tag:blogger.com,1999:blog-31402793504729687682024-03-16T04:09:11.009+03:00Nesi MapenziNesi Mapenzihttp://www.blogger.com/profile/05191973223816472440noreply@blogger.comBlogger233125tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-65345932255035655602024-02-13T09:04:00.000+03:002024-02-13T09:04:51.577+03:00Jinsi Ya Kumuomba Mwanamke Umtoe 'Out' hii Valentine's Day<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
Kila mwanamke huwa tofauti na mwingine. Hivyo huwezi kutumia mbinu moja kumuuliza mwanamke kumtoa out halafu ukafanikiwa kwa kutumia mbinu io hio kwa mwanamke mwingine. Kujua mahusiano na mwanamke ni jambo muhimu. Mfano hauwezi kuongea na mwanamke mgeni usie mfahamu sawia na mwanamke ambaye ni rafiki yako.<br />
<br />
<div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj89lExs38JoFSjXHJOCz8CgGXZHXttNDQrp5L0xdSXInUfz54mt0gqbdZV_lWniGmdZsFUOYZ60QeY7I6NFr60PgVYCcNvwPM4nveV5zFArU8opQIxCw5cax7g-O3D-6aH1KnFu4m8zpE/s1600/Flirting.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="jinsi ya kumuuliza mwanamke umtoe out" border="0" height="356" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj89lExs38JoFSjXHJOCz8CgGXZHXttNDQrp5L0xdSXInUfz54mt0gqbdZV_lWniGmdZsFUOYZ60QeY7I6NFr60PgVYCcNvwPM4nveV5zFArU8opQIxCw5cax7g-O3D-6aH1KnFu4m8zpE/s640/Flirting.jpg" title="" width="640" /></a></div>
<br /></div>
<div>
Kwa sababu hauwezi kujua ni wakati gani ama sehemu ipi unaweza kukutana na mwanamke uliyemzimia, nimeamua kuorodhesha kategoria tano kuu za wanawake ambao ukipatana nao inaweza kuwa rahisi kwako kuwauliza kuwatoa out kwa kutumia mbinu tofauti tofauti.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>1. Kumuuliza kumtoa out mwanamke mgeni usiyemfahamu</b></div>
<div>
Kumuuliza mwanamke usiyemjua mtoke out kwa mara ya kwanza inaweza kuonekana jambo gumu, haswa iwapo kama hauna stimu zozote kwa akili. Lakini ukikaa kwa umakini na kufikiria utagundua ya kuwa kutaka kumtoa out mwanamke kama huyu ni jambo rahisi kuliko yote.</div>
<div>
Mwanzo kuna dhana tatu hapa. Kwanza ni kuwa ukienda kuongea na yeye una asilimia 50 kwa wewe kukubaliwa na asilimia nyingine 50 ya kukataliwa. Pia kuna asilia 100 ya kukataliwa iwapo hautachukua hatua ya kumuapproach na kumuuliza. So hapa sioni tatizo lolote. Unafaa ujaribu hio asilimia 50 kama iwapo atakukubali.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<i>Jambo la kufanya: </i>Usipoteze nafasi kama hii, jiamini na umuapproach. Msifie ya kuwa umekuwa ukimuangalia kwa masaa na umeshindwa kujizuia kumuangalia so ungelijutia iwapo hukuongea naye. Kumuuliza iwapo wiki inayokuja kama anaweza kuwa na wewe ili mwende kwa mkahawa flani inaweza kufanya maajabu. </div>
<div>
Pia unaweza kuchukua hatua ya kuomba namba kutoka kwake kiurahisi. [Soma: <a href="http://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kuapproach-wanamke-ambaye.html">Jinsi ya kuapproach demu ambaye humjui</a>]</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>2. Kumuuliza kumtoa out mwanamke katika kilabu, mkawaha ama baa</b></div>
<div>
Umekutana na huyu mwanamke katika klabu, house party, rave ama baa mkajiinjoy kwa kujibugia vileo, mkadengua maungo, mkafanya na mengine mengi lakini baada ya hapo umeamua ya kuwa unataka kumtoa mwanamke kama huyu deti. Uko na namba yake lakini unaogopa kuleta hali ya aibu kati yenu. Ni rahisi.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<i>Jambo la kufanya: </i>Mtumie jumbe isiyodhuru kwa kumwambia ya kuwa ule wakati ulikuwa naye ilikuwa siku ya ajabu na uliipenda. Mara nyingi atakurudishia meseji ya kukujibu hivyo hivyo. Ngojea hadi baada ya siku moja au mbili halafu umpigie simu. Mpigie simu na wala usimtext. Mwambie ya kuwa unataka kumjua zaidi kumhusu. Hatua hii itamshika kama saprize na hatajizuia kukataa ombi lako. Iwapo ushawahi kumbusu, kumpeleka kwa mkahawaha hakutatosha, kumpeleka lunch ni jambo muhimu zaidi. [Soma: <a href="http://www.nesimapenzi.com/2015/02/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-akupatie.html">Jinsi ya kuchukua namba kutoka kwa mwanamke</a>]</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>3. Kumuuliza kumtoa out mwanamke unayesoma naye, rafiki wa rafiki yako, mwanamke unaefanya naye kazi</b></div>
<div>
Huyu anaweza kuwa rafiki wa rafiki, mwanamke unayesoma naye katika darasa la sosholojia, ama mwanamke unayefanya yake katika ofisi moja. Well, hapa ndipo tatizo linatokea na hapa. Iwapo atakukataa lazima utakuwa ukiwa na yeye sehemu moja so hapa ni kujitahidi asikukatae.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<i>Jambo la kufanya: </i>Kuhepa situation ambayo inaweza kuleta mushkili hapa, lile la kufanya ni kuanza na hatua ambazo haziwezi kudhuru. Muulize ile siku ambayo atakuwa yupo free na umualike katika sehemu flani uliyoizoea. Hapa matumizi ya vileo inapendekezwa zaidi kuliko kawaha. Hakikisha mnakunywa chupa moja mbili ili kutoa tenshen yeyote ile ambayo itatokezea wakati wa kumwambia unampenda. Mara nyingi katika situation kama hii mwanamke yeyote ataitikia matakwa yako. Iwapo amekataa usipanic, chukulia ilikuwa tu muda wakujienjoy na kula bata pamoja. [Soma:<a href="http://www.nesimapenzi.com/2015/05/kutongoza-kutumia-mwili-body-language.html"> Jinsi ya kutongoza kwa kutumia ishara</a>]</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<b>4. Kumuuliza kumtoa out rafiki yako </b></div>
<div>
Kutoka nje ya 'friend zone' ni jambo moja gumu la kutimiza. Katika hii situation kuna nafasi kubwa ya kupoteza iwapo mwanamke kama huyu atakukataa. Kwanza utapoteza kuwa rafiki yake na pili kama ulikwa unampenda hatakupa nafasi so lazima hapa uwe na umakini wa hali ya juu kwa kila hatua unayotaka kuchukua.</div>
<div>
Matokea hapa pia yanaweza kuwa mazuri kwa kuwa unamjua mwanamke kama huyu na pia umemzoea kwa kuwa pamoja kwa muda.</div>
<div>
<br /></div>
<div>
<i>Jambo la kufanya: </i>Kuwa na nyongo ya kumwambia kuwa unataka kumtoa deti. Weka dhahiri ya kuwa unataka kumtoa dinner. Hawezi kukataa. Kutumia vinywaji na soda haiwezi kumgonga akili yake ya kuwa una mipango yako, so ni muhimu kuhakikisha unampeleka sehemu ambayo ni romantic na ya kimapenzi.<br />
Ukifanya hivi mwanamke kama huyu ataanza kujaribu kuconnect na wewe na kujaribu kupima kama kuna hisia zozote zile ambazo unajaribu kuonyesha. Kuna nafasi ya kuwa iwapo utampendeza atakukubali kwa uharaka. [Soma: <a href="http://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kuuhepa-mtego-wa-kuwa-rafiki.html">Hatua za kufanya mwanamke azikuwe kwa friend zone kama unampenda</a>]<br />
<br />
Pia weka akilini ya kuwa usitarajie makuu kwani kuna uwezekano mkubwa wa mwanamke kama huyu kukukataa asilani.<br />
<br />
<b>5. Kumuuliza kumtoa out mpenzi wako wa zamani</b><br />
Umeboeka, huna kitu cha kufanya na umeanza kuskiliza nyimbo za Taylor Swift mara ikakujia akilini mwako kuwa unataka kumtoa deti ex wako siku ya valentine?<br />
<br />
<i>Jambo lakufanya: </i>Usifanye lolote. Usifanye lolote. Iwapo bado unataka kumtoa deti ex wako basi soma jinsi ya <a href="http://www.nesimapenzi.com/2015/05/jinsi-ya-kurudiana-na-mpenzi-wa-zamani-ex.html">kumfanya mpenzi wako wa zamani kurudiana na wewe</a></div>
</div>
<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-6427896700964581952024-02-13T09:01:00.000+03:002024-02-13T09:02:36.258+03:00Ujuzi 10 Wa Kutongoza Mwanamke Ambao Unapaswa Kujua Kabla Valentine KufikaKuna ujuzi ambao kila mwanaume anapaswa kujua ikija katika maswala ya kutongoza mwanamke. Na huu ujuzi ndio ambao unahitajika kila wakati ambapo utaanza approach kwa mwanamke. Ujuzi huu wa kutongoza huanzia kwa kujua kumwangalia kwa macho, kutabasamu, kuapproach, kuongea, kuomba namba hadi kutoka deti. Mbinu hizi ni lazima mwanaume awe na uwezo wa kuzikamilisha bila tashwishi wowote.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjN5MQBkAtjouDwQo0L9FEa9wpcn227iZ1d0H09oNjiHiadb6oVmhMk3ZWmU9zk_CYtg0-CNE2lTamo2TxWHjUtI8Rmsgp3w0Kcaq6sxizj6MTa0LRsvMOE_7gz9lcDNfEbUVkpSalK7s/s1600/85284033-flirt-on-date-concept-valentine-s-day-young-charming-loving-pare-with-love-sign-symbols-little-red-h.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="300" data-original-width="450" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjN5MQBkAtjouDwQo0L9FEa9wpcn227iZ1d0H09oNjiHiadb6oVmhMk3ZWmU9zk_CYtg0-CNE2lTamo2TxWHjUtI8Rmsgp3w0Kcaq6sxizj6MTa0LRsvMOE_7gz9lcDNfEbUVkpSalK7s/s320/85284033-flirt-on-date-concept-valentine-s-day-young-charming-loving-pare-with-love-sign-symbols-little-red-h.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Somo la leo tutawafundisha ujuzi huu wa kutongoza ambao unapaswa kuujua kabla siku ya Valentine kufika. So tuanze na wapi?<br />
<br />
Zama nasi.<br />
<br />
<h3>
#1 Hauwezi muwini mwanamke kama hautaucheza mchezo.</h3>
Wanaume wengi wanakuwa na uoga wa kuaproach mwanamke. Wanaogopa ya kuwa wakiaproach mwanamke watakataliwa ama mbaya zaidi waingiwe na kigugumizi kisichokuwa na mwisho pindi watakapomtokea mwanamke. Uoga huu ndio unawafanya wengi wasichukue hatua ya kuaproach mwanamke.<br />
<br />
Kile wanachokisahau ni kuwa uko na asilimia hamsini ya kukubaliwa kama utamuaproach mwanamke, lakini utakuwa na asilimia mia ya kumkosa mwanamke iwapo hutachukua hatua ya kumuaproach mwanamke. So kuaproach mwanamke ni lazima kama unataka kufanikiwa. Usitarajie mwanamke akuaproach wewe.<br />
<br />
<h3>
#2 Mtizamo wa macho.</h3>
Njia rahisi ya kuteka atenshen ya mwanamke na kutaka kujua kama yuko interested na wewe ni kwa kupitia njia ya macho. Tumia sanaa za kutongoza kwa kutumia macho. Usimwangalie sana asije akakuona kama fala. Kuna mbinu mwafaka ambazo unafaa kufuata wakati ambapo unatumia macho kuiteka atenshen ya mwanamke. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/njia-10-mbadala-za-kutongoza-kwa-macho.html">Mbinu za kutumia macho kuteka atenshen ya mwanamke</a>]<br />
<br />
<h3>
#3 Ustadi wa kutabasamu.</h3>
Jambo jingine ambalo lazima ujue ni kutabasamu. Wanaume wengine wanakuwa na tabasamu bora natural kama vile Vin Diesel ama Christiano Ronaldo. So ukiona tabasamu lako unaliona halivutii, unaweza kufanya mazoezi kwa kioo ujifunze kutabasamu. Yaani itakubidi uige hadi ikuige. Hakuna cha kubahatisha. Kusmile kunaweza kuwa tofauti tofauti. Kuna kule kutabasamu kiaibu, kujiamini, kutoeleweka nk. Mwisho wa siku tafuta tabasamu ambalo linawiana na hulka yako.<br />
<br />
<h3>
#4 Approach yako.</h3>
Baada ya kutumia macho yako na kujua kama yuko interested, unachohitajika kufanya ni kuanza approach kwake. Usipanic, ni kitu cha dakika moja. Unaenda hadi pale alipo. Usiingiwe na uoga kama atakukataa ama atakupigia kelele. Kwa akili yako unapaswa kufahamu ya kuwa una asilimia hamsini ya kuweza kumuwini huyu mwanamke bila wasiwasi wowote. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kuapproach-wanamke-ambaye.html">Jinsi ya kuapproach mwanamke</a>]<br />
<br />
<h3>
#5 Jifunze kuskiliza.</h3>
Swala jingine ambalo unahitajika kujifunza ni kuwa wakati unaongea na mwanamke, lazima ujue kusikiliza. Hii ni muhimu kwa kuwa wanawake hupenda kusikilizwa. Wao hupenda kuona watu wakiwasikiliza. Hii inasaidia kwa kuwa hujenga mazungumzo kuwa marefu. Kutokana na kumsikiliza, utapata maswali kadha wa kadha ambayo utaweza kumuuliza kwayo.<br />
<br />
<h3>
#6 Songea na umshike.</h3>
Kivyovyote vile lazima umshike huyu mwanamke. Mbinu hii lazima uilete kwa njia ambayo hataigundua kirahisi na pia usionekane fala. Unaweza kumuuliza kuhusiana na bangili aliyoivaa mkononi aliinunua wapi, halafu kwa kumuuliza hivyo unaushika mkono wake huku ukiangalia na kuilisha mikono yako kwake. Mbinu ni nyingi. Tafuta moja nzuri ambayo unaweza ukaitumia. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/12/jinsi-ya-kuondoa-vizuizi-vya-mguso.html">Jinsi ya kumgusa mwanamke na asione tatizo</a>]<br />
<br />
<h3>
#7 Mwonyeshe kuwa una interest naye.</h3>
Hapa ndipo wanaume wengi wanakosea. Wanasahau kuonyesha interest kwa mwanamke wanapokuwa wanaongea. Hapa unachohitajika kufanya ni kumsikiliza, kumuangalia machoni, na wala usimkatize wakati anapokuwa anaongea. Usiangalie simu, tv ama watu wengine wakati mnaongea. Hakikisha unamakinika na yeye<br />
<br />
<h3>
#8 Usisahau mizaha.</h3>
Kuingisha ucheshi ndani ya mazungumzo ni muhimu kwa kuwa mazungumzo yenu yatakuwa na nakshi ya mvuto. Mizaha yako iwe ile ya kawaida. Usianze ile ya sijui mama yako nk, wewe jaribu ile mizaha ya kawaida tu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-acheke.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke acheke</a>]<br />
<br />
<h3>
#9 Chukua namba.</h3>
Mazungumzo yenu hayapaswi kuisha na hapo, lazima yaelendee baadae. Hivyo lazima uchukue namba kutoka kwa mwanamke huyu. Ushapu na ujanja wako ndio utakuwezesha wewe kutoka na namba yake ya simu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/mbinu-5-tofauti-za-kumwomba-mwanamke.html">Mbinu tofauti za kumuomba mwanamke namba ya simu</a>]<br />
<br />
<h3>
#10 Mtoe deti.</h3>
Hii ndio siku ambayo utakuwa unaitarajia. Wanawake wengi wanatamani kutoka deti siku ya Valentine, hivyo ni rahisi kwake kuitikia mwito wako. Muulize iwapo siku hio atakuwa na mipango gani. Kwa kuwa tayari ushamvutia na maneno yako, atakwambia ataispendi nyumbani pekeake. So wewe hapo ndio unaingilia kati na kumwambia mtoke deti pamoja. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/05/jinsi-ya-kumuuliza-mwanamke-umtoe-out.html">Jinsi ya kumuuliza mwanamke atoke deti na wewe</a>]<br />
<br />
Well. Huu ndio ujuzi ambao unapaswa kuwa nao iwapo unataka kufanikiwa kila wakati unapoaproach mwanamke. Mafanikio kwako!<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-40404643771077017002024-01-21T20:58:00.000+03:002024-01-21T20:58:59.763+03:00Kwa Nini Wanawake Wanapenda Wanaume Masharobaro<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: left;">
Wanawake kuchagua wanaume masharobaro ama kwa lugha ya kimombo badboys kuwaliko wanaume wa kawaida si jambo geni na hutokea mara kwa mara. Jambo hili tumeliona likitendeka aidha katika vyuo, vilabuni, sinema, maktabani ama sehemu yeyote ile. </div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: left;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnopyXftPRtkw5zEN3x1oNIokPuOs61HjBs8LGhgregjW0RsLY_MlNYw54klpMhipOrLMSDbqQ9AY2SQrG8mdp2v_JDpw30NLhAPMDcIQRrda5wv7HCYWIJZHStPtfzAVDxmXqlGaeN40/s1600/iStock_000008701262XLarge.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjnopyXftPRtkw5zEN3x1oNIokPuOs61HjBs8LGhgregjW0RsLY_MlNYw54klpMhipOrLMSDbqQ9AY2SQrG8mdp2v_JDpw30NLhAPMDcIQRrda5wv7HCYWIJZHStPtfzAVDxmXqlGaeN40/s1600/iStock_000008701262XLarge.jpg" width="266" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br /></div>
Wanaume masharobaro, kama wanaume wengine, wao pia wana maumbo ya kila aina, shepu na mvutio wa kijinsia. Kama wewe ni mwanaume wa kawaida ambaye humaliza wa mwisho ama ushawahi kupoteza mpenzi wako kwa sharobaro fulani, hapo chini kuna nadharia ambazo zitasaidia kueleza kwa nini wanawake wanapenda sana kuvutiwa na wanaume masharobaro.<br />
<br />
<b>#1 Hamu ya kufuata.</b><br />
Kufuata kitu ambacho unakipenda huwa kuna msisimko fulani mtu hupata. Lakini msisimko zaidi hutokea wakati ambapo mtu anajaribu kufuata mtu ambaye hataki kujulikana mienendo yake ya kimaisha, kufuatwa ama kueleweka kimaisha. Haya ndio maisha anayoishi mwanamume sharobaro.<br />
<br />
Wanawake wanapenda sana wanaume ambao hawaeleweki kimaisha (yaani hawatambuliki) ama kutakwa kujua maisha yao. Na wewe kama mwanaume unataka kutumia huu udhaifu kwa manufaa yako, wakati mwingine unafaa kumfanya mwanamke abaki na maswali chungu nzima kutaka kukujua zaidi. Kama unampenda, jaribu kadri iwezavyo kutojaribu kumuonyesha. Badala yake mpe pia yeye changamoto kwa kuweka ujanja wa kutoeleweka mara kwa mara. Hii ni njia moja murua ya kuhakikisha utaingia katika akili yake.<br />
<b><br /></b><b>#2 Kutaka kuwajeuza tabia zao.</b><br />
Kitu kingine ambacho wanawake huvutiwa kwa sharobaro ni kutaka nafasi ya kuwafunga fundo ama kuwajeuza tabia zao. Mwanamke kikawaida amezaliwa naturally na hisia za uzazi, yaani hutaka kujeuza mtu mwenye tabia ovyo kuwa na tabia nzuri. Hii huibua hisia halisi za uzazi ndio maana kama mwanaume unapaswa wakati mwingine kumsumbua mwanamke kihisia, kimawazo na kadhalika. Unafaa kuwa mpinzani lakini usiwe mhalifu. Unafaa kuwa hatari lakini usipitishe kiwango ambacho kitamwogopesha.<br />
<br />
Kimtazamo, unafaa kumfanya mwanamke auonyeshe uke wake wote ili kujaribu kukubadilisha, mpe nafasi ajaribu kuubadilisha upande wako wa kiza na mwishowe kukufanya uwe mwanaume thabiti katika mchakato mzima.<br />
<b><br /></b><b>#3 Uanaume uliothabiti.</b><br />
