Jinsi Ya Kuondoa Vizuizi Vya Mguso Unapokuwa Na Mwanamke


Njia moja rahisi ya kupandisha level yako ya kutangamana ni kwa kutumia miguso. Kutumia miguso ni njia ambayo wanaume wengi wanashindwa kuielewa. Unaweza kupata mwanaume ambaye anadai 'kujiamini' anaanza kumgusa mwanamke kiholela holela mpaka mwishowe akapigwa kofi ama kukataliwa. Halafu kuna wale wanaume waoga ambao wako sawa kutongoza lakini wanaogopa kuchukua hatua ya kuanza kutumia miguso kwa mwanamke.

Well, haya ni mambo ambayo yanajitokeza mara kwa mara na inakubalika kwa kuwa wanaume wengi mpaka sahizi hawajaielewa stadi ya kutumia miguso.


Lakini kama unataka kuyafanya maongezi yako na mwanamke kuwa ya fanaka basi tunasistiza kuondoa kizuizi cha miguso.

So mbona tunasistiza kutumia miguso ili kuondoa kizuizi kati yako na yeye?


Kuvunja kizuizi cha mguso ni kuwa kinachochea kuongezeka kwa hisia kati yako na mwanamke unayeongea naye. Wakati unapotumia miguso kuongea na mwanamke, kuna nishati inayojijenga ambayo inasaidia mwanamke kuungana na wewe, hivyo kurahisisha kwake kuweza kukusikiliza, kukupatia namba yake na hata kukubaliana na wewe kutoka deti. Mwisho ni kuwa kutumia miguso unatuma meseji fioa ya kumwambia mwanamke kuwa yuko huru kwa yeye kukugusa.

Kugusa kunakostahili
Wakati mwingine wanaume wanaogopa jinsi watakavyoonekana wakianza kumgusa mwanamke. Hapa Nesi Mapenzi tumekuja na hatua mbili kuu ambazo zitakurahisishia wewe kumgusa mwanamke kwa njia inayostahili, na ambayo ni rahisi kwa yeyote kuianzia.[Soma: Jinsi ya kumpandisha nyege mwanamke bila yeye kujijua]

Kwanza, ni kuhakikisha ya kuwa miguso yako itaonekana kama mchezo. Hii inaweza kuanzia kwa kumdara sehemu yake ya bega halafu unamsalimia kwa tabasamu akigundua kuwa ilikuwa ni wewe ukimgusa. Kiujumla, unataka kufanya kila kitu kionekane ucheshi na utulivu sababu hii ni hatua za kwanza za kutangamana. Hii inatumika wakati wa kumgusa na kuongea.

Pili, ni umguse sehemu zake ambazo ni 'salama'. Hizi sehemu zinajumlisha sehemu ya juu ya mgongo, mikono, mabega na viganja. Hizi sehemu tunaziita 'salama' kwa sababu, tofauti na sehemu nyingine, sehemu hizi hazina swala lolote na mapenzi.

Ukitoka out usiku, jaribu kuonyesha michezo kwa kumgusa mwanamke katika mabega wakati ambapo unaongea naye. Halafu angalia yale ambayo yatajiri.

Miguso inafanya nini?

Wakati unatumia miguso kuwasiliana na mwanamke, kuna mambo ambayo hutokea kutokana na jambo hilo. Haya hapo ni baadhi ya mambo yanayotokea iwapo unataka kuvunja kizuizi cha miguso: 

#1. Inaashiria furaha: Kumbuka, miguso yako inafaa iwe ya furaha na kuchangamua. Miguso ni njia ya nguvu ya kuwasiliana hivyo ukitumia maneno na miondoko yako ya mwili kutachangia kufanya utangamano wako na yeye kuwa wa hali ya juu. Ukitumia miguso yako vizuri kwa mwanamke, kuna homoni inayoitwa oxytocin ambayo itamfanya mwanamke ajiskie vizuri.[Soma: Jinsi ya kumuathiri mwanamke na penzi lako]

#2. Unamfanya ajiskie burahi na miguso yako:  Wakati ambapo utamakinika kumgusa mwanamke, itafikia wakati flani atakuwa akijiskia huru na miguso yako, yaani hataona wasiwasi wowote wa kuona mikono yako ikilisha katika ngozi yake. Ukiona kuwa anakuachia nafasi ya kumgusa, unaweza kuongeza sehemu zako za mguso hadi zile ambazo anaziona ni faragha yake.

#3. Unampa ruhusa ya yeye kukugusa: Wakati mwingine inatokea kuwa mwanamke anahitaji umguse sehemu moja tu ili aweze kukupandilia. Kumgusa unatuma ujumbe wa kuwa ni SAWA kwa nyinyi wawili kugusana hivyo utakuwa umeupitisha ujumbe wako. Hivyo basi wakati ambapo umeongea na mwanamke kwa muda mrefu, unaweza kupitisha mkono wako hadi kwake halafu uangalie majibu kutoka kwake.

#4. Inavunja kizuizi: Miguso inakuwa kama daraja la kuondoa pengo lolote kati yako na mwanamke unayeongea naye. Kuunganika kimguso kunasaidia kujenga hisia kati yako na yeye. Kando na huwa atajiskia huru kukugusa, pia atajiskia huru kuongea na wewe. [Soma: Mbinu ya kumsisimua mwanamke na maongezi yako]

Mwisho ni kuwa usiwe na uoga wa kupeleka mkono wako kwa mwanamke. Ukiona una tatizika na jinsi ya kumgusa, unaweza kutafuta kisababu ambacho kitakufanya wewe kumgusa. Mfano unaweza kumuuliza "Unapaka mafuta gani? Mbona ngozi yako ni nyororo hivi. Naweza kuishika? ama unaweza kutumia tabia ya uclassy na kumwambia "Tangu nianze kuongea na wewe vidole vyangu vimekuwa vikiniwasha, na tiba yake itatotaka na kuigusa HII ngozi yako nyororo"

No comments:

Jiunge na jamii yetu ya Facebook/App yetu ili uweze kutangamana na members na readers wetu wa Nesi Mapenzi ama ujitafutie mpenzi HAPA

Powered by Blogger.
##valentine ##valentine