweza kuwa anapenda kupesa macho yake mara kwa mara, kushika vidole vyake, miondoko yake ya mdomo, sura nk. Ukianza kuiga mbinu moja wapo anayoipenda kuifanya basi itafikia mahali flani atahisi kana kwamba kuna kitu ambacho mnafanana nacho.
Hakikisha kuwa wakati ambapo unafanikisha mbinu hizi mwanamke aina hii hapaswi kamwe kuelewa ya kuwa unamwilika matendo yake. Hii inapaswa ifanikishwe kifioa ili asipate kufahamu kama unafanya hivyo.
Mbinu hii ukiifanikisha ipasavyo basi utamfanya mwanamke ajihisi huru na wewe zaidi na aone kama amekufahamu kwa muda mrefu.












Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: [email protected]