Wanaume masharobaro (na si wale feki) karibu nyakati zote huwashinda wanaume wa kawaida kwa sababu ya mambo mawili makuu. Kwanza ni kuwa ni wanaume majasiri na pili wanaudhibiti uanaume wao kwa kuwa ngangari kimaisha. Kutoogopa kwao kwa jambo lolote ndiko kunawafanya wanawake kuvutiwa nao.<br />
<br />
Wanawake wengi wanavutiwa na wanaume ambao ni hatari, ngangari na wenye nguvu kwa sababu si rahisi kuchezewa au kufanyiwa masihara. Ukisimama kumtetea mwanamke kuhusu mahitaji yake na uovu, hii inamaana ya kuwa una uwezo wa kusimama kando yake na jambo lolote lile. Kuweza kuonyesha level ya kuwa wewe ni mtu usiekuwa na woga wowote, unafaa kumwonyesha mwanamke wako kuwa una uwezo wa kuwa ngangari mahali popote pale ili mradi kumlinda yeye tu.<br />
<br />
<b>#4 Uoga wa kujitwika majukumu.</b><br />
Wanaume masharobaro hupenda kuhepa majukumu yanayohusiana na mahusiano. Kwa wanawake ambao wana uoga huo huo wa kuwa na majukumu, masharobaro huwavutia sana na kuwaona kama hakuna wanaume wazuri kama hao. Wanawake aina hii hawatajitweka majukumu kwa kuwa hawana haja ya kujishughulisha na hisia za kimapenzi ambazo ni stress.<br />
<br />
Pia ni habari njema kwa wanawake ambao wako tayari kwa uhusiano wa kimapenzi wa muda mfupi pekee. Lakini kama kawaida, mwisho wa siku lazima mwanaume sharobaro au mwanamke mtundu lazima kuna sehemu fulani ndani ya mawazo yake anatamani kuwa na mahusiano ya kudumu na pia kupendwa. Hivyo siri hapa ni kuipima miondoko yake na uangalie level yake ya kujitwika majukumu katika mapenzi halafu sasa uanze na hapo.<br />
<br />
<br />
Mwisho ni kuwa upende usipende, wanaume masharobaro watakuwa na nafasi kubwa katika nyoyo za wanamke. Kuna kitu ndani yao ambacho kinawasababisha wanawake kuangua mwili mzima kihisia na kimapenzi kwao. Lakini hii haimaanishi kuwa lazima kila mwanaume ajeuke na kuwa sharobaro ili aweze kuwa na nafasi rahisi ya kutongoza mwanamke aliye kwa ndoto yake. Kile unachotakiwa kufanya ni kucheza mchezo mzima kiwastani. Daima unafaa kuwa vile ulivyo huku ukiingiza tabia flani za usharobaro hivi katika miondoko yako. Kama kuna kitu kizuri kati yenu wawili, basi pia kuna sehemu mbaya ambayo unaweza kuitumia ili ukajinufaisha nayo.<br />
<br /></div>
<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-43135794284765483922023-09-12T22:56:00.000+03:002023-09-12T22:56:10.455+03:00Ishara Za Kuonyesha Kuwa Mwanamke Anataka Umpeleke ChembaUmekuwa ukimwangalia machoni na kutumia miondoko ya mwili kama tulivyokueleza katika machapisho awali. Pia ukapata kujua kuwa ameshavutiwa na wewe na anaonyesha dalili za kuenda na wewe nyumbani. Katika kitabu chetu cha <a href="http://www.nesimapenzi.com/p/kuna-yule-mwanamke-ambaye-unatamani.html">Kutongoza Mwanamke: <i>Kuanzia Hadharani Hadi Kitandani</i></a> tumeandika hoja muhimu za kutaka kujua iwapo mwanamke uliyemwona hadharani yuko na uchu au la. Na sasa tayari umeshamgundua, ni hatua yako sasa ya kumuapproach.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiCuc5g_4qAg1c8n_oZkz-VW0ipou5Lkj4DNkKZsAfPTpqsaghAE2WktDVAps7iiTqOYRPA0cfb0XiPuV_k0JjVw2UGAiq2N3cd6VDpaOZjYvM6Lon5oFQF1cdR8i9j3ovGAQaRSKLJSkg/s1600/signs-she-loves-you.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="456" data-original-width="792" height="184" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiCuc5g_4qAg1c8n_oZkz-VW0ipou5Lkj4DNkKZsAfPTpqsaghAE2WktDVAps7iiTqOYRPA0cfb0XiPuV_k0JjVw2UGAiq2N3cd6VDpaOZjYvM6Lon5oFQF1cdR8i9j3ovGAQaRSKLJSkg/s320/signs-she-loves-you.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Lakini kabla kuchukua hatua ya kumwambia, “Beb twenz’ etu” ukaingiwa na wasiwasi kidogo. Ukaingiwa na woga ukiwa na maswali iwapo mwanamke huyu amekubali ama unabahatisha tu. Ukarudi nyuma kidogo kufikiria. Mara muda wa dakika mbili kufikiria huyu mwanamke ameshaenda zake. Unamtafuta ukamkosa. Unagundua hujachukua namba yake ya simu wala kujua jina lake kamili ili uwe na nafasi nyingine labda kumtafuta kwa mitandao...<br />
<br />
Well, kabla tuendelee zaidi na hapo. Acha tuseme baada ya wewe kumaliza kusoma somo hili, tukio la hapo juu halitawahi kukutokea kamwe. Sababu tumekuja na njia ambazo utazisoma kwa mwanamke kutambua kuwa anataka uende naye nyumbani kwako. Ishara zote tunazo.<br />
<br />
Ishara za kuwa anataka umpeleke nyumbani ukampige viboko ni kama zifuatazo.<br />
<br />
<b>#1 Anakwambia moja kwa moja.</b><br />
Hii ndio njia rahisi ambayo anaweza kukuambia na ukaelewa. So akikwambia kuwa anataka umpeleke nyumbani, basi hakuna cha kung’amua zaidi. Kila kitu atakuwa ashakiweka wazi.<br />
<br />
<b>#2 Anakuuliza kama unaishi pekeako.</b><br />
Hapa anajua kuwa unaishi na rafiki yako ama mzazi wako. Lakini bado anakuuliza tu. Unajua kwa nini? Anataka kujua kama ni salama kama ataenda na wewe kwako. Ama unaweza kumsikia akikuuliza, “sahizi nyumbani kwenu kuna nani?”<br />
<br />
<b>#3 Hawezi kukuangalia bila kutabasamu.</b><br />
Kama mara kwa mara anakuangalia bila kusita, hii ni ishara dhahiri kuwa anakuhisi. Kama anakusuka huku anatabasamu basi hio ni dalili tosha ya kukuambia kuwa anataka umpe haki yake. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2016/03/mbinu-za-kumchokora-mwanamke-kihisia.html">Mbinu ya kumchokora mwanamke hisia</a>]<br />
<br />
<b>#4 Anatoa ushauri wa sehemu nyinyi wawili muende.</b><br />
Anaweza kukuambia mwende sehemu flani. Mfano anaweza kukuambia, “Si leo twende ile sehemu ya....mimi huipenda sana kwa sababu ina...... Ok hawezi sema mambo kama haya kama hataki kuenda na wewe huko.<br />
<br />
<b>#5 Kila kitu kwake ni miguso.</b><br />
Je anaigusa mikono yako mara kwa mara? Kugusa shingo yako je? Na bado hujaelewa ni nini kinachoendelea? Well, acha tuseme kuwa mtu akiwa anakushika shika hivyo bila sababu zozote basi ni ishara ya kuwa yuko interested na wewe. So pia wewe la kufanya ni kumwiga kila kitu anachokufanyia.<br />
<br />
<b>#6 Anakutumia meseji za usiku wa kiza.</b><br />
Wanawake hupenda usingizi wao. Lakini ukimwona huyu mwanamke anakutumia meseji nyakati ambazo si za kawaida basi jua kua analengo lake. Atakuwa anakufikiria kwa njia nyingine. Ile ya kimahaba. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2016/02/jinsi-ya-kumtext-mwanamke-haki-akupigie.html">Jinsi ya kumtext mwanamke hadi akupigie simu wa kwanza</a>]<br />
<br />
<b>#7 Anapitisha mikono kwa nywele zake.</b><br />
Hii huwa inakuja natural. Wanawake hupenda kucheza na nywele zao na kuweka wazi shingo zao ili zionekane. Hii imeshonwa katika DNA ya viumbe vyote duniani kuashiria kujisalimisha. So wakati mwingine ukiwa unaongea naye kisha amekuwekea shingo ili uione ni ishara ya kujisalimisha. Tulieleza ishara kama hizi katika machapisho yetu ya awali.<br />
<br />
<b>#8 Anamakinika na kila kitu chako.</b><br />
Well, hapa ni pale mwanamke anatambua yale mambo madogo madogo kukuhusu. Mfano ataona umenyoa ndevu, atagundua kama uko na alama inayoonekana, shati lako liko mtindo flani nk. Hapa si kawaida mtu anaweza kuona kila kitu lakini ukiona amemakinika na wewe sana, pia wewe anza kumakinika. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/12/jinsi-ya-kumuona-rafiki-yako-uchi.html">Mbinu za kijanja za kumwona rafiki yako wa kike akiwa uchi</a>]<br />
<br />
<b>#9 Mtizamo sambamba.</b><br />
Katika machapisho yaliyotangulia tulieleza jinsi ya kujua kama mwanamke anataka umkiss. Hapa pia ndivyo hivyo hivyo. Ukimwona anakuiga unachofanya, mfano ukimsogelea na yeye anakusogelea, ukimwangalia macho na midomo naye anafanya hivyo hivyo, hii ni ishara tosha anataka umpeleke nyumbani.<br />
<br />
<b>#10 Anakurushia maswali ya ‘girlfriend wako’</b><br />
Hii ni mbinu ya kitambo ambayo hadi wa leo inatumika. Na wanawake huipenda sana. Ukiona anakuuliza maswali kama, “Najua girlfriend wako angependa umpeleke sehemu hii”, ama, “Girlfriend wako atakasirika” basi hapa anataka kujua iwapo uko singo ama una mtu. Hapa nafahamu una jibu la haraka kumwambia mwanamke aina hii.<br />
<br />
<b>#11 Anagawa chakula na wewe.</b><br />
Hakuna mwanamke yuko tayari kugawa mate yake na mwanaume ambaye hajamzoea, so ukiona amekukaribisha mle sahani moja, basi usisahau mgawe kila kitu baadae pia.<br />
<br />
<b>#12 Analeta mada za mapenzi na mlalano.</b><br />
Wanawake huwa hawapendi kuongea maswala ya mapenzi haswa wakiwa pamoja na wanaume unless awe ni mwandishi wa jarida la Nesi Mapenzi, la sivyo basi huyu ana hamu na wewe umueleze kila kitu kiundani. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2017/11/jinsi-ya-kumuapproach-mwanamke-katika.html">Jinsi ya kumuaproach mwanamke katika gari la abiria</a>]<br />
<br />
<b>#13 Anakuuliza jinsi ya kuwasiliana na wewe.</b><br />
Hapa yuko interested na wewe na angependa kuendelea mazungumzo yenu wakati mwingine. Hapa anaweza kuuliza namba yako ya simu ama pia anaweza kutaka kujua sehemu ambayo unaishi.<br />
<br />
<b>#14 Anaushika mdeki.</b><br />
Sasa hapa ni ile hatua ambayo wakati mnaongea anashukisha mkono wake hadi kwa suruali yako. Hapa atakuwa anaashia hamu yake haswa iko wapi. Na kama nyote mmekubaliana basi imefikia ule wakati nyote wawili kutoka na muende mnakoenda.<br />
<br />
<b>#15 Anakukiss</b>.<br />
Hapa haimaanishi moja kwa moja kama yuko tayari kulala na wewe bali anajaribu kupima maji. So akiona na wewe umeashiria kwa njia chanya, basi mchezo umemalizika.<br />
<br />
Ok, hizi ndizo baadhi ya mambo ambayo mwanamke akiwa anakuonyesha ukiwa na yeye basi anakupa ishara kuwa yuko tayari kwenda chemba. Lakini pia lazima uwe makini wakati unapozisoma ishara hizi. Lazima pia kwa upande wako uwe na uhakika kamili kuwa pia yeye yuko tayari kwa jambo hilo.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-37883976962800627322023-06-24T09:09:00.000+03:002023-06-24T09:09:09.471+03:00Mambo 8 Ya Kutarajia Unapodeti Mwanaume Mzee KukulikoSi jambo lisilokuwa la kawaida. Tumekuwa tukiona wanawake wengi wakiingia katika mahusiano ya kimapenzi na wanaume ambao ni wakubwa kiumri kuwaliko. Kila mmoja huwa na sababu zake za kuamua kuingia katika mahusiano kama haya. Wengine wanaweza kusema wanaume wazee wanajua upendo zaidi, wengine wanaweza kuwa wamechoshwa na vijana na wengine labda wanaweza kujikuta katika mahusiano hayo kwa kuwa wanalenga hela.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTZnXEMKRNvPyw6b8l4rT6QFDIACQ9yq3xUbjjD8hw8jK1z9yknBu4rcNBwSeUJ8oQSBo94CkrftsIiQoU1dGHx3guvhvCz12MZYndXGGfusYwMABOqklOUWqmBwoOW9aXUPtC_3CBtWk/s1600/2b_en_ta_ai_seniors2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="172" data-original-width="257" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhTZnXEMKRNvPyw6b8l4rT6QFDIACQ9yq3xUbjjD8hw8jK1z9yknBu4rcNBwSeUJ8oQSBo94CkrftsIiQoU1dGHx3guvhvCz12MZYndXGGfusYwMABOqklOUWqmBwoOW9aXUPtC_3CBtWk/s1600/2b_en_ta_ai_seniors2.jpg" /></a></div>
<br />
Well, hayo ni mambo ambayo hufanyika. Kile kitu ambacho tunajua ni kuwa kila mtu anakuwa na maamuzi yake na hatuwezi kuamulia mtu. Kando na hilo, kama umejikuta ama unataka kuingia katika mahusiano na wanaume ambao wamekushinda umri, kuna mambo ambayo unatarajiwa kukumbana nayo.<br />
<br />
Leo tumekuandikia mambo ambayo utakumbana nayo katika mahusiano haya na ni kama yafuatayo:<br />
<br />
<b>#1 Mawasiliano bora.</b><br />
Wanaume wazee wako sawa ikija katika maswala ya kuwasiliana. Hii ni kwa sababu mtu mzee anachukulia mazungumzo katika hali ya kiubinafsi. Hawashindwi kueleza matatizo yao wala huwa hawafichi mambo.<br />
<br />
So kama umeamua kudeti mwanaume mwenye umri mkubwa kukuliko, basi weka katika akili yako kuwa mahusiano yenu hayataathirika na mawasiliano.<br />
<b><br /></b>
<b>#2 Atakuongoza.</b><br />
Kwa kuwa mwanaume huyu amekuwa na maisha marefu na ameona mengi, atakuwa mstari wa mbele kukuongoza. Wakati wowote ambao utakuwa na changamoto, yeye atakuwa yuko na wewe kukuelezea jinsi ya kukabiliana na matatizo yako. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/02/jinsi-ya-kuwaepuka-wanaume.html">Mambo ya kufanya ili kiwaepuka wanaume wanakuchukiza</a>]<br />
<br />
<b>#3 Unaweza kuwa huru.</b><br />
Huu ndio ukweli, ukiwa unadeti mwanaume mzee kukuliko, utakuwa na nafasi nyingi ya kuwa huru. Kwa kuwa anayajua maisha, hatojaribu kubadilisha tabia zako ama mambo ambayo umeyazoea.<br />
<br />
<b>#4 Atakupa mahaba ya kutosha</b>.<br />
Hapa hakuhitaji maelezo ya kina. Tunajua kuwa umri humpa mtu hekima na ujanja. Hivyo ikija katika maswala ya mahaba, wanaume wazee waliokuzidi umri watakuwa wamekolea. Mwache akufundishe maujanja ambayo bado hujawahi kujua.<br />
<b><br /></b>
<b>#5 Hakuna mashindano.</b><br />
Ukiwa unadeti mwanaume ambaye mko sambamba kiumri ama mumepishana kidogo, kwa kawaida kunakuwa na mashindano na mara nyingi kunakuwa na wivu ndani yake.<br />
<br />
Lakini kama unadeti mwanaume aliyekuzidi umri, hii huwa tofauti. Mara nyingi yeye huwa na maisha tofauti kabisa na yale yako. Hivyo inakuwa rahisi kwa nyinyi wawili kusikizana na pia kusaidiana sehemu ambazo kunakuwa na changamoto. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/01/jinsi-ya-kumpata-mwanaume-unayempenda.html">Jinsi ya kumpata mwanaume yeyote bila tatizo</a>]<br />
<br />
<b>#6 Subra.</b><br />
Tunajua wanawake jinsi walivyo. Wanapenda kujivuta kwa kila mambo. Pia wanakuwa si wasikivu wakati mwingine. Uzuri ni kuwa ukiwa unadeti mwanaume mzee kukuliko ni sahali kwako. Wanaume aina hii wanakuwa na subra zaidi ya wanaume wowote. So ukichelewa kidogo kwenda deti ataelewa. Ukichelewa kupika wakati wake pia atafahamu. Wanakuwa na ule msemo wa ‘yataka timing kumkata kobe kichwa’<br />
<b><br /></b>
<b>#7 Anafuata utaratibu.</b><br />
Wanawake hupenda wanaume ambao wanakuwa na utaratibu. Wanawake wangependa wanaume ambao kama ataonyesha upendo basi atauonyesha upendo huo bila kusita hata siku moja. Tatizo ni kuwa wanaume wengi hawawezi kuwa na huo utaratibu. Lakini si mwisho hapo, hili kundi la wanaume wazee ama waliokupita umri wanajua vyema kufuata utaratibu huu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/01/jinsi-ya-kuongea-na-mwanaume-na-umfanye-avutiwe-nawe.html">Jinsi ya kuongea na mwanaume aliyekupendeza</a>]<br />
<br />
<b>#8 Wanayafanya maisha yako kuwa rahisi.</b><br />
Kudeti mwanaume aliyekupita umri kuna raha, utakuwa na uhakika ya kuwa maisha yako yatakuwa rahisi. Kila kitu ambacho ungetamani akufanyie basi atakutimizia bila shida yeyote. Pia atakuwa mstari wa mbele kukulinda kutokana na tishio lolote lile ambalo litajitokeza.<br />
<br />
Ok. Haya ni baadhi ya mambo ambayo unapaswa kutarajia iwapo utaamua kudeti mwanaume aliyekushinda umri.<br />
Psss! Lakini pia uchunge usije ukashikwa katika fumanizi manake wanaume wengi kama hawa huwa wameoa na huongoza katika kuwa na michepuko. Tafuta ambaye yuko singo.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-15756566678515501022023-06-23T15:18:00.000+03:002023-06-23T15:18:29.660+03:00Ishara 12 Za Kuonyesha Kuwa Rafiki Yako Amefall Na Wewe<div class="MsoNormal">
Ushawahi kuwa na rafiki yako, ama una rafiki ambaye tabia zake sikuhizi zimebadilika? Tabia zake zimekuwa tofauti na kama alivyokuwa zamani? Rafiki yako huyu umemuona amejeuka ghafla kukupa atenshen yake yote kwako?<o:p></o:p><br />
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiceMwpCc27EZC1WgCJpXMj3CcpoFqbOT_2t3rJT_8K8maLq4CkXQGfHSEu1KZm_BqlqgT3u72EustmFERMHELngD0ToDp9TM_ksFecB0VZOeVzHRDH5quUr4e2m1aFfatG_CeRjVoH/s1600/How-to-tell-if-a-guy-likes-you.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiceMwpCc27EZC1WgCJpXMj3CcpoFqbOT_2t3rJT_8K8maLq4CkXQGfHSEu1KZm_BqlqgT3u72EustmFERMHELngD0ToDp9TM_ksFecB0VZOeVzHRDH5quUr4e2m1aFfatG_CeRjVoH/s320/How-to-tell-if-a-guy-likes-you.jpg" width="320" /></a></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
