Sheria na Masharti

Terms & Conditions

Welcome to NESIMAPENZI.com!
Our site is governed by the following terms and conditions. We take it that you agree with these terms and conditions if you continue using the site. If you do not agree with any of these, please leave the site immediately. Please also bear in mind that these terms and conditions may change without prior notice, so we encourage you to check back regularly for updates.

  • The information provided in NESIMAPENZI.com is on an “as-is” basis. We do not guarantee its timeliness and accuracy.
  • We do not give professional and/or legal advice. The information herein is solely for entertainment purposes only. We cannot be held liable for any actions you choose to take as a result of obtaining information here.
  • We may link to other sites which are not under our control. Therefore, we are not responsible for any information provided by those sites.
  • Your privacy is important to us. Please also check our Privacy Policy for your information.

Karibu katika NESIMAPENZI.com

Mtandao wetu unaelekezwa na sheria na masharti yafuatayo. Tunachukulia ya kwamba umekubaliana na sheria na masharti kama utaendelea kutumia mtandao wetu. Iwapo haukubaliani na kanuni zetu, tafadhali ondoka haraka iwekezanavyo kutoka katika tovuti hii. Pia tunataka kukufahamisha ya kuwa sheria na masharti yetu yanaweza kubadilishwa wakati wowote bila kutoa ilani yeyote, hivyo basi tunakusihi uwe unatembelea ukurasa huu mara kwa mara kuangalia mabadiliko.

  • Habari zinazotolewa na NESIMAPENZI.com ni za 'hapo kwa hapo'. Hatuwezi kuhakikisha ya kuwa zinaweza kutumika nyakati za usoni ama kuwa na usahihi wowote.
  • Hatutoi ushauri wa kitaaluma na/ama wa kisheria. Hivyo habari za hii tovuti lengo lake kuu ni kuburudisha pekee. Hatuwezi kuhusishwa na hatua utakazochukua kutokana na matokeo ambayo umeyapata kutokana na nakala zetu.
  • Tunaweza tukajiunganisha na tovuti nyingine ambazo si zetu na ambazo hatuna uwezo wa kuzidhibiti. Hivyo, hatuwezi kuwa na wajibu wowote na habari zozote katika tuvuti hizo.
  • Faragha yako ni muhimu kwetu. Tafadhali angalia sera ya faragha yetu ili upate kuangalia habari kuhusiana na wewe.
Iwapo una lolote la kuuliza, tafadhali wasiliana nasi kupitia:

Ibrahim Morowa
P.O Box 40215 Mombasa, GPO 80100
+254-707-917370
ibrahimmorowa@gmail.com

No comments:

Jiunge na jamii yetu ya Facebook/App yetu ili uweze kutangamana na members na readers wetu wa Nesi Mapenzi ama ujitafutie mpenzi HAPA

Powered by Blogger.
##valentine ##valentine