Jinsi Ya Kupokea Nakala Yako


Tunakushukuru kwa kuingia ukurasa huu. Kitabu chetu kinanunuliwa kwa njia ya Mpesa kwa wale ambao nchi zao zinaruhusu. Mfano Tanzania, Kenya, Rwanda nk. Kwa wale ambao hawatumii M-pesa ingia hapa uweze kukunua na PayPal.
.
Nakala yako utaipokea kupitia kwa njia ya email.

Kwa wale walioko nchini Tanzania wanahitajika kufuata hatua ifuatayo  kupitia kwa simu zao za Vodacom ili kununua kitabu mojawapo:
  1. Bonyeza *150*00# ili upate kuona MENYU yako ya M-pesa
  2. Changua option ya 1 SEND MONEY
  3. Chagua TO MPESA KENYA
  4. Chini ya “Send Money to M-Pesa Kenya” utaona exchange rate za Tsh-Ksh
  5. Weka nambari hii ya simu 254707917370
  6. Andika sababu ya kutuma hela “Business
  7. Weka kiasi cha hela unachohitajika kutuma. Nayo ni tsh 3000
  8. Weka pin yako ya Mpesa
  9. Idhinisha transaction yako.
Baada ya sekunde chache utapokea meseji kutoka kwa Mpesa kuthibitisha kuwa umetuma hela kwa akaunti ya Ibrahim Abiyo. Ichukue ile code ya Mpesa, mfano 3GA851250D na uitumie hapo chini. na jina lako ili uweze kutumiwa kitabu hiki cha Staili 365 Za Kumfikisha Kileleni kwa email yako.  Iwapo umetuma hela lakini hujapokea messege ya Mpesa, basi tuma jina ulilosajili na Mpesa na tutakutumia kitabu chako.


Jina Lako


Email Yako*


Code Ya Mpesa*




Kwa wale walioko nchini Kenya wafuate mbinu ifuatayo kupitia kwa simu zao za Safaricom:
  1. Fungua Mpesa MENU yako
  2. Nenda kwa SEND MONEY
  3. Katika Enter Phone Number, weka nambari 0707917370
  4. Weka kiwango cha hela ambacho unapaswa kutuma. Nayo ni ksh 150.
  5. Weka pin yako ya Mpesa
  6. Idhinisha transaction yako.
Baada ya sekunde chache utapokea meseji kutoka kwa Mpesa kuthibitisha kuwa umetuma hela kwa akaunti ya Ibrahim Abiyo. Ichukue ile code ya Mpesa, mfano  KQJAXBZ3&4 na uitumie hapo juu. Weka email yako na jina lako ili uweze kutumiwa kitabu hiki cha Staili 365 Za Kumfikisha kwa email yako. 

NB: Kama kuna tashwishi, makosa ya transaction ama kuchelewa kwa kufika kwa kitabu chako ama lolote lile tafadhali wasiliana na admin kwa urahisi kupitia kwa Facebook yake hapa>> www.facebook.com/usiniseme <<ili akusaidie ipasavyo.

Powered by Blogger.
##valentine ##valentine