Well, inawezakuwa amependezwa na wewe kiasi cha kuwa anatamani muwe pamoja. Labda amefall na wewe. Hizi hapa ni baadhi ya mambo unapaswa kuyaangalia kwa rafiki yako utambue iwapo amekuzimia au la.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#1 Wakati wanapojibu texts zako wanatumia muda mfupi sana ama muda mrefu kupita kiasi. </b>Kama anakuchukulia kama rafiki yako wa kawaida basi texts ama jumbe zake huwa anakutumia kwa mwendo wa kawaida. Lakini kama iwapo ana hisia na wewe utaona ukimtumia jumbe anakujibu papo hapo, yaani chini ya sekunde moja :) , ama watapiga hesabu ya kila masaa 5 na dakika 24 ndio wakutumie text nyingine (yaani kuonyesha kuwa wanapendezwa wakiwa karibu yako)<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#2 Wanakutumia text nyingi zaidi. </b> Hii ni dalili moja kubwa kwa rafiki yako. Sana sana wao ndio wanaoanzisha maongezi na pia wanakutumia jumbe kwa wingi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#3 Kila wakati wanakuuliza kama unapendezwa na mtu. </b>Mara nyingi maswali haya watakuuliza wakati usiku wa kiza umewadia na kila kitu kimetulia, nyinyi wawili pekeenu mkiwa mnachat.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#4 Wanasistiza kuwa hawajapenda mtu kwa sasa. </b>Kwa kawaida watasema haya yote kwa kuwa tayari washayalenga macho yao kwako wakiangalia iwapo utawakubali au la.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#5 Hawamkubali yule unayemzimia ama unayedeti. </b>Ushawahi kuwa katika deti flani halafu rafiki yako kila wakati anamkashifu unayempenda? Ama kila wakati unapomtajia mwanaume unayemzimia anakasirika ama atakatiza maongezi yenu? Well, hii ni ishara ya moja kwa moja kuonyesha kuwa rafiki yako anakupenda wewe.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#6 Wanakualika muspend wikendi pamoja mkiwa pekeenu. </b>Kama urafiki wenu pamoja na huyu rafiki yako ulikuwa wa kutangamana na marafiki wengine lakini ghafla wanakualika muspend Jumamosi nyinyi wawili pekeenu basi hio ni ishara ya moja kwa moja kuwa kuna kitu kimeanza kupikika. Mukiwa pamoja na marafiki zenu kuna maanisha kuwa atenshen yote itakuwa kikundini, lakini mukiwa nyinyi wawili itabakia nyinyi wawili. Ishara ya kuwa anakutaka uwe wake kabisa.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#7 Mara moja anaanza kukusifia kiundani. </b> Mumezoea kuwa kila wakati mkiwa pamoja mnaongea kuhusu yule mvulana msiempenda ama habari za udaku, lakini hii siku moja ameanza kukusifia sifa za kama “Waa! nywele zako zinanukia utamu.” Halafu hawakwambii jambo hilo tena.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#8 Wanatafuta visababu vya kukugusa. </b>Wakati ambapo umeangusha neno la kuchekesha, wanakugusa kwa kukugonga mkono. Wakati ambapo hawajakuona kwa muda wa siku nyingi anakukumbatia kwa nguvu kiasi cha kuwa unahisi joto lake. Kweli, hapo kunaweza kuwa na mambo mawili...aidha ni rafiki aliyezoea miguso ama kuna ajenda ya kuwa amependezwa na wewe. <o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#9 Watu wanawauliza iwapo mnadeti. </b>Ama pia wanaweza wasiwaulize sababu wanachikulia nyinyi wawili mnadeti.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#10 Wakati flani wanaleta mzaha nyote wawili mtoke out pamoja. </b>Wanaweza kusema “Ok, kwa kuwa leo ni wikendi hatuna kitu cha kufanya. Wewe uko single na mimi niko single, si tutoke out lakini tuifanye kama deti vile, twende kwa kwa mkahawa halafu twende sinema tukajienjoy. Kirafiki?”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Hapa moja kwa moja hamaanishi kuwa ni mzaha bali anataka kujua reaction yako itakuwa vipi. Ukikubali basi atapata nafasi ya kukusogelea zaidi na zaidi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#11 Wanataka mpige picha pamoja. </b>Je hii ni ishara ya kuwa anakupenda? La. Kila siku watu hupiga picha mara kwa mara. Lakini kama wataanza kuiweka mikono kwa bega ama kiuno halafu siku ya pili unaiona kwa instagram, ni ishara ya kuwa anakujali – na labda ni zaidi ya kuwa marafiki.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#12 Wanakufanyia favour nyingi sana. </b>Kwa mfano anakusindikiza hadi nyumbani kwenu hata kama mnaishi mtaa wa pili na pia kukulipia bili zako za hotelini. Anakusaidia kutafuta vitu vyako ulivyosahau pale ulivyoweka na kadhalika...<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
Well. Hizi ni dalili daharihi kuonyesha kuwa kuna kitu ambacho rafiki yako anahisi kwako. Je wewe utachukua hatua gani?</div>
<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-36435079164014501522023-06-20T09:40:00.000+03:002023-06-20T09:40:45.716+03:00 SMS Ambazo Mwanamke Hapaswi Kumtumia Mwanaume YeyoteWanaume hupenda sana kuwasiliana na wanawake kupitia kwa SMS na njia nyingine za mitandao. Wanaweza kukusumbua siku nzima na SMS hizi.<br />
<br />
Halafu pindi ukianza kuongea na wao wanaweza kuja na mitindo mingine ya jumbe ambazo zinakuamuru ufanye jambo flani ama kutaka uwaonyeshe kitu flani.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6IrdghgLEGSmuoACgoV7enSmtsWvcG7LnxJ9mJN9l__f2qRnSHMmkJcLDzHKaJ3yORqgCby5PA7tACsIeB4vVlj98TXOdrnNqCk35kGuHqCaOK-x9OvwLLMMuOkKHUo16dcBPXr9YvD8/s1600/iStock-639312126-400x400.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="400" data-original-width="400" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6IrdghgLEGSmuoACgoV7enSmtsWvcG7LnxJ9mJN9l__f2qRnSHMmkJcLDzHKaJ3yORqgCby5PA7tACsIeB4vVlj98TXOdrnNqCk35kGuHqCaOK-x9OvwLLMMuOkKHUo16dcBPXr9YvD8/s320/iStock-639312126-400x400.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Ijapokuwa unaweza kuona kuwa ni mbinu nzuri ya kuwasiliana nao, wakati mwingine ni tabia mbaya. Unaweza ukamtumia mwanaume kitu flani na mwishowe akakudhalilisha ama kukushusha hadhi.<br />
<br />
So kama mwanamke, unapaswa kuweka mipaka kwa kile ambacho utamtumia mwanaume. Leo tumekuja na mambo ambayo hupaswi kumtumia mwanaume yeyote wakati wowote ule. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/03/mambo-ya-kufanya-na-kuepuka-ukipata.html">Mambo ya kufanya ukipata mchumba mpya</a>]<br />
<br />
<h3>
SMS unazopaswa kuepuka kumtumia mwanaume.</h3>
<br />
<h4>
#1 Picha za uchi.</h4>
Hapa ni moja kwa moja. Usijaribu kumtumia mwanaume yeyote picha zako za uchi. Hata kama atatumia mbinu yeyote usikubali. Kutuma picha za uchi kwa mwanaume kuna madhara makubwa sana. Ukikosana na yeye anaweza kuzisambaza kwa mitandao na aibu ukurudie wewe.<br />
<br />
<h4>
#2 Uongo.</h4>
Usitumie uongo wowote kuteka atenshen ya mwanaume. Hii haina manufaa yeyote. Unachotakiwa kufanya ni kuwa mkweli kwa kila kitu ambacho unafanya. Akikupenda tu atakukubali bila kutumia uongo wowote.<br />
<br />
<h4>
#3 “Hallo, mambo vipi?”</h4>
Huu ni mfano mmoja wa meseji ambazo huboesha na huudhi. Aina hizi za sms ziwaachie wenyewe. Mara nyingi aina hizi za sms huhusishwa na wanaume ambao wanapata ugumu wa kuwasiliana na mwanamke.<br />
[Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/01/jinsi-ya-kumtongoza-mwanaume-bila.html">Jinsi ya kumtongoza mwanaume bila kukushuku</a>]<br />
<br />
<h4>
#4 Emoji</h4>
Emoji ni nzuri kuteka atenshen ya mwanaume lakini pia lazima ujue matumizi yake. Usitumie emoji za chakula, hoteli, pesa, kuboeka ama emoji zozote ambazo unajua zinaweza kumuudhi yeyote.<br />
<br />
<h4>
#5 SMS pacha</h4>
Labda unaweza kusema ni tatizo katika simu yako, lakini hili ni jambo ambalo hupaswi kujaribu. Kumtumia mwanaume SMS za kujirudia rudia unapaswa kuacha. Hii ni tabia ya kuonyesha kuwa una uchu wa kuwasiliana na mwanaume.<br />
<br />
<h4>
#6 Kuandika aya</h4>
Kama uko katikati ya mazungumzo, unaweza kuandika aya vile ambavyo unataka wewe lakini kama ndio mazungumzo yanaanza basi hupaswi kuandika ujumbe mrefu. Anza tu na sentensi moja kama tu, hi! Mambo! Niaje! Na SMS kama hizo.<br />
<br />
<h4>
#7 SMS za ulevi</h4>
Hizi ni SMS ambazo mtu huandika kimaksudi kana kwamba amelewa. Unamuuliza swali hili yeye anakujibu nje ya mada. Aina hii ya SMS achana nazo. Waachie walevi waendelee nazo.<br />
<br />
<h4>
#8 SMS za kujifanya</h4>
Wanawake wengi hupenda kutumia mbinu hii kutaka mazungumzo na mwanaume. Wanakutumia meseji kimakosa halafu wanarudi kusema, “Samahani, nimekutumia sms hii kwa bahati mbaya.”<br />
Mbinu hizi zimepitwa na wakati, achana nazo. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/05/jinsi-ya-kuishi-katika-mahusiano-marefu.html">Jinsi ya kuwa na mahusiano marefu na mpenzi wako</a>]<br />
<br />
<h4>
#9 Udaku</h4>
Kuzungumza udaku wa wasanii inakubalika lakini kama unataka kuteka atenshen ya mwanaume kwa kutumia udaku ama uvumi wa uongo basi hutafaulu.<br />
<br />
<h4>
#10 Kumuuliza kwa nini hajakujibu</h4>
Ijapokuwa utahitaji akujibu kwa nini hakujibu sms zako wakati uliotangulia, mbinu hii si nzuri kabisa. Achana nayo. Hii ni kwa kuwa mara nyingi wanaume ukiwatumia sms kama hii watakuambia kuwa walikuwa busy ama wanaweza kukudanganya ama kuboeka na wewe tu.<br />
<br />
Upo!? Kazi kwako sasa.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-32900112379163529762023-06-19T13:11:00.000+03:002023-06-19T13:11:14.428+03:00Mambo Ya Kufanya Na Kuepuka Ukipata Boyfriend MpyaKuingia katika mahusiano si jambo rahisi. Na sasa kwa kuwa umepata boyfriend mpya, si jambo zuri kuharibu kila kitu kwa wakati mmoja.<br />
<br />
Lakini kwa kuwa Nesi Mapenzi iko hapa, naamini kuwa hutakuwa na changamoto zozote ambazo zinaweza kukukumba.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglz-oC8cMjHo9qvy0YFaPvTh9zMoP9KHMTL_bEfhFj_eMNW7he9R2pBhsAprE0lxaKu4TOXNRRkwP86RKvwybOQOEmjmZVMNJDZK4I1OhwOHzdX8b7twJNvoZILvJkEgtoSuoJq5VbjYQ/s1600/12036015-young-couple-kissing-through-baloon-heart-surprise-isolated-on-white-backgroud.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="301" data-original-width="450" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEglz-oC8cMjHo9qvy0YFaPvTh9zMoP9KHMTL_bEfhFj_eMNW7he9R2pBhsAprE0lxaKu4TOXNRRkwP86RKvwybOQOEmjmZVMNJDZK4I1OhwOHzdX8b7twJNvoZILvJkEgtoSuoJq5VbjYQ/s400/12036015-young-couple-kissing-through-baloon-heart-surprise-isolated-on-white-backgroud.jpg" width="400" /></a></div>
<br />
Kuwa na boyfriend mpya kuna raha zake. Huwa ni raha tupu. Utakuwa na muda mwingi wa kuweza kujuana na yeye na kila kitu kipya kumhusu. Na iwapo utagundua kuwa unampenda basi utataka kuishi na yeye kwa muda mrefu.<br />
<br />
<h3>
Mambo ya kufanya ukipata mwanaume ama boyfriend mpya</h3>
Kwa kawaida huwa tunapenda kuyafanya mahusiano yetu mapya kama ni mayai, tunaogopa yasije yakavunjika. Lakini ukweli ni kuwa ukiwa katika mahusiano mapya hupaswi kubadilika na kutatiza maisha yako ya kawaida. Wengi wetu wakiingia katika mahusiano mapya wanaogopa kuongea ama kufanya mambo ambayo wamezoea. Huwa wanaogopa kuwa wanaweza kuvunja mahusiano. Lakini ukibadilisha maisha yako kuna furaha gani ndani yake?<br />
<br />
Halafu pia kama hutakuwa na uwezo wa kuwa huru katika mahusiano mapya utakuwa unaleta shida. So leo katika chapisho hili tumekuja na mwongozo wa mambo ya kufanya na kuepuka ukipata boyfriend mpya.<br />
<br />
Usiwe na woga. Fuata huu mwongozo.<br />
<br />
<h4>
#1 Usiharakishe. </h4>
Najua hili si jambo rahisi kutimiza. Pindi mtu anapoingia katika mahusiano mapya huwa anataka kurukia ndani mzima mzima bila hata kufikiria chochote zaidi. Lakini swali linakuja pale pa, “mbona uharakishe?”<br />
<br />
Shikilia pale pa mahusiano ya kudeti kwanza. Itafikia wakati ambapo mtalalana hadi mchoke. So ngojea kwanza. Usimvulie chochote. Huu ni mwanzo tu. Kwanza jenga mapenzi yenu yawe ya nguvu zaidi.<br />
<br />
<h4>
#2 Usimakinike na kumbadilisha.</h4>
Najua utakuwa unampenda, na unatamani umfanye wako daima. Lakini huu si wakati wake. Muda bado uko wa kufanya hayo. Kwa sasa wewe jifurahishe na yale ambayo ni muhimu. Cheka naye na umzuzue kadri uwezavyo. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/09/jinsi-ya-kutambua-iwapo-mpenzi-wako.html">Hatua za kutambua kama mpenzi wako amekamilika</a>]<br />
<br />
<h4>
#3 Wasiliana na yeye vizuri.</h4>
Mawasiliano ni muhimu kama unataka kujenga nguzo thabiti katika mahusiano yenu ambayo bado ni machanga. Hivyo basi kama unataka kumueleza jambo lolote ambalo linakutatiza, ni vizuri umweleze ana kwa ana na wala usimtumie sms ama kumpigia simu. Jaribu kutafuta mbinu ya mawasiliano ambayo yanafaa.<br />
<br />
<h4>
#4 Usizungumze kuhusu mpenzi wako wa zamani.</h4>
Kutakuwa na wakati wake wa kuongea kuhusu ex wako. Lakini kwa sasa hili si jambo muhimu. Kumbuka huyu ni boyfriend wako mpya. Na ukiwa unaongea kuhusu mahusiano yako yaliyotangulia basi anaweza kushuku kuwa bado akili yako iko kwa mwingine. Jambo la kufanya ni kuepuka kabisia na mazungumzo haya.<br />
<br />
<h4>
#5 Usiwasahau marafiki zako na familia yako.</h4>
Jambo hili hufanyika. Pindi unapokuwa katika mahusiano mapya, kila kitu kingine kinasahaulika. Lakini haifai kuwa hivi. Marafiki zako na familia yako iko na itabaki kuwapo. So usiwapuuze. Kwa kuwa tayari umeingia katika mahusiano mapya, unapaswa angalau uspend asilia 50% ukiwa na boyfriend wako mpya halafu hizo nyingine zitumie kwa marafiki na familia yako.<br />
<br />
<h4>
#6 Weka mipaka.</h4>
Kila mtu anakuwa na mipaka yake na kila mtu huheshimu mipaka ya wengine. Iwapo unajihisi kuwa hujisikii huru wakati boyfriend wako amevamia mipaka yako basi unapaswa umwambie ajue. Kwa mfano kama hujazoea boyfriend wako mpya aguse ama ashike vitu vyako basi unamwambia na mapema ili ajue kuwa unahitaji aheshimu baadhi ya mambo yako. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/09/dalili-3-dhahiri-za-kuonyesha-kuwa.html">Dalili za kuonyesha kuwa hatakuwa boyfriend wako</a>]<br />
<br />
<h4>
#7 Jua lengo la mahusiano yenu.</h4>
Unapaswa kujua lengo la mahusiano yenu. Kama ni mahusiano ya mlalano ama ya kudumu lazima ujue. Hii itakusaidia usiweze kupoteza muda wako katika mahusiano ambayo hayatakupeleka mahali popote. Lazima uwe mkweli katika kujua lengo lako kwa kuwa mambo yakiharibika ni wewe ambaye utakuja kuumia.<br />
<br />
<h4>
#8 Jienjoy</h4>
Huu ni wakati wako wa kuinjoy muda wako. Mvumbue boyfriend wako mpya. Tembeeni sehemu mpya, jaribuni hoteli mpya, tembeleeni miji mipya na kadhalika. Huyu ni mtu ambaye unapaswa kuvumbua mapya na yeye. Na kama hauwezi kufanya mambo mapya ukiwa na yeye basi kuna umuhimu gani wa kuwa na yeye kimahusiano?<br />
<br />
<h4>
#9 Usijeuze tabia.</h4>
Wanawake wengi hukosea na hapa. Wanabadilisha tabia zao ili ziwaridhishe wapenzi wao. Haya ni makosa makubwa ambayo unapaswa kuyaepuka. Hufai kubadilisha tabia ili uridhishe mwanaume yeyote. Unahitaji kuwa na maoni yako binafsi. Hii ni muhimu kwa kuwa itafikia mahali utataka kurudi kwa tabia zako za awali ilhali amekuzoea na tabia nyingine. Upo?<br />
<br />
<h4>
#10 Usiharakishe kukutana na wazazi.</h4>
Kukutana na wazazi huwa ni jambo zito ambalo linahitaji moyo. Lakini usilazimishe ukutane na wazazi katika deti ya pili. Chukua muda wako kwanza. Haina haraka. Muhimu ni kwanza uweze kumjua huyu boyfriend wako mpya kabla fikra za kukutana wazazi hazijakujia.<br />
<br />
<h4>
#11 Usimfanye kila wakati alipe.</h4>
Huyu ni boyfriend wako na wala si shimo la pesa ama ATM. Ukweli ni kuwa wanaume huwa wanakuwa na presha nyingi wakati wanapojiingiza katika mahusiano na mwanamke. Hii ni kwa sababu wanawake wengi hupenda kuwaomba pesa kupindukia. So hapa usimpe presha mpenzi wako. Ukiwa na pesa toa. Lipa bili za hoteli ama lipia yale mambo madogo madogo.<br />
<br />
<h4>
#12 Kuwa mkweli.</h4>
Ukitaka mahusiano yenu yaende sawa, basi lazima uwe mkweli kwa mambo yako. Usitumie uongo kutaka kufanikisha jambo. Umejuana naye tu juzi. Hivyo tabia zako za mara ya kwanza ndizo ambazo atazichukua kama hulka yako. Lakini usisahau kuwa hupaswi kumwambia kila kitu hadi siri zako za kuzimu. Hizo baki nazo.<br />
<br />
<br />
Umeona sasa? Haya si mambo magumu ya kuzingatia unapopata boyfriend mpya. Zingatia mambo ya kufanya na kutofanya ili uweze kufaulu katika mahusiano yako.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-7575779778042783062023-06-18T10:37:00.000+03:002023-06-18T10:37:26.033+03:00Maneno Ya Kusema Unapozungumza Na Mwanamke Mara Ya KwanzaWengi wa wanaume ambao wanashindwa kutongoza wanawake huwa wote wanakuwa na tabia moja. Tabia yenyewe ni uoga wa kuzungumza.<br />
<br />
Ukweli ni kuwa anaweza kumuapproach mwanamke hadi pale alipo. Anaweza kuwa na confidence ya kumfikia na kumsalimia. Lakini ikija katika maswala ya kuongea huwa anatatizika.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJnLcgouhNTCLijOrjp_i6lIYZOBeyEB9tSXnD6AyxW9K8uouIO9G8vQm7UfjGF_uXAccJcFiI-e8dK9LY3rtXrFh8OLo1LKUhYh9HeEjJBEXl2Lk4z0sz_x4QVKyUoYUYi6Mv2SZlZMM/s1600/23050250-two-students-boy-and-girl-talking-happy-outside-of-the-campus.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="300" data-original-width="450" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJnLcgouhNTCLijOrjp_i6lIYZOBeyEB9tSXnD6AyxW9K8uouIO9G8vQm7UfjGF_uXAccJcFiI-e8dK9LY3rtXrFh8OLo1LKUhYh9HeEjJBEXl2Lk4z0sz_x4QVKyUoYUYi6Mv2SZlZMM/s320/23050250-two-students-boy-and-girl-talking-happy-outside-of-the-campus.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Utapata mwanaume amevalia vizuri, amekaa na confidence na kila kitu ambacho unamuaminia kuwa hawezi kushindwa na chochote.<br />
<br />
Lakini tatizo ni shida ya kuzungumza. Ninapoandika hivi nakumbuka siku moja nilikuwa katika klabu nikiwa kando na mwanamke mrembo. Halafu baada ya madakika palitokezea jamaa ambaye kimtizamo tu utajua kuwa alikuwa na lengo la kumtongoza.<br />
<br />
Katika mazungumzo yake nilishangazwa. Unajua alimwambia nini huyu mwanamke? Nakumbuka alisema hivi:<br />
<br />
Mwanaume: Vipi mrembo, naona uko pekeako so nataka nikukeep company.<br />
Mwanamke: Poa.<br />
