Kuongea na mwanamke ni rahisi. Unaweza kuongea na mwanamke yeyote ambaye unamjua ama uliekutana naye mara ya kwanza.
Lakini tatizo ni pale ambapo utahitajika kumfanya mwanamke avutiwe nawe. Hapa ndipo ustadi unahitajika ili ufanikishe mpango mzima. Si kila mwanaume anaweza kufanya maongezi mazuri hadi mwanamke avutiwe. Uzuri ni kuwa hapa Nesi Mapenzi tumekuletea mbinu ambazo unaweza kufanikisha mpango huu.
Hii hapa ndio njia rahisi ya kuongea na mwanamke ambayo itakusaidia kupata ujuzi kadri muda unaposongea.
#1 Usijaze mazungumzo yenu kwa kumsifu sana.
Kuna makumi ya wanaume katika nyanja hii ambao wanapenda sana kutumia maneno ya kumsifu mwanamke kama wameishiwa na maneno wakati wanapoongea nao. Wanaume wengine hufanya hivyo ili kudhihirisha kwa mwanamke kuwa wamevutiwa nao. Lakini makosa ni kuwa, kutumia maneno ya kumsifu mwanamke hayaongezi sana wala hayafanyi mengi kumsaidia mwanamke. Kwa hivyo, weka maneno ya kusifu kando, na uanze kuongea mambo mengine ambayo yatamvutia pia. Kama hutafanya lolote kando na kumwambia kuwa umemzimia kwa urembo wake au macho yake, utakuwa umejiweka level moja na wanaume wengine ambao wanatumia mitindo io kwa hio.
Kumbuka: wewe unawezekana kuwa si mwanaume wa kwanza ambaye umevutiwa naye. Mwanzo, kuna uwezekano mkubwa kuwa wanaume wote wanamuona kuwa anavutia. Hii inamaanisha kuwa kumsifu wewe kwake haitakuwa jambo geni kwake. [Soma: Jifunze jinsi ya kukutana na mwanamke mpya]
#2 Usijikite sana kuonyesha ya kuwa unamwona anavutia.
Kusistiza, ni kuwa haufai kuweka akili yako ijikite kuwa unamwona mwanamke unayeongea naye kuwa anavutia kupindukia. Ukijisahau tu ukianza kumfikiria vile ana urembo na kuvutia, utakuwa unajipa presha ambayo haitakuwa na manufaa yeyote kwa mazungumzo yenu. Kuna njia rahisi ya kuepuka jambo hili ambayo ni kuidanganya akili yako kuwa huyo mwanamke unayeongea naye hana urembo wowote ule. Presha ikishuka katika mwili wako, utajiona umepata fursa rahisi ya kuweza kujieleza ukiwa pamoja na mwanamke yeyote yule.[Soma: Jinsi ya kuwaambia aina tofauti tofauti ya wanawake uwatoe out]
#3 Tafuta mambo ambayo munagawa kimaisha.
Ok, haitakuwa jambo gumu vile mkianza kuongea mambo ambayo mnagawa ama intrest ambazo mnashare. Mwanzo kama mtaanza kuongea mambo ambayo mnagawa katika maisha, itakuwa ni njia rahisi ya wewe kuweza kupata namba yake ya simu ili kuweza kumshawishi kumtoa date.
Kumbuka: mwanamke akigundua kuwa mnashare intrest moja, hapo hapo atataka kuutumia muda wake zaidi mkiwa pamoja ili mpate kuzungumza intrest mnazoshare. Hivyo basi, fanya utafiti wa kina na ujaribu kuvumbua jinsi na njia utakayoitumia ili muweze kujumuika pamoja.[Soma: Makosa wanaume hufanya kwa mwanamke]












Ushuhuda
ReplyDeleteNilivunjika kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli nimepoteza upendo wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dk. Dawn, na kila kitu kilibadilika.
Kwa fadhili, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alinirudishia upendo ambao nilifikiri umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
Dr. Dawn kweli aligeuza machozi yangu kuwa furaha.
Dk. Dawn Anaweza Kukusaidia Na:
✅ Maneno ya mapenzi
✅ Tahadhari za Ujauzito
✅ Kurejesha Ndoa/Mahusiano
✅ Dawa za mitishamba kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Magonjwa ya Moyo, Maambukizi na mengine mengi.
📧 Barua pepe: [email protected]
📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159
Usiteseke kimya kimya. Dk. Dawn anaweza kurudisha furaha katika maisha yako!
Kurejesha ndoa
DeleteNdiyo, huyu Dkt. alirejesha ndoa yangu
DeleteSikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
DeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na kufanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi ili kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito ili kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
. kutokuwa na uhakika wa ubaba au ubaba usio na sifa
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
[email protected]
Ningependa kumpendekeza mmoja wa wazimu wanaoheshimika zaidi wa wakati wetu. Ni mtu ambaye amewasaidia watu wengi jijini wakati wa hali ngumu.
ReplyDeleteBaadhi ya watu hata humwita "mungu mdogo" kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiroho na jinsi anavyowasaidia wale wanaomjia kwa ajili ya mwongozo.
Unaweza kumtumia ujumbe kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe [email protected]
Tafadhali zungumza naye kwa heshima na ueleze hali yako wazi, naye atajitahidi kukusaidia.
Anatoa mwongozo wa kiroho na usaidizi kwa hali tofauti, ikiwa ni pamoja na:
• Masuala ya mapenzi na uhusiano, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuungana tena na mpenzi wa zamani.
• Kurejesha ndoa na mahusiano yenye matatizo.
• Maombi na mila za kiroho kwa ajili ya ulinzi na mafanikio.
• Tiba za mitishamba za kuponya VVU, saratani, malengelenge.
• Maombi ya uzazi na usaidizi wa kiroho kwa wanandoa wanaotaka kupata mimba katika wiki chache.
• Uwezo wa Telekinesis. Uwezo wa kubadilisha umbo.
• Tambiko na maombi ya utajiri wa papo hapo.
• Msaada wa kiroho katika hali ngumu kama vile kesi za mahakamani, kurejesha mali iliyopotea, na changamoto zingine za maisha.
Watu wengi wamepokea msaada na mwongozo kupitia kazi yake ya kiroho.
Asante sana Dr dawn, mke wangu amerudi sasa
ReplyDelete