Mwanaume: Hivi unaitwa nani?<br />
Mwanamke: Naitwa Sheila.<br />
Mwanaume: Sawa.<br />
<br />
Baada ya hapo mwanaume huyu alikwamia hapo. Akaagiza kinywaji kutoka kwa mhudumu, halafu akaendelea kumwambia huyu mwanamke, “Nimekununulia kinywaji.” Mwanamke akamjibu, “Asante”<br />
<br />
Baada ya dakika mbili hivi za kimya huku nyimbo zikiwa zinaendelea kwa klabu, mwanaume alitoa simu yake na kumwomba namba....<br />
<br />
Unajua kitu gani kilitokea baada ya hapo? Mwanamke alisema anachelewa kurudi nyumbani. Na alitoka akamwacha huyu mwanaume akiuma kucha. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/mbinu-5-tofauti-za-kumwomba-mwanamke.html">Mbinu nzuri za kumwomba mwanamke namba ya simu bila kukataa</a>]<br />
<br />
Nilisikitika. Nilitaka kumjulisha mbinu za kutongoza lakini nikasema acha apambane na hali yake. Labda dunia ilikuwa haitaki akutane na huyu mwanamke.<br />
<br />
Well, haya ndio mambo ambayo wanaume wengi hupitia. Na ni jambo la kawaida.<br />
<br />
Ijapokuwa hapa Nesi Mapenzi tunajaribu kadri tuwezavyo kuhakikisha kuwa tunawasaidia wanaume na maneno ya kuongea wakati wanapokuwa na wanawake, maneno haya hayatokuwa na umuhimu kama hautakuwa na fomula ya kuyatumia.<br />
<br />
Ndio maana leo tumekuja na mwongozo wa kufuata wakati unapokuwa na mazungumzo na mwanamke.<br />
<br />
<h3>
#1 Muulize kumhusu.</h3>
Unapozungumza na mwanamke, jenga mazungumzo yako kwa kumuuliza anafanya mambo gani, muulize sehemu anapofanya kazi ama anaposoma. Haya ni maneno ya kimsingi ambayo tayari amezoea kuyaskia. Yaweke maswali yako yawe sahili na pia utumie hisia wakati anapokujibu. Mfano akisema anasoma Makerere unamjibu, “Wow, hapo mahali ni tajika sana!” Kufanya hivi kutamfanya mwanamke huyu kuvutiwa na wewe na atakuwa interested kufunguka zaidi katika mazungumzo yenu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/12/maneno-20-ya-kumwambia-mwanamke-wakati.html">Maswali 20 ya kumuuliza mwanamke unapomtongoza</a>]<br />
<br />
<h3>
#2 Jenga uwiano.</h3>
Tafuta jambo lolote ambalo litawiana na yeye. Kwa mfano amesema kuwa anapenda kusikiliza nyimbo za rnb. Wewe unafaa ujibu kitu kama hiki. “Waah, sikujua kama nazungumza na mtu ambaye anapenda kusikiliza rnb kama mimi” ama “Niko na nyimbo nyingi za rbn huwa nazisikiliza lakini mimi si shabiki sugu. Lakini kwa kuwa unapenda hizo nyimbo itabidi unipe siri ambayo nafaa kufanya ili niwe kama wewe.”<br />
<br />
Mbinu hii italeta uwiano na mazungumzo yenu yatakuwa marefu. Hapa usitie shaka kwa kuwa hutaishiwa na jambo la kumwambia mwanamke huyu wakati wowote.<br />
<br />
<br />
<h3>
#3 Jitambulishe.</h3>
Kabla kujieleza wewe ni nani, kwanza lazima ujenge uwiano na mwanamke. Baada ya madakika kadhaa katika mazungumzo yenu, unaweza kuchukua hatua ya kujieleza baada ya kuteka interest yake. So hapa unafunguka kulingana na vile mazungumzo yanavyoenda. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/02/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-akutambue.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke akutambue bila hata kuongea naye</a>]<br />
<br />
<br />
<h3>
#4 Shukuru uwepo wake.</h3>
Mwambie jambo ambalo ni la kirafiki lakini pia la kumsuka. Mwambie hivi, “Nimesikia raha kuwa uko hapa na mimi, nilikuwa nimeanza kuboeka kuzungukwa na watu ambao hawaeleweki hadi ulipokuja.” Hapa utakuwa umepiga ndege wawili na jiwe moja. Kwanza unampa ishara ya kuwa unamsuka na pili unamshukuru.<br />
<br />
<h3>
#5 Zungumza kuhusu sehemu mlipo.</h3>
Angalia kitu chochote wakati mnaendelea na mazungumzo yenu na uzungumzie kuhusu kitu chochote. Mfano kama mko katika klabu unaweza kuleta gumzo kuhusu mziki unaochezwa. Kama mko katika mkahawa unaweza kumuuluza kuhusu chakula kizuri anachopenda na kadhalika. Zungumza kuhusu chochote.<br />
<br />
<h3>
#6 Msifie.</h3>
Kufikia sahizi utakuwa ushajenga taswira nzuri kwake kukuhusu. So unapaswa uvuke level nyingine. Wanaume wengi hushindwa kuvuka level hii kwa kuwa wanashindwa kutofautisha kati ya maneno ya kiurafiki na maneno ya kimapenzi. Ndio maana utapata wanaume wengi wanatufuata inbox na kusema kuwa wamekuwa na mwanamke kwa zaidi ya miezi sita lakini hawajawakubali.<br />
<br />
So hii ndio hatua muhimu zaidi ya yote. Ikifikia wakati flani katika mazungumzo yenu, hupaswi kuendeleza na kumchekesha mwanamke. Unapaswa kutumia maneno ambayo yatamfanya mwanamke ajue kuwa lengo lako si kujenga urafiki na yeye bali ni kumtaka kimapenzi. Upo? [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/02/jinsi-ya-kuzungumza-na-mwanamke-ili.html">Jinsi ya kuzungumza na mwanamke ili umvutie</a>]<br />
<br />
Mafanikio kwako.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-82360389030372980342023-06-14T11:44:00.000+03:002023-06-14T11:44:45.209+03:00Mambo 13 Ambayo Humfanya Mwanaume Kuwa Boyfriend Material<div class="MsoNormal">
Wanaume ni wengi ambao watakuapproach. Wengine ni wazuri umependezwa nao na wengine hujapendezwa wao. Lakini je, utajuaje ni mwanaume yupi anayefaa katika maisha yako? Kuna wanawake wengi ambao wamekabiliwa na mateso ya kuachwa na mwanaume mmoja hadi mwingine kisa ni kuwa hawajui kuchagua. Si kila mwanaume anayekuappoach na kukutongoza unapaswa kumkubali. Kile kinachohitajika kwanza ni kuhakikisha kuwa unamsoma na kuzijua tabia zake kabla hujaamua kumkubali.<o:p></o:p><br />
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRq-nQyti54vnmqXN6CGjHShLfg10VgR-VdiKqU-OvfM5SpalClt6QNYXfjjVlaImh7KNUuO9Rma0zPtfu5Eq5my_EiiEjmYeymtWJyd5X4kUuj3ixC-egJATIH0NP3hlQgBPkwpdb/s1600/boyfriend-material.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="184" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRq-nQyti54vnmqXN6CGjHShLfg10VgR-VdiKqU-OvfM5SpalClt6QNYXfjjVlaImh7KNUuO9Rma0zPtfu5Eq5my_EiiEjmYeymtWJyd5X4kUuj3ixC-egJATIH0NP3hlQgBPkwpdb/s320/boyfriend-material.jpg" width="320" /></a></div>
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
Hapa Dakari Mapenzi tumekuja na vigezo vya kuangalia na kuchunguza kabla ya kumchagua mwanaume.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
Zama nasi...<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#1 Huwa anapanga mambo na wewe.</b> Ukimwona mwanaume ambaye anakuhusisha katika maamuzi yake basi fahamu hapo ndipo. Mwanaume ambaye atakuambia na mapema kuhusu mambo anayoyapanga wikendi ya kutoka pamoja basi jua huyu ni mwanaume ambaye anaonyesha dalili za mwanaume bora.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#2 Anakumbuka mambo masuala ambayo uliyazungumza kitambo na kuyaleta katika mazungumzo yenu.</b> Hapa sio siri. Kila mwanamke anapenda mwanaume ambaye anakumbuka mambo ambayo alimwambia ama alimfanyia kitambo. Mfano mwanamke husisimka haswa wakati ambapo mwanaume anamwambia jinsi mara ya kwanza walipokutana na jinsi alivyovalia. Hii ni ishara dhabiti ya kuonyesha mwanaume kama huyu anakudhamini. Ukimwona mwanaume ambaye hakumbuki hata jina lako basi huyo mueke mbali sana.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#3 Haangalii picha zako fb/instagram pekee bali pia ana comment.</b> Kama unazungumza na yeye kwa comments zako bila tatizo basi huyu hata mnaweza kuoana naye hapo hapo :)<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#4 Kukutumia na kujibu text zako si tatizo.</b> Ukiona mwanaume anachukua karne nzima kabla kukujibu text yako basi hapo atakuwa labda anawengine anaowaweka umuhimu zaidi kukuliko. Lakini ukimwona anamakinika na wewe katika kila jumbe basi hapo ndipo, usichelewe.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#5 Yuko serious na maisha yake ya mbeleni.</b> Mwanaume ambaye anayapanga maisha yake ya mbeleni ni mwanaume bora kati ya wote. Hii ni ishara ya kuonyesha kuwa mbeleni hataki kupitia mateso yeyote wakati ambapo atakuwa na kipenzi chake ubavuni mwake. Hivyo wewe unapaswa kuchukua jukumu la kuhakikisha kuwa unayafanikisha maisha yake ya usoni kwa kuwa naye.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#6 Hajali iwapo anaonekana mshamba akiwa anadensi.</b> Utafiti unaonyesha kuwa wanaume ambao hawajui kudensi karibu mara zote huwa ndio wanakuwa boyfriend bora zaidi.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#7 Anampenda mamake na yule mama mboga.</b> Iwapo mtu anawapenda wanawake ambao waliyafanikisha maisha yake na pia wale ambao waliyafanya maisha yake kuwa rahisi, basi pia kwako atakuwa mzuri. Hili ni jambo ambalo limefanyiwa uchunguzi wa kina.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#8 Anapenda wanyama.</b> Ok ni kusema tu, kuna kitu flani ambacho kinajitokeza wakati unapomwangalia mwanaume mkubwa akimbabaikia paka mdogo ambaye analia. “NI LAZIMA UMDETI MWANAUME AINA HII HARAKA SANA.”<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#9 Anakufanya ucheke</b>. Kila mwanaume atafanya juu chini ucheke. Hivyo iwapo unamwona mwanaume anajikakamua ucheke usijilazimishe. Hakikisha kicheko chako kinatoka naturally kwa mambo ambayo yanakufanya ucheke. Anyway, ukimwona mwanaume anakupendeza na vicheko vyake basi ni ishara ya kuwa ni mbora.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#10 Nyote wawili mnazimia kipindi kimoja cha runinga.</b> Hii ni ishara ya kuwa nyote wawili mko na interest inayofanana, so mkiungana kuwa kitu kimoja pia si vibaya.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#11 Haongea ubaya kuhusu mpenzi wake wa zamani.</b> Mwanaume ambaye anatabia za ujentleman basi haitawahi kutokea hata siku moja ambapo atamtukana ama kumkejeli mpenzi wake wa zamani. Ukiona mwanaume ana tabia kama hii achana naye mara moja coz pia wewe atakufanyia vivyo hivyo.<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<b>#12 Anawaheshimu wanawake.</b> Mwanaume anayewaheshimu wanawake bila shaka naye atakuheshimu. Hivyo basi usitupe mbao wala kumkataa mwanaume aina kama hii, ni wachache sana hapa duniani. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/03/sms-ambazo-mwanamke-hapaswi-kumtumia.html">SMS ambazo mwanamke hapaswi kumtumia mwanaume</a>]<o:p></o:p></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<br />
<div class="MsoNormal">
Hivi ni baadhi ya mambo ambayo ni dalili ya kuonyesha kuwa mwanaume flani anafaa kuwa boyfriend wako. Na si lazima aonyeshe ishara hizi zote ndio umwone anakufaa, la. Iwapo ataonyesha baadhi ya ishara hizi basi usingojee mpaka apoteze tamaa kutoka kwako<a href="http://daktarimapenzi.com/">.</a></div>
<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-10116439636492954462023-06-12T10:41:00.000+03:002023-06-12T10:41:58.966+03:00Jinsi Ya Kufikiria Kama Mwanamke Ili Ufaulu Kutongoza Mwanamke Yeyote. Wanaume na wanawake si sawa. Wanaume hufikiria tofauti sana na wanawake. Kwa mfano wanaume mara nyingi hupenda maswala ya siasa, magari, na michezo ilhali wanawake utapata wao hupenda udaku, viatu, na vipindi vya thamthilia. Haya ndio maumbile ya kawaida ya jinsia hizi, na ni muhali kupata aidha jinsia hizi wakienda kinyume na kupenda vitu hivi. Sababu hii ndio hufanya vigumu kwa wanaume kuwaelewa wanawake kirahisi<a href="https://nesimapenzi.com/">.</a><br />
<br />
So kuna ukweli wa kuwa ukifikiria kama mwanamke unaweza kumuwini msichana yeyote?<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhR-ye2nMGVV-59WDZC9wRLIF-uQdJ9mDDk7ggWr4z8BlKnJxxSdx5vLseeUEC_IOPdrQSSe1KSLUtL4gUkydF5R5etjbm9-pdBgxhctgn9GYx85FSHdZKQITJ6Rs-CuF13hh-BdBm3_z4/s1600/romance-640x384.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="384" data-original-width="640" height="192" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhR-ye2nMGVV-59WDZC9wRLIF-uQdJ9mDDk7ggWr4z8BlKnJxxSdx5vLseeUEC_IOPdrQSSe1KSLUtL4gUkydF5R5etjbm9-pdBgxhctgn9GYx85FSHdZKQITJ6Rs-CuF13hh-BdBm3_z4/s320/romance-640x384.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Well, huu ni ukweli asilimia mia. Hata mmoja wa paneli yetu ya Nesi Mapenzi anayejulikana kwa jina John huwa hutumia mbinu hii mara kwa mara. Yeye husema ukifikiria kama mwanamke basi utampata mwanamke. Anaendelea kusema wazungu wao wako na usemi unaoambatana na jambo kama hili kwa kusema ‘If you want to catch a thief, think like one’ yaani ukitaka kumshika mwizi, fikiria kama mmoja wao.<br />
<br />
<h3>
Sasa tukija kwa upande wetu, utafikiriaje kama mwanamke?</h3>
<br />
Wanaume na wanawake wanakuwa na lengo moja la kutimiza kwa akili zao, lakini kuna njia tofauti tofauti za kutimiza malengo hayo.<br />
<br />
Ukitaka kumzuzua mwanamke, lazima uanze kufikiria kama mwanamke, na uje na mbinu ambazo zitamfurahisha.<br />
<br />
Lazima uhakikishe ya kuwa unajiweka katika nafsi yake, yaani unakuwa yeye. Na pia uwe unajiuliza mwenyewe tabia ambazo angetaka uwe nazo.<br />
<br />
Kuna mambo kadhaa ambayo unapaswa kuzingatia wakati ambapo umeamua kufikiria kama mwanamke. Nayo ni kama yafuatayo<br />
<br />
<h4>
#1 Mzungushe</h4>
Wanaume hupenda kuongea moja kwa moja wakiwa na hoja ambazo wanataka kupitisha, ilhali kwa wanawake ni tofauti.<br />
<br />
Wanawake wanapenda kuwe na drama ama vioja kwa maisha yao. Wanaweza kukosa kukuambia, lakini huu ndio ukweli. Tumia ujanja huu kwa faida yako ili umfanye akupende zaidi na zaidi.<br />
<br />
Mbinu hii ni rahisi. Kwanza hupaswi kumwambia kuwa unampenda haraka, na usijisumbue kumuandama kila siku kwa kumpigia simu. Bado hujakuwa boyfriend wake.<br />
<br />
Usimwambie mtoke deti na wala usimwambie kuwa unataka kuwa na mahusiano na yeye. Mambo yako yapeleke polepole. Mzungushe kadri iwezekanavyo. Wewe ongea na yeye lakini usisahau kumpatia fununu ya kuwa uko na hamu na yeye. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/saikolojia-marufuku-kumfanya-mwanamke.html">Saikolojia ya kumfanya mwanamke akupende</a>]<br />
<br />
<h4>
#2 Wanawake wanapenda atenshen.</h4>
Wanaume hawashughuliki kuhusiana na atenshen ama kuwekwa katika gumzo bora tu wapate kile kitu ambacho wanatafuta. Lakini kwa wanawake, wao hupenda atenshen sana.<br />
<br />
Mbinu hii unaweza kuitumia vizuri kwa upande wako. Kwa mfano baada ya kutoka deti ama kupata nafasi ya kwanza kuongea na yeye, unapaswa umnunulie maua. Na maua yenyewe usimpelekee nyumbani kwake, la. Unapaswa utafute mtu ampelekea kazini kwake ama sehemu anayosomea. Akipokea maua haya katika sehemu yake ya kazi, atakuwa gumzo la siku. Wenzake watataka kujua zaidi kuhusiana na zawadi uliyompelekea na pia watataka kukujua zaidi kukuhusu. Hii ni njia rahisi ya kumuwini mwanamke huyu kwa kuwa amepata atenshen ambayo anatamani kupata.<br />
<br />
<h4>
#3 Wanawake hupenda kuwafanya marafiki zao kushikwa na wivu.</h4>
Kwa wanaume, wao wanaweza kushikwa na wivu kumuona mwanaume mwingine akifanikiwa kimaisha, lakini hawezi shughulika iwapo wamepata nafasi ya kuwa na mwanamke mzuri maishani.<br />
<br />
Kwa upande mwingine, wanawake nao hupenda romance na mahaba ya ki Disney. Wanawake wote hupenda kuzuzuliwa, na wote hupenda kupata mwanaume aliyekamilika maishani. Wanaume hawa huwaita Prince Charming.<br />
<br />
So hapa utatumia mbinu hii kwa manufaa yako. Ukiwa na mwanamke, hakikisha ya kuwa unakuwa na hulka ya mwanaume aina hii ya Prince Charming. Mtoe deti, kuwa romantic, mnyeshee zawadi, mfungulie milango na kadhalika.<br />
<br />
Marafiki zake wakigundua kuwa yeye amepata mwanaume aina hii ya Prince Charming basi watakuwa na wivu. Watatamani wangekuwa wao katika nafasi ile alipo yeye. Pindi huyu mwananamke wako atakapogundua kuwa anawafanya marafiki zake wa kike kushikwa na wivu kwa sababu yako, basi ataongeza penzi lake kwako zaidi. Mbinu hii si ya kubahatisha kwani hufanya kazi asilimia 100. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-aingiwe-na.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke ashikwe na wivu</a>]<br />
<br />
<h4>
#4 Wanawake hupenda mahaba.</h4>
Kwa wanaume, mahaba si muhimu kwao. Wao bora tu waone kuwa mwanamke anampenda. Lakini kwa mwanamke, hii ni kitu tofauti. Wao kila wakati unapowaonyesha mahaba basi wao huzidi kukupenda zaidi. So hapa la kufanya unapaswa kumuonyesha upendo kila wakati atakapokuwa na wewe. Muonyeshe sapriz mara kwa mara. Mnunulie maua na mambo yote ambayo yatamfanya afurahi.<br />
<br />
<h4>
#5 Wanawake hupenda uhakikisho.</h4>
Ni hivi. Wakati mwanaume anapopenda mwanamke, marafiki zake hawawezi kumzuia ama kumwambia iwapo ni mzuri au mbaya. Kwao haina shida bora amuwini mwanamke yule. Hii ni tofauti kwa wanawake.<br />
<br />
Wanawake kwao hupenda uhakikisho. Wakati ambapo umeanza kumzuzua mwanamke, lazima itafikia wakati flani atawauliza marafiki zake kuhusiana na wewe. Sasa vile ambavyo atachukua hatua ya mbele italingana na mawazo ya rafiki zake. So hapa kama unataka kumuwini mwanamke huyu kirahisi lazima ujipendekeze kwa marafiki zake.<br />
<br />
Kama marafiki zake wamependezwa na wewe, basi atakupenda zaidi. Iwapo marafiki zake watamwambia kuwa amebahatika kupatana na mwanaume bora (ambaye ni wewe) basi utakuwa umefanikiwa bila pingamizi lolote. So hapa la kufanya ni kuhakikisha ya kuwa kila wakati unapokumbana na marafiki zake unakuwa mtulivu, mcheshi na unawasiliana nao vizuri. Pia usisahau kumtunza mwanamke huyu kama malkia wakati mnapokuwa na marafiki zake. Hii ni njia nyingine ya kuwafanya washikwe na wivu zaidi.<br />
<br />
<br />
<br />
Well, hizi ndizo mbinu za kufikiria kama mwanamke ili umuwini msichana yeyote. Mbinu hizi ni rahisi. Ukizijaribu mbinu hizi, bila shaka utashangazwa na jinsi utakavyofaulu kwa muda mfupi. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/05/njia-6-za-kuuteka-nyara-moyo-wa-mwanamke.html">Jinsi ya kuuteka nyara moyo wa mwanamke</a>]<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-65085166826397246932023-06-04T14:05:00.000+03:002023-06-04T14:05:43.718+03:00SMS 47 Za Kumpandisha Nyege Mpenzi WakoKitambo nilikuwa nikipitia sms za mapenzi na kuzisoma lakini sikuona umuhimu wake. Kile kitu ambacho nilikuwa nikiaminia ni mistari yangu ambayo nitaimwaga mbele ya mwanamke. Katika maswala ya kutumia sms za mahaba hazikunigonga kichwa kabisa.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXmSwNFwy2VxY-twcotMZZRElDS7WAWkwxWU5Ga7tajVlrPR4MyaazGKXQFWjBZkpl1DaQxKqvrKzAqA4AZLbsPKsZnxteQkdyNXZ17V0120tIel3k-q2isRSfeU2kESxGP1H88HbKWM4/s1600/IMG_20190223_132107.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="Sms za Mapenzi ambazo zitamnyegeza mwanamke kwa kuwa zina maneno matamu ya mahaba" border="0" data-original-height="600" data-original-width="1000" height="192" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXmSwNFwy2VxY-twcotMZZRElDS7WAWkwxWU5Ga7tajVlrPR4MyaazGKXQFWjBZkpl1DaQxKqvrKzAqA4AZLbsPKsZnxteQkdyNXZ17V0120tIel3k-q2isRSfeU2kESxGP1H88HbKWM4/s320/IMG_20190223_132107.jpg" title="" width="320" /></a></div>
<br />
So siku moja katika pitapita zangu katika mitandao, nikakumbana na meseji moja nzuri nikaona hebu nijaribu uwezo wa meseji hii. Meseji yenyewe ilikuwa inasema hivi, "Itunze meseji hii kwa kuwa ni uthibitisho wa penzi langu kwako". Kimzaha nikamtumia mpenzi wangu aliyekuwa yuko mbali na mimi. Akajibu kupitia sms, "Asante mpenzi wangu. Nashukuru kwa mapenzi yako". Kwa kuwa sikutilia maanani na nilikuwa naamini meseji za mahaba hazina umuhimu wowote, sikushughulika.<br />
<br />
Well, amini usiamini, baada ya mwaka mmoja na nusu niliweza kukosana na huyu mwanamke kwa sababu ya jambo dogo tu. Kilichonishangaza nikuwa ile meseji ambayo nilimtumia mwaka na unusu iliyopita kumbe bado alikuwa nayo. Mwanzo alikuwa ameisave katika sehemu maalum kwa simu yake. Nilishangazwa, nikacheka ndani yangu halafu nikamwambia, "Pole mpenzi, siwezi kuharibu penzi letu kwa sababu ya mambo madogo madogo."<br />
<br />
Tangu hio siku nikatambua nguvu iliyopo ndani ya sms hizi za mapenzi. Zina nishati ambayo ukitumia vizuri kwa mpenzi wako, hatazisahau kwamwe. Jambo hilo lilinifanya kukusanya meseji tofauti tofauti za mapenzi na kuziweka katika kitabu kimoja ambacho kinaitwa Mahabati.<br />
<br />
Kitabu hicho cha Mahabati tulikiandika tangu mwaka wa 2016 so ninaamini maneno hayo matamu ya mapenzi yatakuwa yametumika sana na hadi sahizi yanasaidia watu. Kama unataka kudownload kitabu chenyewe bure ingia hapa. [Download: <a href="https://www.nesimapenzi.com/p/blog-page_20.html?m=1">Mahabati</a>]<br />
<br />
Tukirudi katika mada ya leo ni kuwa tumekuja na orodha ya sms za mapenzi ambazo utazitumia kwa mpenzi wako leo. Inaweza kuwa ni girlfriend wako, mke wako, rafiki yako ama yule ambaye unamfukuzia. Sms hizi zina maneno matamu ya mapenzi ambayo yanaweza kumsisimua yeyote yule ambaye utamtumia. Pia sms hizi za mahaba ndio mara ya kwanza tunazichapisha kwa mtandao hivyo nyingi zitakuwa hazijulikani na wengi. Zama nasi.<br />
<br />
<h3>
Orodha ya SMS za mapenzi</h3>
1. Kwa mpenzi wangu, wewe ni mwanamke mrembo zaidi kuliko kiumbe chochote katika maisha yangu. Nakupenda zaidi ya kitu chochote ama yeyote. Ndoto yangu ni kuwa penzi letu litaendelea kuwa na nguvu kadri siku zinavyosongea.<br />
<br />
2. Wewe ni mpenzi wangu na umenipatia sababu milioni kwa mimi kutabasamu kila siku.<br />
<br />
3. Kwa sababu ya penzi lako, mpenzi wangu, naweza kuukwea mlima mrefu zaidi na pia kutatua matatizo makubwa zaidi. Penzi lako kwangu linayapa maisha yangu sababu za kufanikiwa.<br />
<br />
4. Nikiwa na wewe ubavuni mwangu na penzi lako likizunguka moyo wangu, naweza kufanikiwa na chochote. Unanipa nguvu na nishati ya kukabiliana na chochote. Nakupenda kwa moyo na roho yangu.<br />
<br />
5. Bila penzi lako katika maisha yangu, maisha yanakuwa ya upweke na kiza. Wewe ndie unayeleta mwangaza na rangi ya upinde kwa maisha yangu, hata kama ni nyakati za mawingu. Asante sana mpenzi wangu.<br />
<br />
6. Furaha inapulizwa katika maisha yangu wakati unaponitabasamia. Unapoongea, sauti yako ina nguvu ya kunipeleka sehemu ambayo kuna upendo na amani.<br />
<br />
7. Wewe ni mpenzi wangu bora zaidi. Wewe ni zawadi ambayo nimeletewa na Mwenyezi Mungu na nitaitunza na kuilinda daima. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/01/maneno-100-ya-kumwambia-mwanamke.html">Maneno 100 ya kumwambia mwanamke afurahi</a>]<br />
<br />
8. Mapenzi yako huyafanya maisha yangu kuwa ya mwangaza na kuvutia. Hujaacha kuamini uwezo wangu wa kutimiza mambo na kwa sababu ya hilo nakuthamini.<br />
<br />
9. Kila dakika ninayochukua nikiwa na wewe huwa ni spesho. Tunagawa hisia zetu na maisha yetu pamoja. Hivyo napenda zile hisia zote ambazo tunakuwa nazo wakati huo. Nakupenda mpenzi wangu.<br />
<br />
10. Nikikuweka mikononi mwangu, nahisi amani ikizunguka katika kumbata letu. Nakupenda na utakuwa karibu yangu kila wakati.<br />
<br />
11. Kila kitu kimekamilika katika dunia yangu, hii ni kwa sababu ya penzi letu ambalo tunagawa.<br />
<br />
12. Kila nikifunga macho yangu huwa nakuona mbele yangu. Kutengana kimwili hakuwezi kuzuia penzi letu ambalo tunalithamini tangu jadi.<br />
<br />
13. Haijalishi mahali popote ulipo kwa kuwa mara kwa mara unakuwa ndani ya moyo wangu na fikra zangu.<br />
<br />
14. Siku yangu huanza kwa kukufikiria wewe mpenzi wangu na huishia hivyo hivyo. Nakupenda wangu laazizi.<br />
<br />
15. Kama ningepewa nichague kati ya kulia na wewe ama kutabasamu na mwingine, ningekuchagua wewe kila wakati. Wewe ni penzi la maisha yangu.<br />
<br />
16. Wewe ni zaidi ya mwanamke bora kwangu, wewe ni kila kitu kwangu. Nakupenda kwa moyo wangu wote.<br />
<br />
17. Maneno hayaji kirahisi, lakini ninapokuwa na wewe, moyo wangu unadunda kwa haraka na nyota zinangaa zaidi.<br />
<br />
18. Laazizi wangu, wewe ni zaidi ya mchumba wangu, kila siku ni wewe unayeleta furaha ndani yangu siku baada ya siku.<br />
<br />
19. Wewe ni chuma katika ngao yangu, upepo katika dau langu na mdundo katika moyo wangu.<br />
<br />
20. Kwa mahabuba wangu, mpenzi wangu ninayempenda, tumekamilika tukiwa pamoja. Asante kwa kugawa maisha yako na mimi.<br />
<br />
21. Natamani niwe kitu cha kwanza ambacho unafikiria pindi unapoamka, mpenzi wangu.<br />
<br />
22. Itakuwa fahari yangu iwapo nitakuwa mtu wa mwisho kumfirikia kabla hujaenda kulala.<br />
<br />
23. Una uwezo wa kumwilika maisha yangu kama vile unavyonifanyia kila siku. Nakupenda.<br />
<br />
24. Unafanya dunia yangu kuzunguka na kuzunguka kila siku. Sijui nitafanya nini bila wewe.<br />
[Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/12/jinsi-ya-kumtongoza-mwanamke-katika.html">Jinsi ya kumtongoza mwanamke katika mtandao wa Facebook</a>]<br />
25. Mpenzi wangu nakuhitaji kama vile moyo wangu unavyohitaji kudunda.<br />
<br />
26. Siamini wanaposema kuwa kuna kitu kinachoitwa kupenda kwa kuona mara ya kwanza kwa sababu kila nikikuona nakupenda zaidi na zaidi.<br />
<br />
27. Kama mimi ni mfalme katika himaya yangu, basi himaya yangu haiwezi kukamilika kama wewe hautakuwa kando yangu kama malkia.<br />
<br />
28. Kama ningepewa nguvu za kuweza kurudisha kumbukumbu za awali, basi ningerudisha hadi ile siku ya kwanza nilipokuangalia machoni na nikakuangukia kwa kukupenda. Nakupenda mpenzi wangu.<br />
<br />
29. Hata kama nimeshindwa kuwa chozi lako, na pia kushindwa kuwa tabasamu lako, lakini kwako umefaulu kuwa hewa yangu ambayo inanifanya kuwa hai kila siku.<br />
<br />
30. Nataka kuwa hewa ambayo inakuzunguka kila mahali. Nataka nisitambulike lakini niwe na umuhimu zaidi kwako. Nakupenda.<br />
<br />
31. Kuna mamilioni ya watu hapa ulimwenguni lakini wewe ndie nilikuona kuwa unanikamilisha.<br />
<br />
32. Wewe ni kipisi ambacho nimekuwa nikikitafuta kukamilisha jedwali ambalo ni mimi.<br />
<br />
34. Mpenzi wangu, wewe unanikamilisha kama vile ambavyo kachumbari hukamilisha pilau.<br />
<br />
35. Wewe ni fleva katika maisha yangu. Sitaki maisha yangu yakose ladha tena, nataka ubaki na mimi mpenzi wangu.<br />
<br />
36. Nataka kufungua macho yangu na kuangalia uso wako mrembo kila asubuhi ninapoamka. Nitakuwa mtu mwenye bahati zaidi hapa ulimwenguni.<br />
<br />
37. Kama ningepewa uwezo wa kuondoa kitu hapa duniani, basi ningeondoa umbali kati yetu. Nakumiss sana mpenzi wangu.<br />
<br />
38. Maisha ni mafupi so tuvunje sheria pale tunapohitaji. Napo ni tuishi kikamilivu na tupende daima.<br />
<br />
39. Sikuwa najua kwanini haswa mtu anaweza kumuangalia mwingine na kutabasamu bila sababu zozote hadi ule wakati nilipokutana na wewe. Nataka uwe wangu.<br />
<br />
40. Mapenzi si kitu ambacho kinaeleweka, wala pia si kitu unachokihisi, huwezi kukipokea wala kupeana, mapenzi huja tu. Ndio maana nimejikuta nimekupenda mpenzi wangu.<br />
<br />
41. Kuna njia nyingi za kukuambia kuwa nakupenda zaidi ya chochote, lakini hakuna maneno ya kutosha kueleza jinsi ninavyokupenda.<br />
<br />
42. Napenda kuangalia macho yako kwa kuwa yananizuzua zaidi ya kitu chochote kile ambacho nishakumbana nacho. Nataka kuwa na wewe daima dawamu.<br />
[Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2016/11/masharti-ya-kumtext-mwanamke-makosa-5.html">Masharti ya kuzingatia wakati unapomtext mwanamke</a>]<br />
43. Kama kukupenda wewe ni hatia, basi nihukumu.<br />
<br />
44. Nilikuwa nakumiss hivyo nikaanza kuhisabu nyota ili niweze kutaja sababu zote ambazo zinanifanya nikumiss. Cha kushangaza nikuwa nimehisabu nyota zote nikamaliza lakini bado sababu niko nazo.<br />
<br />
45. Nimekupatia moyo wangu kama zawadi yako, ufanyie chochote ambacho unataka kuufanyia lakini usiuvunje.<br />
<br />
46. Nataka tuishi pamoja na kupendani kadi siku zetu za mwisho maishani.<br />
<br />
47. Mpenzi wangu, wewe ni kama shuka katika maisha yangu, kwa hivyo usiniwache kwa hii baridi.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com11tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-2271955067549664312023-06-03T09:46:00.000+03:002023-06-03T09:46:50.890+03:00Jinsi Ya Kuwaepuka Wanaume Wanaokutongoza Ilhali UnawachukiaIshawahi kutokea kwa kila mwanamke ya kuwa kuna mwanaume mmoja ambaye anakutongoza ilhali unamchukia. Halafu mbaya zaidi ni kuwa mwanaume kama huyu haskii kabisa, kila ukijaribu kumkataa ndivyo anavyozidi kukuapproach.<br />
Mara nyingi huwa inaanza hivi. Anakuapproach, anakutongoza halafu unamkubali kiasi cha kuwa unataka kumsoma akili yake. Baada ya kutoka out ama deti mara kadha ukakuja kugundua kuwa mwanaume kama huyu ana matatizo flani ambayo wewe binafsi hukuyapenda. Unajaribu kumkaa mbali lakini unamwona hataki. Unajaribu kila mbinu za kumtenga lakini yeye anasistiza.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyYadAP-GfH51MnVKBZQElbYxP4RiWUITVNJaOXyjF0T-gz04k_yfSdrZ2PpssyjApHGfbb5e8sUtWF0GiEc3UbpiUI9iLUfnp4Uc9Z8KdTux7wUaTnoahQeKQigvXlMPyAdzRwkZv/s1600/iStock_000001728804XSmall.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiyYadAP-GfH51MnVKBZQElbYxP4RiWUITVNJaOXyjF0T-gz04k_yfSdrZ2PpssyjApHGfbb5e8sUtWF0GiEc3UbpiUI9iLUfnp4Uc9Z8KdTux7wUaTnoahQeKQigvXlMPyAdzRwkZv/s1600/iStock_000001728804XSmall.jpg" /></a></div>
<br />
Well. Wakati ni sasa wa kumwambia akuache kabisa kwa kutumia mbinu zifuatazo.<br />
<br />
<b>#1 Mwambie kwa upole kuwa hujiskii na yeye.</b> Kama umegundua kuwa huyu mwanaume anayekuvizia ana matatizo lakini si tishio kwako, basi kumwambia ukweli ndio muhimu. Mwambie kuwa yeye ni mwanaume mzuri *hata kama sivyo*, lakini huko interested na yeye ndani ya moyo wako.<br />
<br />
Akiuliza ni kwanini, mwonyeshe utofauti wenu. Unaweza kumwambia kuwa wewe ni mtu unayependa kuparty ilhali yeye ni mtu anayependa utulivu, ama unaweza kumwambia wewe ana uraibu flani ilhali wewe huna. Anaweza kuuliza iwapo munaweza kuwa marafiki, lakini iwapo unataka pia kuhepa unaweza kumwambia kuwa itakuwa vibaya kuwa marafiki kwa kuwa tayari mumeanza vibaya.<br />
<br />
<b>#2 Usijibu simu wala texts zake. </b>Wakati mwanaume kama huyu amezuzulika na wewe, ama pia kuna wanawake wengine anaowaaproach, si lazima umpe maelezo kama ya hapo juu, bali unaweza kumwondoa polepole kwa maisha yako.<br />
<br />
Kitu cha kwanza cha kufanya ni kuhakikisha kuwa haujibu simu zake wala kumtext hata kama umeboeka. Ukiwa unajibu simu zake basi utakuwa unampa matumaini kuwa uko interested na yeye. Ukimzima baada ya muda flani bila shaka atakuja kuelewa – ama unaweza tu kumpa ile hotuba ya kuwa wewe na yeye hamuingiliani.<br />
<br />
<b>#3 Mblock katika mitandao ya kijamii.</b> Kando na kuwa hujibu sms zake wala simu zake, unapaswa kublock contacts zake zote katika mitandao ya kijamii ambazo unazijua. Kama unahisi kumblock utakuwa umevuka mipaka yakuonekana mbaya, na unaona si tishio kwako, basi angalau fanya kumdelete.<br />
<br />
Kumuweka katika contacts zako kutampa hisia ya kuwa nyinyi wawili mna connection aina flani, aidha ya kibinafsi au kikazi, hivyo kuona kuwa ni haki yake kuwasiliana na wewe.<br />
<b><br /></b>
<b>#4 Badilisha namba yako ya simu.</b> Najua utahisi vibaya kubadilisha namba yako ya simu, lakini kama mwanaume atakuwa anaendelea kukupigia simu na kukutext mara kadhaa kwa siku, ilhali tayari amejua kuwa huko interested na yeye, basi itakuwa jambo la kufanya ili kujiokoa.<br />
<br />
Pindi utakapojeuza namba yako, usijaribu kuiweka sehemu yeyote online, kwa sababu huyu mwanaume ama rafiki yake anaweza kuiona. Pia hakikisha kuwa marafiki zako hawapeani namba yako ya simu kwa yeyote.<br />
<br />
<b>#5 Jifanyishe kuwa una boyfriend. </b>Wakati mwingine huyu nuksi akifikiria kuwa una boyfriend, atatulia na kuachana na wewe kabisa na kufuata mwanamke mwingine. Hii ni kweli haswa iwapo huyu nuksi ni mwanaume mwoga ama mwenye haya.<br />
<br />
Ukianza kumwambia huyu mwanaume nuksi kuwa wewe hauko single, basi mwisho ataenda zake. Kama hatareact na hizi habari mpya, unaweza kutafuta mwanaume mwenye miraba halafu umfanye kuwa ni boyfriend wako wakati unamwona yuko karibu.<br />
<br />
<b>#6 Tafuta mbwa. </b>Hili si jambo la haja kwa kila mmoja, lakini kama una kazi na uko na nyumba yako, na unasumbuliwa na wanaume aina kama hii, basi inakufaa ufuge mbwa. Ukiwa na mbwa mkubwa halafu mwanaume kama huyu afikirie kukutembelea basi atajipanga coz mbwa katika nyumba yako atakuwa akikulinda wakati wote.<br />
<b><br /></b>
<b>#7 Safiri na marafiki zako. </b> Kama unaona mwanaume huyu nuksi anayatishia maisha yako, basi si vyema kusafiri ukiwa pekeako. Badala ya kusafiri pekeako, tembea mjini ukiwa na rafiki yako ama tembea ukiwa katika kikundi na rafiki zako.<br />
Ili mradi usitembee pekeako wakati wote basi utakuwa umeponea kusumbuliwa na mwanaume aina kama hii.<br />
<br />
<b>#8 Tafuta barabara mbadala za kwenda shuleni, kazini nk.</b> Kwa wale ambao wamezoea kutembea, ile barabara ya kawaida unayoitumia kutembea shuleni, kazini, ama katika shughli zako za kawaida zinaweza kukuelekeza moja kwa moja hadi kwa huyu mwanaume nuksi sehemu anakoishi, kazini ama sehemu ambazo anatembelea mara kwa mara. Kama anaweza kuwa na nafasi, anaweza hata kujiweka barabarani maksudi ili tu apatane na wewe.<br />
<br />
<b>#9 Vaa kofia na miwani.</b> Kuvaa miwani na kofia wakati mwingine husaidia kujificha kutokana na mwanaume aina kama hii. Mwanaume huyu hawezi kukusumbua iwapo hataweza kukutambua wewe. So ni muhimu kuvalia hivi iwapo unaenda sehemu ambazo unaweza kutana na wanaume kama hawa.<br />
<b><br /></b>
<b>#10 Mjulishe mwajiri wako na wenzako.</b> Kama haijubi simu zake, wala kumtext ama online, kuna uwezekano mkubwa jamaa kama huyu kuweza kwenda katika sehemu yako ya kazi. Kama unashuku kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kwake kuja sehemu unayofanya kazi basi ni bora zaidi kumjuliza mwajiri wako na wenzako ili wakati ambapo atajaribu kuja sehemu unayofanya kazi ataambiwa aende zake.<br />
<br />
Bydaway, kama unadhania mwanaume kama huyu anayekusumbua hajui sehemu unayofanya kazi basi unakosea, wanaume kwa kawaida wana taaluma ya juu ikiha kwa kutafuta kile wanachotaka.<br />
<br />
<b>#11 Tafuta mwanaume mwengine akusaidie ili amalize mawasiliano yenu</b>. Tofauti na wanawake, wanaume huwa wanareact haraka iwapo utawaomba usaidizi kama unasumbuliwa na mwanaume mwingine. Kama huyu mwanaume anakusumbua bila kukuacha basi unaweza kumwambia mwanaume unayemwamini haswa kama ni ndugu yako, mtu unayehusiana naye ama rafiki yako wa kiume.<br />
<br />
Wakati wa kuchagua mwanaume kama huyu hakikisha kuwa ana uwezo mkubwa wa kushawishi ili aweze kumwambia huyu mwanaume msumbufu aachane na wewe kabisa. Hakikisha pia huyu mwanaume ana nguvu na uwezo wa kukabiliana na mwanaume kama huyu.<br />
<br />
<b>#12 Wahusishe polisi. </b>Hii ndio suluhisho la mwisho kabisa na linapaswa kutumika katika hali zile nzito kabisa haswa kama umeona kuwa mwanaume kama huyu amekuwa tishio kwako na umejaribu kila hatua umeshindwa. Kama umeamua kuwapigia simu polisi jipange tayari kutoa ushahidi wote ambao utahitajika kama vile jumbe alizokuwa akikutumia.<br />
<br />
So haya ndio mambo ambayo yanaweza kutumiwa kuhakikisha kuwa unakabiliana na mwanaume yeyote aina hii.<br />
<br />
Chanzo: <a href="http://www.daktarimapenzi.blogspot.com/">Daktari Mapenzi</a> (Inamilikiwa na Nesi Mapenzi)<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-11763408998163443942023-06-02T11:25:00.000+03:002023-06-02T11:25:33.366+03:00Jinsi Ya Kumfanya Mwanaume Amsahau Mpenzi Wake Wa Zamani Ili Aje KwakoNaamini hii hali ishawahi kukutokea wakati mmoja au mwengine, kuna mwanaume flani ambaye umependezwa naye lakini bado fikra zake ameziweka kwa mpenzi wake wa zamani. Ama umeanza kuchumbiana na mwanaume halafu baadae ukagundua kuwa huyu mwanaume mara kwa mara anamtaja mpenzi wake wa zamani katika maongezi yenu.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHrO_dAIAPwr1T9lek-8w5CWz8YfxZ2UwAIrwYrZF9Fg4G1xFU5qwfo6B5ZRvVcwQRPgBiJV4Lv_ziQjJun-4_V4WgaddwHrR8Xtn0FeiaBaFLTSMvW8LwTD2Y-Kv4FRy5L8i2j4PX/s1600/makeherneverwanttoleave.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="212" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgHrO_dAIAPwr1T9lek-8w5CWz8YfxZ2UwAIrwYrZF9Fg4G1xFU5qwfo6B5ZRvVcwQRPgBiJV4Lv_ziQjJun-4_V4WgaddwHrR8Xtn0FeiaBaFLTSMvW8LwTD2Y-Kv4FRy5L8i2j4PX/s320/makeherneverwanttoleave.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Leo kama Daktari Mapenzi tumeamua kukomesha hili janga kwa kuja na mbinu madhubuti ambazo zitamzingiti mwanaume kama huyu ili aweze kukufikiria wewe pekeake na wala si mwingine.<br />
<br />
Zama nasi...<br />
<br />
<b>#1 Mpe muda.</b><br />
Wakati mwingine ni bora zaidi kumpa mwenzako time ili aweze kusahau matukio ya awali. Mwanaume ambaye ameachana na mpenzi wake wa zamani kwa kawaida inaweza kuchukua muda mrefu kabla kurudi kawaida. So iwapo kweli unampenda mwanaume flani basi mpe muda anaouhitaji ili aweze kumsahau mpenzi wake wa zamani. Hilo si jambo baya kufanya.<br />
<br />
Kumpa muda wa kufikiria kunasaidia kwa kuwa atakuwa anapoteza mawazo yake ya zamani na huyo mpenzi wake. Hakikisha unamkaa mbali kabisa ama anaweza kukuona kama nuksi ama kikwazo katika maisha yake.<br />
<b><br /></b>
<b>#2 Kuwa rafiki yake na umpatie sapoti anayohitaji.</b><br />
Jambo la kwanza la kufanya ni kuwa rafiki mzuri kwake. Ni kawaida kuwa na hisia za chini na mpweke wakati umetoka katika mahusiano. So ukiwa na tamaa ya kumrukia uanze mahusiano na yeye basi inaweza kukujeukia kwa sababu ishu zake bado hazijatatulika.<br />
<br />
Kwa sasa unachohitajika ni kumwonyesha kuwa wewe ni rafiki yake mkubwa, msikilize kwa kila kitu atakachokuambia na pia umpatie sapoti anayoihitaji. Kufanya hivi kutamfanya akuone kuwa unamthamini na kukuona kama mtu aliyekuwa karibu yake muda huu ambao umekuwa wa majonzi kwake. Hata kama mambo uliyotarajia yafanyike kama vile ulivyokuwa unataka hayakufanyika, haitakuwa ni tatizo kubwa coz tayari ushaweka msingi mzuri wa yeye na wewe katika maisha yenu.<br />
<b><br /></b>
<b>#3 Jiepushe asikuingize katika himaya ya urafiki</b>.<br />
Hapa ndipo kunakuja tatizo. Pindi utakapokuwa unaspend muda mwingi na yeye kwa kuenda kuangalia mpira pamoja, kutembea, kufanya shopping nk, tayari utakuwa ushaiteka atenshen yake. Lakini je, hii ndio atenshen umekuwa ukiitafuta?<br />
<br />
Tatizo linakuja hapa: kuwa makini sana usijeuke kuwa kama “mmoja wa wanaume” ama unaweza kuwa mmoja wa wale –marafiki zake. Hakikisha unamake effort ya kuonekana mrembo, kuvutia, kuwa na confidence, na kufanya wale wanaume wengine wakunotice. Mfanye akuone wewe kama mchumba ‘mtarajiwa’ kwa kutangamana kama marafiki na pia uwe unampa ishara fioa/fiche za kumvutia.<br />
<br />
<b>#4 Hakikisha mnajuana</b>.<br />
Ijapokuwa hauwezi kumlazimisha aingie katika mahusiano na wewe, huu utakuwa wakati mzuri wa kujuana bila ya presha yeyote. Nendeni mkale bata pamoja kwa kufanya mambo ambayo nyote wawili mnapenda. Hakikisha unaifanya inakuwa ya furaha, ucheshi, na kumpa mazingara ambayo hayatukuwa na vituko wala drama zozote.<br />
<br />
Kama tulivyotangulia kusema awali ni kuwa lazima uwe unatumia mbinu fioa kumwonyesha kuwa unapendezwa na yeye. Lakini usiwe na pupa la sivyo utamwogopesha.<br />
<br />
<b>#5 Kuwa makini na vichocheo</b>.<br />
Vichocheo vinaweza kuja kwa njia tofauti tofauti. inaweza kuwa marashi, sinema, nguo, mkahawa. Hivi vichocheo vinamkumbusha mpenzi wake wa zamani na jinsi walivyokuwa wakiinjoy maisha yao, jambo ambalo linaweza kuchubua vidonda vya moyoni ambavyo tayari amekuwa akijaribu kuviponesha.<br />
<br />
So kuhakikisha kuwa hautaamsha hisia za mpenzi wake wa zamani basi lazima uepukane na vichocheo hivi. Kwa mfano iwapo alikuwa akienda katika mkahawa flani na mpenzi wake, basi huo mkahawa usithubutu kujaribu kupitia na hapo. Mavazi, marashi, vipodozi ambavyo mpenzi wake alikuwa akivitumia hakikisha kuwa unaviepuka kabisa. Hakikisha anasahau kabisa kuhusiana na mambo kama haya. Ukifanikiwa kutimiza jambo hili basi utakuwa wakati mzuri wa kwako kuanza kuifuta akili yake pole pole.<br />
<br />
<b>#6 Mwache aexperience uhuru wake</b>.<br />
Kuna mambo ambayo mwanaume huyu alikuwa akikosa wakati alipokuwa na mpenzi wake. So wewe haupaswi kabisa kuwa kizingiti kwake kujaribu mambo mapya. Hii inaweza kuwa kama vile kutembea na marafiki zake nyakati za usiku, kusafiri sehemu za mbali, ama kuspend wiki nzima nyumbani huku akicheza gemu zake. Mwache ajihisi huru. Mpe sapoti yote ambayo anahitaji. Pia umuelewe shida na matatizo yake.<br />
<b><br /></b>
<b>#7 Jihusishe na activity za kimwili pamoja</b>.<br />
Aidha iwapo mnafanya mazoezi ama mapenzi, ni muhimu kuufanya mwili wake kuwa mchangamfu kila wakati ilimradi akili yake isijazwe na fikra za matukio ya awali. Kufanya mazoezi ya mwili kwa kawaida kunatoa misongo ya mawazo na kuleta hisia chanya kwa maisha.<br />
<br />
Unaweza kumchangamsha kwa kufanya mapenzi ambayo hajawahi kuyapitia tangu kuzaliwa kwake ama unaweza tu kuamua kumshawishi aachane na tabia ya kufagia nyumba yake badala yake muende gym kufanya mazoezi pamoja. Na usisahau kumuonyesha maungo yake vile ambavyo inastahili.<br />
<br />
<b>#8 Ichangamshe confidence yake.</b><br />
Mahusiano yake ya awali yanaweza kushusha kujiamini kwake. Anaweza kujiona hafai, na anaweza kuona kuwa hawezi kupata mwanamke mwingine mzuri kama mpenzi wake wa awali. Mjenge kwa kumsifia.<br />
<br />
Anza na mambo madogo madogo kama vile kuongea kuhusu hairstyle yake mpya, tai yake, halafu uanze kuongea zaidi kuhusu jinsi anaweza kumudu muda wake vizuri ama jinsi anavyokuwa na uhusiano mzuri na wenzake. Mfanye ajione kuwa yeye ni bora zaidi kwa kumpatia atenshen inayohitajika. Hakikisha unampa atenshen nzuri ili aweze kuwa na fikra chanya maishani mwake.<br />
<br />
<b>#9 Mpe nafasi ya kufunga ukurasa</b>.<br />
Mara nyingi mtu anashindwa kuachana na mpenzi wake wa zamani kwa kuwa bado hajapata nafasi ya kufunga ukurasa. Kama hii ndio hali inayomkumba mwanaume ambaye unatoka naye, labda huu ndio utakuwa wakati mzuri wa kumpa nafasi afunge chapta kabisa na mpenzi wake wa zamani. Kama anahisi kuenda tu kuongea na yeye, mpatie uhuru. Inaweza kuwa tishio kwake na kwako, lakini labda hili ndilo jambo kuu ambalo anahitaji ili aweze kumuona mpenzi wake wa zamani kuwa mtu asiyekuwa na thamani yeyote maishani mwake.<br />
<br />
Kumpa nafasi hii kunaweza kuwa mwisho wake wa kumfikiria mpenzi wake wa zamani kabisa.<br />
<br />
<b>#10 Kuwa wa thamani</b>.<br />
Unaweza kuwa umemsaidia muda huu wote aweze kumsahau ex wake na sasa fikra zake zote zimekuja kwako – lakini wewe umekuwa hapo tu kuuchezea wakati wake muda huu wote. Kama fikra zako ni kumchezea mwanaume huyu, tafadhali mpe nafasi aishi kivyake, usimtatize! Kufanya bidii kumsahau mtu halafu tena upitie janga lilo hilo ni jinamizi kubwa sana. Risk anayoichukua mara ya pili huwa inahitaji ujasiri wa hali ya juu, so hakikisha kuwa unakuwa thamani kwake kwa kuwa amejitolea kubahatisha kwako.<br />
<br />
Upo!?<br />
<br />
Chanzo cha chapisho hili ni kutoka <a href="http://daktarimapenzi.blogspot.com/">Daktari Mapenzi</a> ambayo inamilikiwa na Nesi Mapenzi<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-8008490926605909872023-05-30T21:58:00.000+03:002023-05-30T21:58:37.258+03:00Hatua Za Kumkiss Mwanamke Kwa Mara Ya KwanzaKumkiss mwanamke kwa mara ya kwanza si rahisi. Kuna mambo ambayo lazima uyaangalie kabla kuchukua hatua yoyete. Kuna rafiki yangu mwingine anaitwa Sam alikuwa na mwanamke anampenda. Hakujua jinsi atamuaproach vipi. So baada ya kumkochi mara kadhaa akaweza kumuapproach na uzuri alifanikiwa na akakubaliwa.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEOjV44y2bWRwQJXs2f57AXGph90cDtI3ZpBDcn4XC9jk8NOCmrVdr7CuaErKkaD_y5pl3xKiAPE0IOy2LgCv2fqzthmt-ixhCr_I6zxKic0ZVbwbF7HPiyrqM9Afp3rgBYWw6mm6-NN4/s1600/Dollarphotoclub_11334318-1-300x200.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="200" data-original-width="300" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEOjV44y2bWRwQJXs2f57AXGph90cDtI3ZpBDcn4XC9jk8NOCmrVdr7CuaErKkaD_y5pl3xKiAPE0IOy2LgCv2fqzthmt-ixhCr_I6zxKic0ZVbwbF7HPiyrqM9Afp3rgBYWw6mm6-NN4/s1600/Dollarphotoclub_11334318-1-300x200.jpg" /></a></div>
<br />
So mambo yalikuwa shwari na baada ya wiki tano hivi nilimuuliza Sam uhusiano wake na huyo mwanamke ulikuwa vipi. Aliniambia yuko sawa lakini tatizo ni kuwa tangu ameet naye hajawahi kumkiss. Well, sikushangaa kwa kuwa jambo kama hilo hutokezea haswa iwapo hujapata kuelewa mbinu ya kutumia kumkiss mwanamke. Wengi huogopa kuanzisha mchakato wa kumkiss mwanamke kwa kuwa wanaogopa kupigwa kofi ama mbaya zaidi kukataliwa kabisa.<br />
<br />
Najua watu kama Sam ni wengi huko nje. Kuna baadhi ya wanaume wanaweza kuongea na mwanamke lakini wanashindwa kufunga mchezo. Na kufaulu kuufunga mchezo kunaanza na kumkiss.<br />
<br />
So leo tumeamua kumaliza tatizo kwa Sam yeyote ambaye anakumbwa na tatizo hili. Je, uko tayari kujua mbinu za kutumia kumkiss mwanamke? Zama nasi. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/12/kumfanya-mwanamke-aanze-kukukiss-wa.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke akukiss wa kwanza</a>]<br />
<br />
<h3>
#1 Tafuta sehemu ya faragha.</h3>
Ukitaka kumkiss mwanamke, lazima uanze na sehemu ya faragha. Huwezi kumkiss mwanamke mara ya kwanza hadharani. Si kawaida haswa katika tamaduni zetu za kiafrika. So mpeleke sehemu ambayo imetulia mkiwa nyinyi pekeenu. Kusikuwe na chochote ambacho kinaweza kuwasumbua ikiwemo simu ama watu kujitembelea ovyo. Sehemu ambayo ina mwangaza wa chini ni bora kwenu.<br />
<br />
<h3>
#2 Usimwambie akukiss.</h3>
Ijapokuwa kumwambia mwanamke akukiss ni ishara ya kudhihirisha ujuba, mara nyingi mbinu hii huwa haifanyi kazi. Wanawake hupenda kuwe na kemia ya kimapenzi na usisimuzi kwanza kabla ya kumkiss mwanaume. So hakikisha ya kuwa unamtamkia maneno haya iwapo tu tayari anataka kukukiss.<br />
<br />
<h3>
#3 Kaa karibu na yeye na umpe mahaba.</h3>
Kwa wale wanaoanza, kaa karibu na yeye. Na mwishowe tafuta kisababu cha kukaa na yeye karibu zaidi. Unaweza kutumia mbinu ya kujifanya unasoma kitabu na yeye ama kumuonyesha chapisho la udaku kutoka kwa mtandao.<br />
<br />
Usianze mahaba kwanza. Ongea mambo matamu kumhusu, ama mambo mazuri ambayo nyinyi wawili mmepitia mkiwa pamoja. Halafu baada ya kumchangamsha, unaweza kuzungumza maswala ya undani ya mahabateni. [Download: <a href="http://www.nesimapenzi.com/p/blog-page_20.html">Kitabu chetu cha maneno matamu ya Mahaba</a>]<br />
<br />
<h3>
#4 Mguse mara kwa mara.</h3>
Tumia mikono yako kulisha vidole vyako kwa ngozi yake mara kwa mara. Unaweza kufanikisha mbinu hii kwa kumwambia kuwa ngozi yake ni laini huku ukiitomasa. Fanikisha haya kwa kumgusa kwa upole.<br />
<br />
<h3>
#5 Usilete ucheshi wala kucheka. </h3>
Unaweza kuwa mtu mcheshi sana, lakini wakati huu uweke ucheshi wako mbali. Ucheshi huua moods za kimapenzi ambazo tayari zimejijenga. Cha kufanya hapa ni kuzungumza kwa mvuto na kwa sauti ya chini. Angalia mwenendo wake uone kama atarespond chenye wewe unafanya. Ukiona ameanza kuzungumza kwa upole huku anavuta sauti yake basi hapa uko karibu kumkiss huyu mwanamke bila wasiwasi.<br />
<br />
<h3>
#6 Muweke katika hisia zifaazo.</h3>
Iwapo huyu mwanamke anacheka, anaweka mizaha katika maswala muhimu, ama kuongea na sauti ya juu, basi huyu hajaingia katika hisia zifaazo za kumkiss. So la kufanya hapa ni kushika mikono yake na uanze kucheza na vidole vyake. Weka viganja vyake kwako na uanze kuvitomasa viganja au mkono wake. Hapa ijapokuwa anaweza kushangazwa na hatua yako, mwisho atatulia na atakuwa na hisia tulivu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/jinsi-ya-kukiss-kiss-kula-dende.html">Dalili ya kuonyesha kuwa imefika wakati wa kumkiss mwanamke</a>]<br />
<br />
<h3>
#7 Mpe busu kwa shavu lake.</h3>
Hapa ndipo kizungumkuti huanza, lakini pia huu ndio mlango wa kwanza kwa mwanamke kukukiss. Ukiona ametulia na amukuwa na moods kama zako, anza kuongea kuhusu mahusiano yenu huku ukitaja jinsi umefurahia tangu umjue. Na wakati umemaliza kumwambia maneno kama haya, kwa urahaka unaendea kwa shavu lake na unambusu. Ukishafanya hivyo tu, tabasamu. Pia yeye atabasamu.<br />
<br />
Ukiwa unaogopa kumbusu kwa shavu, unaweza kuushika mkono wake na kuubusu. Hii inafanya kazi kama vile kumbusu kwa shavu.<br />
<br />
<h3>
#8 Soma reaction zake.</h3>
Je amefanyika nini baada ya kumkiss? Je ameingiwa na aibu ama ameshangazwa? Kwa vyovyote vile, wewe umembusu shavu so hawezi kukukasirikia.<br />
<br />
Kama ameshikwa na aibu, basi amependezwa. Kama ameshangazwa usiwe na wasiwasi sababu utakuwa umeharakisha mambo. So rudi tena uanze mchakato mzima wa kuanza kumtomasa ili aingie katika mood hadi aingiliane.<br />
<br />
<h3>
#9 Mkiss tena kwa shavu.</h3>
Kama amefurahia ulipomkiss awali, basi ni wakati wa kurudia tena. Wakati huu mbusu kwa shavu lake lakini pia ulete hadi karibu na kuugusa mdomo wake. Lisha kwa sekunde kadhaa sehemu hio. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/majukumu-mjeuko-mfanye-mwanamke.html">Mfanye mwanamke akufukizie</a>]<br />
<br />
<h3>
#10 Soma reaction zake kwa mara nyingine.</h3>
Sasa hapa umechukua hatua ya mbele zaidi. Je amependa? Macho yake ameyafunga huku akiskizia utamu ama ameyafungua macho yote akikuangalia kama kwamba umemkosea?<br />
<br />
Kama anaonekana kuchanganyikiwa, mkiss kwa mara nyingine. Kama anaonekana kuwa umemkosea, basi rudi nyuma ujifanye kana kwamba ulikuwa tu unambusu kiurafiki. Ipo siku nyingine unaweza kufaulu.<br />
<br />
Iwapo atashikwa na haya ama aibu na labda kukusongelea zaidi, basi hapa ushafaulu. Mkiss kwa midomo yake. Hapa lazima amependa na anataka zaidi.<br />
<br />
Usivunje tenshen baada ya busu lenu la kwanza. Kaa karibu na midomo yake. Kama anakupenda na anataka umkiss tena, basi bila shaka atakupa ishara kuwa anataka busu jingine.<br />
<br />
So ndio huu mpango mzima. Nilimuelekeza Sam kuifuata mbinu hii na baada ya kutoka deti na huyu mwanamke, alinipigia simu kuwa amemkiss na alifaulu. Je wewe utatoboa? [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/05/mwanamke-mwenye-kiu-utamjuaje-ishara.html">Zijue ishara za mwanamke mwenye kiu</a>]<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-21191080416893768582023-05-26T21:51:00.000+03:002023-05-26T21:51:10.780+03:00Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Akutambue Bila Hata Kuongea Na YeyeKatika kitabu chetu cha <a href="http://www.nesimapenzi.com/p/kuna-yule-mwanamke-ambaye-unatamani.html">Kutongoza Mwanamke Kuanzia Hadharani Hadi Kitandani</a> tumeongea swala muhimu ambalo linahusu kumfanya mwanamke aone kama amekujua tangu zamani ilhali umekutana naye tu sahizi. Mbinu hii ya kisaikolojia inaitwa sanaa ya mazungumzo. Mbinu hii huwa na mafanikio ya asilimia mia iwapo utaifuata vile inavyotakikana.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhysVBKpBYtjiOvNxrTK5Qn9MBx9nZ47aEKqVvJW9cOjNzvi66EmU0yiJqboI_vZDUZmpzEcln5HbyVNaTwBxfy1DzD67nJIMkkMbV3ATLSwfD8xz_OFxDn0hYgOntncKDRm19Y_YSIu6Y/s1600/featured-large-891.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="320" data-original-width="620" height="165" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhysVBKpBYtjiOvNxrTK5Qn9MBx9nZ47aEKqVvJW9cOjNzvi66EmU0yiJqboI_vZDUZmpzEcln5HbyVNaTwBxfy1DzD67nJIMkkMbV3ATLSwfD8xz_OFxDn0hYgOntncKDRm19Y_YSIu6Y/s320/featured-large-891.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Hata hivyo, kuna mbinu nyingine ambayo inafuata mfumo uo huo wa sanaa ya mazungumzo lakini hapa utatumia matendo ili mwanamke aweze kukutambua ama akunotice kiuharaka. Nayo katika sanaa ya mazungumzo utatumia matamshi kumfanya mwanamke akuone kana kwamba alikujua tangu zamani.<br />
<br />
Uzuri wa kutambulika na mwanamke huwa kuna faida ya kuwa pindi utakapo muapproach na ufunguke kuwa unampenda, itakuwa rahisi kwake kukubali mwitiko wako.<br />
<br />
Kutambulika na mwanamke ni rahisi. Unachohitajika ni kuhakikisha kuwa unafuata masharti ambayo tumeyaorodhesha hapo chini:<br />
<br />
<h3>
#1 Jitambulishe.</h3>
Umekuwa ukikutana naye mara kwa mara lakini bado hajakutambua. So wewe unafaa ujiletee atenshen ili akuone. Hapa itafanikishwa kirahisi wakati ambapo unakuwa kwa kikundi. Hakikisha wakati mwanamke huyu anapotokezea, kuwa mchangamfu katika kikundi chako. Ongea na marafiki zako huku mkienjoy muda wenu. Huu utakuwa mwanzo wa yeye kuanza kunotice uwepo wako.<br />
<br />
<h3>
#2 Valia vizuri.</h3>
Valia kistaarabu. Unaweza kuvalia nguo ambazo zinaweza kukutambulisha kama bilionea flani hivi. Usiogope kuwa tofauti na wengine. Lakini pia usipitishe kiwango cha kuvalia hadi ukaonekana kuwa lengo lako ni kutafuta atenshen kwa huyu mwanamke.<br />
<br />
<h3>
#3 Mwangalie machoni mara kwa mara.</h3>
Baada ya kutambua uwepo wako kwa muda, sasa una nafasi ya kuhakikisha ya kuwa unachukua hatua nyingine ya kumuonesha kuwa una interest na yeye. Na kutimiza haya ni kwa kutumia miondoko ya macho. Hapa Nesi Mapenzi tayari tushaeleza umuhimu wa kutumia macho na mbinu tofauti tofauti za kutumia macho kuhakikisha kuwa mwanamke anavutiwa na wewe.<br />
<br />
<h3>
#4 Kuwa na ujuba ndani yako.</h3>
Mwanaume mwenye tabia za ujuba huwa wanapendwa sana na wanawake. Wanaume aina hii hujiamini kwa kile ambacho wanafanya. Mfano ukijiamini, unaweza kufanya jambo lolote bila kuogopa kuwa utachekwa ama utafeli. So kwa mfano, ukimwona huyu mwanamke ameingia kwa baa, unaweza kuenda kuchukua mic na uanze kuimba karaoke, ama unaweza kuingia katika mashindano na marafiki zako. Mwanaume mwenye hulka za ujuba haogopi kufeli ama kuchekwa. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2016/02/jeuka-uwe-mwanaume-ujuba-uvutie-wanawake.html">Jeuka mwanaume ujuba kwa kufuata hizi hatua</a>]<br />
<br />
<h3>
#5 Wajue marafiki zake.</h3>
Kama hutaki kubahatisha kuongea naye moja kwa moja, unaweza kujitambulisha kwa marafiki zake wakujue. Hapa inaweza kuwa marafiki zake wa kiume ama wa kike. Haina tatizo. Ukiwavutia, wataweza kukusifia kwa huyu mwanamke unayemvizia.<br />
<br />
<h3>
#6 Jiamini. </h3>
Kujiamini ni kila kitu kama unataka kuwavutia ama kuteka atenshen ya wanawake. Kujiamini ni dalili moja ya mwanaume alpha. So utajiamini vipi? Lazima uongee bila woga, kusimama wima, tembea kama mtu jasiri na kadhalika. Haya ni baadhi ya mambo ambayo lazima uwe nayo. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/njia-nne-za-kufanya-ili-uongeze.html">Hatua za kujiamini</a>]<br />
<br />
<h3>
#7 Tembea zile sehemu anazopenda. </h3>
Kama mara kwa mara utakuwa unatokezea kwa zile sehemu ambazo anakuwa, mfano katika mkahawa, klabu, ufuoni nk, basi ni bora pia uwe unatangamana na marafiki zako katika hizo sehemu. Hii itamfanya azoee uwepo wako na pia atajihisi huru mbele yako kwa kuwa anakuona sehemu ambazo anazipenda.<br />
<br />
<h3>
#8 Kutana naye katika mazingara yasiyo ya kikazi/chuo</h3>
Kwa kuwa sahizi umetengeneza mazingara mazuri yako na yeye mkiwa katika shughli za kikazi ama chuoni, sasa ni wakati wa kukutana na uongee naye mkiwa nje ya kazi/chuo. So kufanya hivi jaribu kutafuta plan zake za wikendi atakuwa wapi. Unaweza kuwauliza marafiki zake upate kujua. Hakikisha ya kuwa sehemu utakayoenda uwe na marafiki zako ama pekeako. Pia hakikisha ya kuwa hajui ya kwamba tayari umempangia kukutana naye hio siku.<br />
<br />
So ukimwona katika hio sehemu aliyokuja, tumia mbinu ya kumwangalia kwa macho. Mwangalie kwa kwa sekunde halafu jifanye kwamba umechanganyikiwa hujui umwambie hi! ama ujipe shughli. Halafu rusha tabasamu huku ukiwa unajifanya kuwa umeshangazwa na uwepo wake. Kama tayari ashakuona mara kwa mara awali, bila shaka atakuwa ashakunotice na atakutabasamia.<br />
<br />
Pindi ukiona ametabasamu kwako, basi chukua nafasi hii ya kumuapproach na uongee naye. Mafanikio kwako.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-68421481815611569612023-05-18T22:26:00.000+03:002023-05-18T22:26:28.778+03:00Sababu Zinazomfanya Mwanamke AkunyamazieWanawake ni viumbe ambao hawaeleweki kirahisi. Wanakuwa na tabia nyingi ambazo haziwezi kueleweka kirahisi. Unaweza kuwa unaishi na mwanamke kwa muda mrefu hadi ikafikia mahali ukahisi kuwa unamjua vizuri lakini akajeuka ghafla.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEha80jgdeV-u0zxI_ubAeyTHgc_mjyYqD3ZySOI8mozbEu57kexsVzBL4-V3FmjiPHAWjx4gDlFYzEzad0YylRQQvhzIrVrs7Rq3HWRxYbj1q_bxUHnaoCMUg6grRgeJIuQlhG589f5NQM/s1600/my-girlfriend-wont-talk-to-me.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="500" data-original-width="1000" height="160" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEha80jgdeV-u0zxI_ubAeyTHgc_mjyYqD3ZySOI8mozbEu57kexsVzBL4-V3FmjiPHAWjx4gDlFYzEzad0YylRQQvhzIrVrs7Rq3HWRxYbj1q_bxUHnaoCMUg6grRgeJIuQlhG589f5NQM/s320/my-girlfriend-wont-talk-to-me.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Kusistiza swala hili ni kuwa unaweza kumtongoza mwanamke kwa muda mrefu, ukaona anaingia box halafu mara siku moja anakuzima. Unashindwa kuelewa shida ni nini.<br />
<br />
Well, mambo kama haya hutokea. Unachotakiwa kufanya nikutambua mambo ambayo yanaweza kumfanya mwanamke, akupuuzie, ama akuondoe katika maisha yako.<br />
<br />
Leo tumekuja na ishara 3 kuu ambazo zinamfanya mwanamke kukunyamazia. Labda umemtongoza kwa muda halafu akakunyamazia.<br />
<br />
<h3>
#1 Hajui kuwasiliana na wewe ili kupata kile kitu anachotaka kutoka kwako.</h3>
Wanawake wengi wanakuwa wachangamfu kuongea. Wanaweza kuongea siku nzima na yeyote. Pia wanaweza kuwaambia chochote kile wanachotaka. Lakini tatizo ni kuwa wakiingia katika mahusiano, wanaweza kuwanyamazia wapenzi wao kwa kuwa wanashindwa jinsi ya kuongea nao. Inaweza kuwa maongezi yanapotea kwa kuwa hawajazoea kujipataka katika maisha mapya ya mahusiano. So inaweza kufikia mahali wakakunyamazia kabisa. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2016/07/mambo-mwanamke-anapenda-kwa-mwanaume.html">Mambo 15 ambayo mwanamke huangalia kabla kukupenda</a>]<br />
<br />
Jambo la kufanya ili kuepuka hali kama hii ni kuhakikisha ya kuwa ukimwona mwanamke ama mpenzi wako anakunyamazia na hujui sababu zake, ni bora umuulize shida iko wapi. Pia kwa upande wako jaribu kuvivunja vizingiti vyako ili mwanamke huyu aweze kutangamana na kuongea na wewe kiurahisi.<br />
<br />
<h3>
#2 Anaona kuwa haumsikilizi.</h3>
Wanawake ni viumbe wa kusikilizwa. Wanapenda kuona watu wakiwasikiliza. Hivyo wakiona dalili ama ishara za kuwa wanapuuzwa, haswa kwa wapenzi wao, basi inafikia mahali wanaamua kunyamaza. Hali hii hutokea wakati ambapo unamkatiza usemi mara kwa mara ama wakati mnabishana unabadilisha mada na kadhalika. Hali hii itamfanya mwanamke kujiona kuwa hana usemi mbele yako hivyo kuamua kunyamaza. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/10/kwa-nini-wanawake-huwakataa-wanaume.html">Kwa nini mwanamke huwakataa wanaume aina mfani</a>]<br />
<br />
Kuepuka hali kama hii ni kuhakikisha ya kuwa unajipatia nafasi ya kumsikiliza mpenzi wako. Pia hupaswi kumkatiza usemi mara kwa mara ama hubadilisha mada. Mwanamke ameumbwa kuongea, na mwanaume ameumbwa kusikiliza.<br />
<br />
<h3>
#3 Hana maneno mazuri yeyote ya kukuambia.</h3>
Wakati mwingine mwanamke anaweza kukunyamazia kwa kuwa amechoshwa na tabia zako kiasi cha kuwa anashindwa kutamka maneno mazuri kwako. Labda anakuona humridhishi kama zamani. Labda kitambo ulikuwa unampeleka deti, ulikuwa unamnunulia zawadi na kumsapriz mara kwa mara. Lakini siku hizi anakuona unachat na wanawake ovyo, unakuja kuchelewa nyumbani ama unakuwa na tabia mbaya ambazo hazifai. Hii inaweza kuwa sababu ya kunyamaza kwa kuwa anaogopa kuongea na wewe kwa kuwa anaweza kukutamkia maneno machafu ambayo hutayapenda kamwe. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/01/ishara-za-kuonyesha-kuwa-mpenzi-wako.html">Jinsi ya kutambua kama mpenzi wako ana mchepuko</a>]<br />
<br />
Well, hapa ukimwona anakuwa na tabia kama hizi unamuuliza tatizo liko wapi. Kama umejiona kuwa wewe mwenendo wako wa maisha umebadilika basi itakubidi ubadilike ili mpenzi wako aweze kuongea na wewe tena.<br />
<br />
Ok. Haya ndio mambo makuu ambayo huweza kumfanya mpenzi wako kukunyamazia. Hatari hapa ni kupuuzia mambo haya. Iwapo mwanamke ataendelea kukunyamazia halafu wewe hutafuti suluhu la tatizo hilo, inaweza kufikia pahali pabaya kwa kuwa mwanamke kama huyu anaweza kuamua kujiondoa katika mahusiano ambayo hayana furaha yeyote kwake.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-16324664667913129772023-05-12T16:10:00.000+03:002023-05-12T16:10:08.255+03:00Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Akupende Kwa Mara Ya PiliJe wewe ni miongoni mwa wale ambao wameshawahi kupendwa na mwanamke halafu baadae mwanamke huyo akapoteza interest na wewe? Ama ushawahi kumfukuzia mwanamke halafu ukaona kuwa unafaulu lakini baada ya masiku kadhaa mwanamke huyo akapoteza interest na wewe ghafla.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyWFYW_mjyL4Sfz2jdUnpmmR-I47Zy8dPVLTbCycIHUnW9xy7Ow-pkGU75ftphgFcHUgDzryOUrrjTh1T_zNvxIBJCpeOyNtu4a3aJINw1laHwGVqrBdZ8jh1aFvVHfwwfQsTciDjcjQo/s1600/Screenshot_2019-02-07-18-19-58-003_com.opera.mini.native.beta.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="226" data-original-width="411" height="175" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhyWFYW_mjyL4Sfz2jdUnpmmR-I47Zy8dPVLTbCycIHUnW9xy7Ow-pkGU75ftphgFcHUgDzryOUrrjTh1T_zNvxIBJCpeOyNtu4a3aJINw1laHwGVqrBdZ8jh1aFvVHfwwfQsTciDjcjQo/s320/Screenshot_2019-02-07-18-19-58-003_com.opera.mini.native.beta.png" width="320" /></a></div>
<br />
Hali hii hutokea wakati ambapo mwanamke huyu anaona tabia ambazo uko nazo sahizi ni tofauti na zile ambazo ulikuwa nazo awali, ama hakutarajia kukuona venye umebadilika.<br />
<br />
Somo la leo tutakufundisha jinsi ya kurudisha interest ya huyu mwanamke na aanze kukupenda kwa mara nyingine.<br />
<br />
Zama nasi!<br />
<br />
<h3>
#1 Tafuta chanzo kilichosababisha mambo kuharibika.</h3>
Jambo la kufanya kwanza ni kutambua mambo ambayo yalifanya hadi mwanamke huyu kuchoka na wewe. Inaweza kuwa labda mapenzi yako kwake yalikuwa yakupindukia akashindwa ama labda hakupendezwa na mwenendo ama approach yako kwake.<br />
<br />
<h3>
#2 Mpe nafasi.</h3>
Ameamua kukutenga. Hii ni kwa sababu amekuona huna manufaa kwake. So wewe pia lazima uheshimu maamuzi yake. So mpe nafasi yake akae kivyake. Hata ni bora zaidi kuhakikisha unampuuza kwa miezi kadhaa. Hii ni muhimu kwa kuwa ataona umeheshimu maamuzi yake ya kutaka kukutenga.<br />
<br />
<h3>
#3 Mpendeze kwa mbali.</h3>
Jeuka na uwe mwanaume bora. Mwonyeshe kuwa kukosekana kwake hakujakuathiri na chochote. Usionyeshe kama unasumbuliwa na misongo ya mawazo ama kutatizika maishani. Nyinyi si wapenzi so hakuna mahusiano yeyote kati yenu. Ukionyesha dalili ya kuwa unammiss basi atakuona wewe ni dhaifu. So unachotakiwa kufanya ni uishi maisha yako ya furaha. Si muda mrefu utaona akitafuta atenshen yako.<br />
<br />
<h3>
#4 Mwonyeshe kuwa una interest na yeye lakini kifioa.</h3>
Mwanamke huyu anajua kuwa unampenda sana. Hii ndio sababu anakuwa na confidence ya hali ya juu anapokuwa na wewe. Anaweza kuwa anakupenda pia lakini kwa kuwa anataka kukutumia ujumbe, ameachana na wewe. So wewe jifanye kana kwamba hauko interested na yeye kamwe. So mwangalie kwa dakika, na pindi anapokuona ukimwangalia tu, wewe angalia kando. Mbinu hii unapaswa kuitumia kifioa ili asiweze kudhania unafanya hivyo kimaksudi. Hii itamuacha na maswali ya kufikiria iwapo bado uko interested na yeye ama unapotezea tu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/njia-10-mbadala-za-kutongoza-kwa-macho.html">Sanaa ya kutumia macho kumtongoza mwanamke</a>]<br />
<br />
<h3>
#5 Jipende na jipe raha mwenyewe.</h3>
Usiwahi kumwambia mtoke deti baada ya yeye kukuonyesha madharau ya kukukataa. Usimwandikie jumbe za mahaba ama za kumuomba penzi lake. Usimuombe msamaha. Hakikisha hautangamani na yeye. Na kama itatokea kuwa anataka muongee basi ongea naye kama rafiki wa kawaida na wala usiongee kwa muda mrefu.<br />
<br />
<h3>
#6 Usimwonyeshe upendo.</h3>
Zile nyakati ambazo ulikuwa ukimbembeleza zinapaswa kuisha. Si alikutenga? Nawe mtenge. Mfanye aanze kuzitamani zile jumbe za usiku wa kiza ambazo ulikuwa ukimtumia mara kwa mara. Lengo lako kuu hapa ni kumuonyesha kuwa unaishi maisha yako ya kawaida ili umfanye ajutie uamuzi aliouchukua dhidi yako.<br />
<br />
<h3>
#7 Mfanye akumiss na kukutaka.</h3>
Mwishowe nyinyi wawili mtajeuka kuwa marafiki wa kawaida tu. Lakini jaribu kuhepa kuspend muda mwingi na yeye. Kama unakuwa na maongezi ya kuvutia na yeye unajiondoa na kumwambia kuwa uko busy na mambo mengine muhimu. Ataweza kuongea na wewe vile anavyotaka ilimradi tu akubali kukupenda kama vile zamani. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-akupeze-ama.html">Mbinu za kumfanya mwanamke akumiss</a>]<br />
<br />
<h3>
#8 Mfanye ashikwe na wivu.</h3>
Usiifanye ionekane wazi wazi. Anza kusuka na kutongoza wanawake wengine na uwapatie atenshen zaidi. Hapa bila shaka hata kama atajizuia kutoshikwa na wivu, ataudhika na wewe kwa kuwa unampuuza. Ukimwona anatongoza wanaume wengine usitishike. Hio ni njia yake ya kukufanya uudhike. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-aingiwe-na.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke ashikwe na wivu</a>]<br />
<br />
<h3>
#9 Anajiandaa kwako?</h3>
Je, baada ya haya yote unamshika akikuangalia? Ama ameanza kuonyesha interest kwako? Huwezi kuchukua hatua yeyote kabla kuhakikisha kuwa amekuwa interested na wewe. Ukifanya kosa la kuanza kumuapproach mara ya pili bila kujua kama amekuwa interested na wewe unaweza kuharibu kila kitu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/ishara-15-za-kuonyesha-kama-mwanamke.html">Jinsi ya kutambua kama mwanamke amevutiwa na wewe</a>]<br />
<br />
<h3>
#10 Mwambie mtoke out tena.</h3>
Kama ushapata uhakikisho wa kuwa ameanza kukupenda kwa mara ya pili basi unaweza kuchukua hatua ya kujiandaa kuanza kuspend time zaidi na yeye. Usimzimie taa tena. Mwonyeshe upendo wako wote. Ukipata nafasi nzuri na yeye unaweza tena kumwomba mtoke out pamoja.<br />
<br />
Tumeelewana? Kama unataka njia rahisi ya kuhakikisha ya kuwa unataka mwanamke arudiane na wewe kwa mara ya pili ama unataka kuiteka atenshen yake wakati ambapo umetatizika ulipokuwa unamtongoza basi hii ndio njia rahisi ya kumuwini.<br />
<div>
<br /></div>
<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-71607193344795134392023-05-11T11:30:00.000+03:002023-05-11T11:30:46.499+03:00Jinsi Ya Kumpata Mwanaume Unayempenda Bila KujisumbuaWanaume wanajulikana kupenda vitu ambavyo hawawezi kuvipata. Na hii ndio siri kuu ambayo lazima uanze kuifahamu kuanzia sasa. Jaribu hizi mbinu ambazo tutakueleza na utampata mwanaume unayemtaka haraka sana.<br />
<br />
Well, siri kuu ya kujua jinsi ya kumpata mwanaume unayempenda ni sahili lakini pia si rahisi kuifuatilia.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhzs5uIdxI8l_X0s3z60_d1QBnH8vF44NcSo1kBSsa62uagLd2cPuPCctAUvmLA5LnlQzM-Sm4HWHjPlw4FlrkrnyFW2fni8wwytqP7bs0MJJTC6MyhaKA9Gyojeo8E1OcMiRURenyeAYo/s1600/make-him-like-you-ways-to-get-a-guy-to-like-you-1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="364" data-original-width="728" height="160" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhzs5uIdxI8l_X0s3z60_d1QBnH8vF44NcSo1kBSsa62uagLd2cPuPCctAUvmLA5LnlQzM-Sm4HWHjPlw4FlrkrnyFW2fni8wwytqP7bs0MJJTC6MyhaKA9Gyojeo8E1OcMiRURenyeAYo/s320/make-him-like-you-ways-to-get-a-guy-to-like-you-1.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
So tayari tushajua siri ya wanaume, huwa wanapenda vitu ambavyo hawawezi kuvipata.<br />
<br />
So utafanyaje hadi uwe mwanamke aina hii?<br />
<br />
Itakuwaje mwanamke ambaye anampemda mwanaume, aweze kumuona mwanamke huyu kiumbe bora zaidi ya yeyote yule?<br />
<br />
Ni tricky lakini usijali. Hapa Nesi Mapenzi tuna suluhu la kila kitu ikija na maswala ya mahusiano. Zama nasi.<br />
<br />
<h3>
#1 Fikra za wanaume.</h3>
Wanaume wameumbwa kuteseka ili kupata kile ambacho wanahitaji. Na pia wanapenda kujihatarisha kupata kile wanachopenda. Hii ni kuanzia kutafuta sifa, ardhi, chakula ama wanawake.<br />
<br />
Ijapokuwa wanaume wanasema kuwa wangependa kupata vitu kirahisi au kwa njia ya mteremko, kwa kawaida hawapendezwi ama kuthamini ubora wa kitu iwapo watakipata kwa njia iliyo rahisi. Haya ndio maumbile yao. So hapa namaanisha usiwahi kuwa mtu rahisi kamwe. Hii ni sheria ya kwanza ya viganja.<br />
<br />
<h3>
#2 Mpe atenshen</h3>
Wakati ambapo unaongea na yeye hakikisha ya kuwa unamwangalia machoni. Fanya hivi kwa kutumia madoido, si kama vile ambavyo unaangalia mtu kikawaida. Pia iwapo yuko na marafiki zake ama akiwa anafanya shughli zake unaweza kumuangalia mara kwa mara na akuone kuwa unamwangalia.<br />
<br />
<h3>
#3 Wapendeze marafiki zake</h3>
Wakati wowote ambao utakutana na marafiki zake hakikisha ya kuwa unakaa nao na unazungumza nao. Kuwa mtulivu na mwenye bashasha kila wakati. Waonyeshe marafiki zake upendo na wao pia watapendezwa na wewe.<br />
<br />
Na pindi ambapo watakutana na yule mwanaume unapendezwa naye, lazima watafunguka na kumwambia jinsi ulivyo mzuri na mchangamfu. Kwa kuwajeuza marafiki zake kukupigia debe, bila shaka ataanza kuona jinsi ulivyo special zaidi ya wengine.<br />
<br />
<h3>
#4 Muulizie kumhusu</h3>
Wakati ambapo unakuwa na mazungumzo na marafiki zake, unamuulizia kumhusu. Lakini hapa lazima uwe mjanja kwa kuwa haupaswi kumtaja mara kwa mara. Unaweza tu kutaja jina lake kuuliza kitu kumhusu. Baada ya hapo, marafiki zake bila shaka wataenda wakamwambie kuwa ulikuwa unamuulizia. Hivyo utamwacha akichanganyikiwa na maswali yasiiyokuwa na majibu.<br />
<br />
<h3>
#5 Suka wanaume wengine</h3>
Unaweza kuwa umefall na yeye, lakini kama unamtaka mwanaume avutiwe na wewe, lazima ufuate sheria ambazo zinapaswa kuzingatiwa. Hupaswi kuwa ama kuonekana rahisi. Wakati anapokuwa na wewe, ongea naye, lakini usiwapuuzie wanawake wengine. Mkiwa mko pamoja, hakikisha ya kuwa unatangamana na wanaume wengine. Suka wanaume wengine na wala usikuwe na wasiwasi wowote ule. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2019/01/jinsi-ya-kuongea-na-mwanaume-na-umfanye-avutiwe-nawe.html">Jinsi ya kuongea na mwanaume hadi apendezwe na wewe</a>]<br />
<br />
Kumbuka ya kuwa hapa unafuata sheria tuliyoielewa awali. Hapa utakuwa unamfanya mwanaume huyu kuwa na shauku ya kutaka kukujua zaidi. Kwa kusuka wanaume wengine kunampa changamoto mwanaume huyu ili awezenkuongeza gemu yake na ajaribu zaidi na zaidi kupata atenshen yako.<br />
<br />
Utamwacha akijiuliza iwapo kweli unampenda au la. Na pia atachanganyikiwa kwa nini unamuulizia. Hapa ndio zile hisia za kiume zinapokuja na kutaka kukujua zaidi na kujaribu kuteka atenshen yako.<br />
<br />
Kumbuka kuwa haupaswi kamwe kujiachilia na kuwa rahisi. Wanaume wako radhi kukufukuzia hata zaidi ya mwaka. Hivyo ni wewe wa kuamua ni muda gani umeona kuwa mtego wako umefaulu.<br />
<br />
Mafanikio kwako!<br />
<br /><div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-69097606958814645652023-05-10T17:18:00.000+03:002023-05-10T17:18:04.280+03:00Jinsi Ya Kutambua Iwapo Mwanamke AnakuchukiaWatu wengi ambao wanatutembelea inbox yetu mara nyingi wanakuwa na maswali ya kutaka kusaidiwa kumpata mwanamke wa ndoto yao. Utapata mmoja anakueleza kuwa amekuwa akimfukuzia mwanamke huyu kwa muda mrefu. Tatizo ni kuwa bado hajapata picha kwa nini hajafaulu. Mistari yuko sawa, <a href="http://nesimapenzi.blogspot.com/search/label/sanaa%20ya%20kutongoza">sanaa ya kutongozea</a> yuko sawa...yaani yuko sawa kwa kila kitu. Lakini tatizo linakuja pale ambapo mwanamke hatoi jibu sahihi. Mara anasema kesho mara kesho kutwa ama hajibu texts zako nk.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjA6eam8dgFU5k58MyalP28dJ9KWV_sJVZap79UHepcqyPSA2nZCDscC9xX9oSQ-oAIqFttMfdXHB8qhjG_7Sr6aAzf4pY7Z-l_rSGhZPgdMiPMHQ50jbRhhNwT9Z9YS2TuKEHvGqRgMwY/s1600/iStock_000083908917_Small-400x400.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="400" data-original-width="400" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjA6eam8dgFU5k58MyalP28dJ9KWV_sJVZap79UHepcqyPSA2nZCDscC9xX9oSQ-oAIqFttMfdXHB8qhjG_7Sr6aAzf4pY7Z-l_rSGhZPgdMiPMHQ50jbRhhNwT9Z9YS2TuKEHvGqRgMwY/s320/iStock_000083908917_Small-400x400.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Wengi wakija na tatizo kama hili tunawaelekeza watoe wanawake hao deti wakutane ili wazungumze ana kwa ana badala ya kutumia text. Na matokeo mara nyingi wanarudi na kusema kuwa wameona kuna hatua ambayo inaonyesha matumaini.<br />
<br />
Kwa bahati mbaya, kuna baadhi ambao wanarudi na kuanza mada ile ile ya kuwa mwanamke huyo bado hamuelewi. Well, tulikaa chini na paneli yetu ya Nesi Mapenzi tukajadiliana na tukaona ni vyema kuja na hoja ya kutambua iwapo mwanamke anakuchukia wakati unapomtongoza. Hii itapunguza wakati ambao utakuwa unamuapproach kwa kuwa ukiziona ishara za kuwa anakuchukia tu unaachana naye na unatafuta mwingine.<br />
<br />
Zama nasi.<br />
<br />
<h3>
Jinsi ya kutambua kama mwanamke anakuchukia.</h3>
<br />
<h4>
#1 Hajibu texts zako</h4>
Wanawake ni viumbe ambao wanapenda kuwasiliana. Wakitumiwa jumbe na yeyote basi kwa kawaida ni jukumu lao kuhakikisha ya kuwa wanajibu. Hii ni natural. Lakini ukiona kuwa hajibu texts ama jumbe zako, usimuamini akikwambia kuwa alikuwa amesahau ama alikuwa yuko busy.<br />
<br />
Kama unaona ya kuwa hajibu texts zako hio ni ishara ya haraka kukuonyesha ya kuwa hajapendezwa na wewe. Fahamu ya kuwa wale wanawake wagumu wakiwa wamekupenda basi hawatajizuia kureply texts zako.<br />
<br />
<h4>
#2 Yuko busy kila wakati.</h4>
Anaweza kuwa ni mkurugenzi wa kampuni flani ama labda ni meneja katika shirika tajika, lakini kila mwanamke anaweka malengo yake muhimu mbele. Ukimskia kuwa hawezi kuwa na time kwa sababu muda mwingi anakuwa busy, basi unapaswa kufahamu ya kuwa anakwambia maneno hayo kwa kuwa hataki kuspend time nyingi na wewe.<br />
<br />
<h4>
#3 Hajitokezi kwa zile sehemu ambazo alikuwa amezoea kutembelea.</h4>
Wanawake ni viumbe wa mazoea. Wanapenda kutembelea sehemu ambazo wamezoea kutembelea. Na ukiona haonekani sehemu hizo basi kuna kitu ambacho anajaribu kukifich.<br />
<br />
Well, wewe umekuwa ukitembelea hii sehemu na mara kwa mara umekuwa ukikutana na huyu mwanamke. Ulipoanza kumtongoza, alikupa namba yake, mkawa mnaongea lakini ghafla unaona ya kuwa zile sehemu ambazo alikuwa anatembelea haonekani tena...hii ni ishara tosha kuonyesha kuwa anakimbia kitu, na ni wewe mmoja wao. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/07/mitandao-10-maarufu-ya-kijamii-ya.html">Mitandao ya kutafuta wanawake online]</a><br />
<br />
<h4>
#4 Anatoka wakati wewe unajitokeza.</h4>
Ukiwa unaingia sehemu flani, labda katika mkahawa. Halafu ghafla yule mwanamke uliekuwa unamtongoza anajitafutia kisababu anaondoka, then hapa atakuwa anajaribu kukulenga na hataki kukuambia moja kwa moja kuwa anaudhika na wewe.<br />
<br />
<h4>
#5 Anakuambia ubaya wake.</h4>
Mara nyingi, wanawake watakuambia ubaya wao kuwahusu. Anaweza kuambia anavuta sigara, yeye ni mlevi chakari, ama ni mvivu nk. Yaani ili mradi umuone ya kuwa ni mwanamke asiyekufaa.<br />
<br />
Ukiona mwanamke ambaye akiwa anazungumza na wewe anakuambia maovu yake, basi anakuambia ya kuwa uachane naye na utafute mwanamke mwingine ambaye ni bora zaidi kumliko. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/tabia-12-za-mwanamke-mchafu-ambazo.html">Tabia mbaya za wanawake ambazo wanaume huzipenda</a>]<br />
<br />
<h4>
#6 Hataki kuwa na wewe faraghani.</h4>
Hii ni ishara kubwa zaidi kuonyesha kuwa mwanamke huyu hakupendi. Ukiona ya kuwa mwanamke huyu anakwambia, “tukutane kule” ama hapendi kukutana na wewe faraghani, labda anakataa mwitiko wako wa yeye kukutembelea kwako basi hapo unapaswa kujua mwanamke kama huyu hana hisia na wewe kamwe.<br />
<br />
Kama ni mwanamke ambaye anakupenda ukimwita faraghani anaweza kukuambia sitoweza kuja sababu naogopa kuwa na wewe pekeetu. Lakini mwanamke ambaye hakupendi atakwambia wazi kuwa mimi siwezi kuja kwako ama atakuwa anakupa ahadi zisizotimia. So lazima uwe mjanja ukiona ana tabia kama hizi. [Soma: <a href="http://www.nesimapenzi.com/p/kuna-yule-mwanamke-ambaye-unatamani.html">Kutongoza mwanamke kuanzia hadharani hadi kitandani</a>]<br />
<br />
<h4>
#7 Hakuna kitu spesho ambacho anafanya mkikutana.</h4>
Anaweza kuwa interested na wewe kama rafiki, lakini si kama mpenzi wake. So ukiona ya kuwa mwanamke huyu hajitahidi kujirembesha ama kujipodoa, then kuna uwezekano mkuu mwanamke huyu amekuingiza katika himaya ya urafiki/friendzone.<br />
<br />
<h4>
#8 Anapenda kuongea kuhusu wanawake wengine.</h4>
Kama mwanamke anakupenda, mara nyingi anataka atenshen yako yote iwe kwake. Na akiona ya kuwa unaongea kuhusu wanawake wengine basi anashikwa na wivu.<br />
<br />
Lakini huyu mwanamke ulienae ukiona anapenda kuongea kuhusu wanawake wengine na haswa kueleza mambo yao chanya, basi uwezekano mkubwa ni kuwa anakuchukulia kama rafiki tu. Na hakuoni kama mpenzi mtarajiwa.<br />
<br />
<h4>
#9 Anapenda kuja na mtu mwingine.</h4>
Ishara nyingine kuonyesha kuwa mwanamke hakupendi ni pale ambapo ukimuita mtoke deti badala ya kuja pekeake anakuja na marafiki zake. Wanawake hupenda kutembea na marafiki zao ili kuleta furaha kwa kila sehemu ambazo wanakuwa. So ukiona amekuja na marafiki zake atakuwa anajaribu kuhepa kuongea na wewe. Ama hataki kuongea vitu serious na wewe.<br />
<br />
<h4>
#10 Hakutambulishi kwa marafiki ama familia yake.</h4>
Mwanamke akikupenda basi kwa kawaida anapenda kukutambulisha kwa watu ambao anawajali katika maisha yake. Anaweza kukutambulisha kwa mamake ama kwa babake, hii ni kawaida.<br />
<br />
Lakini wewe tayari ushaamua kujitambulisha kwa wazazi wake angalau wakujue, lakini unaona huyu mwanamke haeleweki basi hapo kuna kizungumkuti. Ijapokuwa hii inaweza kuwa ni ishara ya kuwa mwanamke huyu anakutaka wewe pekeako, pia inaweza kuwa ni ishara ya kuwa huyu mwanamke hakupendi.<br />
<br />
<h4>
#11 Hakurushii mistari ama kukugusa.</h4>
Wanawake pia hutongoza. Anaweza kukutumia jumbe za mahaba hadi ukachanganyikiwa. Lakini ukiona kuwa hakuna hata siku moja mwanamke huyu amekwambia kuwa anakupenda basi kuna shida. Vile vile, mwanamke anayekupenda kwa kawaida ukiwa mnaongea anaweza kukutomasa. Lakini ukiona hakuna hata moja ya haya mawili katika huyu mwanamke, basi unajisumbua sababu hakuoni kama mpenzi. [ Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/05/njia-10-wanawake-hutumia-kutongoza.html">Mbinu ambazo wanawake hutumia kutongoza wanaume</a>]<br />
<br />
Well, hizi ni ishara muhimu lazima uzingatie. Usijisumbue kuteseka na mwanamke asiyekupenda. Ni haki yako kujua iwapo anakupenda au la. Ishara ndizo hizo tumekupa. Ukiona iwapo mwanamke ulienaye anaonyesha baadhi ya hizi tabia tulizoziorodhesha, basi epuka na mapema.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-47403895361543222552023-05-06T18:56:00.000+03:002023-05-06T18:56:18.759+03:00Jinsi Ya Kumtongoza Mwanaume Bila Kuonekana Kama UnamsukaKutongoza ni sanaa ambayo baadhi ya wanawake wako nayo na wengine hawana. Je ushawahi kukutana na mwanamke ambaye anaweza kumpata mwanaume yeyote bila tatizo? Tumekuandikia mwongozo wa jinisi ya kumtongoza mwanaume bila kuonekana kama unafanya hivyo.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNnw1BBbA3VdonRW5GOMQ0Db0XrMKUleYolO28LXljDmN4kOB821QK9gyfUgMmyM4DchNXZFhuiLSmmJwDBAFcw1tgJ7zfdLSn63reRNHTRb6fggVRGE1vNw277ZsnM9xR3-yoYmOECO4/s1600/PicsArt_01-28-05.34.51.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="480" data-original-width="600" height="256" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNnw1BBbA3VdonRW5GOMQ0Db0XrMKUleYolO28LXljDmN4kOB821QK9gyfUgMmyM4DchNXZFhuiLSmmJwDBAFcw1tgJ7zfdLSn63reRNHTRb6fggVRGE1vNw277ZsnM9xR3-yoYmOECO4/s320/PicsArt_01-28-05.34.51.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
Kabla haujaijua sanaa hio, lazima ufahamu jinsi ambavyo wanaume wenyewe hutongoza. Kwanza ni kuwa wanaume kwa kawaida hupenda wanawake wanaovutia. Hii inatumika kwa mwanaume yeyote yule. Tabia zao ni moja. So ukitaka kuteka atenshen ya mwanaume, lazima ujue jinsi ya kuvutia.<br />
<br />
Pili lazima ujue kuwa wanaume hawawezi kutongoza kila mwanamke. Kutongoza si kitu rahisi. Wanaume wengi huogopa kuanza mazungumzo na mwanamke. Wengi wataweza kukutongoza iwapo tu utatoa ishara ya kuwa unataka kutongozwa. Sababu kuunya wanaume kushindwa kuapproach wanawake hivi hivi ni kuogopa kukataliwa na mbaya zaidi kuwa na sifa za mwanaume zege asiyekuwa na bahati kwa wanawake.<br />
<br />
So, utaanzaje kumtongoza mwanaume bila kuonekana kama unamtogoza ili umpatie ile ishara ya kuchangamke?<br />
<br />
<h3>
#1 Onyesha tabasamu na aibu</h3>
Wanaume hupenda mwanamke ambaye anafuraha na hisia chanya. Na zaidi hupenda wanawake wanaotabasamu na kucheka wakati wanapozungumza nao. Usiongee maneno ya kuudhi ama misengenyo ukiwa na mwanaume sababu hawapendi tabia kama hizo. Pia usisahau kutabasamu na kuonyesha aibu.<br />
<br />
<h3>
#2 Msifu na umshukuru</h3>
Wanaume pia hupenda kusifiwa. Kumsifia mwanaume ni mbinu ya kwanza kuanzisha mchakato mzima wa kumtongoza. Ukiona kitu kizuri kutoka huyu mwanaume basi usisite kumsifia. Pia mshukuru kwa mambo anayokufanyia. Ukimwonyesha tabia kama hizi, utakua unaanza kumtayarisha kwa mambo ambayo anapaswa kutarijia kutoka kwako hivi karibuni.<br />
<br />
<h3>
#3 Mwangalie machoni</h3>
Siri ya kujua jinsi ya kumtongoza mwanaume vizuri ni kwa kujihusisha kwa kila kitu ambacho anapenda kufanya. Si lazima uwe umefall in love na yeye ili uweze kuuteka moyonwake. Kile unachohitaji kufanya ni kumfanya awe na furaha kila wakati anapokuwa na wewe.<br />
<br />
So wakati ambapo utakuwa umekutana naye na mnazungumza, mwangalie machoni mwake na umpe tabasamu. Kunaweza kumfanya achanyikiwe lakini mwisho utakuwa umemfanya mnyonge hadi magotini.<br />
<br />
<h3>
#4 Jionyeshe</h3>
Mwanamke ni umbo. Hivyo lazima umbo lake lionekane. Hakikisha unamakinika vizuri kwa kioo kabla kutoka kukutana naye. Jipambe vizuri, halia nguo nzuri za kuvutia. Hapa hatumaanishi unavalia nguo za uchi, la. Tunamaanisha unavalia nguo za heshima ambazo zitapendeza mtu yeyote ambaye atakuona.<br />
<br />
Wakati mnapoongea na huyu mwanaume hakukusha unajionyesha vizuri. Mfano cheza na macho yako. Cheza na nywele zako wakati mnaongea. Hii ni moja wapo ya njia nzuri ya kumsuka mwanaume.<br />
<br />
<h3>
#5 Usiongee kwa nguvu.</h3>
Wanaume hupenda kuona ufemini kwa mwanamke. Hivyo ukiwa unaongea na huyu mwanaume hakikisha ya kuwa unaonyea kistaarabu. Sauti yako unailegeza vile ambavyo inastahili. Pia hakikisha unaongea kwa toni iliyo ya chini.<br />
<br />
<h3>
#6 Mguse mara kwa mara</h3>
Hii ndio njia nzuri zaidi ya kuhakikisha kuwa mwanaume anaingiwa na hamu ya kutaka kuongea na wewe. Wanaume hawawezi kujizuia wakati ambapo wanaihisi miguso ya wanawake ikiilisha kwa ngozi zao.<br />
<br />
Hivyo kwa upande wako, wakati ambapo unazungumza naye, unaweza kumgusa viganja vyake, kumshika bega ama sehemu yeyote ile ambayo haitazua taharuki.<br />
<br />
<h3>
#7 Kuwa kisichana</h3>
Hapa hatumaanishi kuwa lazima ujifanye kama mtoto wa shule ili mwanaume aanze kukutongoza bali tunamaanisha kuwa unajiachilia na kumpa majukumu mwanaume ili achukue usukani. Hapa unamwacha mwanaume anakuwa kama nguzo. Usionyeshe kuwa unajua zaidi kumliko ama una akili nyingi kumliko nk. Mbinu hii utamfanya akuone uko chini yake hivyo itakuwa rahisi kwake kukutongoza haraka.<br />
<br />
<h3>
#8 Mfanye spesho</h3>
Kama umejua umuhimu wa jinsi ya kumtongoza mwanaume, basi unajua umuhimu wa kumfanya yule unayemtongoza kujihisi speshio. Hapa huhitajiki kufanya chochote kipya, lakini lazima ukumbuke kuwa ukimfanya mwanaume kujifeel spesho, basi atavutiwa na atatamani kuwa na wewe.<br />
<br />
Mfanye ajihisi spesho kwa kumtabasamia na kumuonyesha uso wa furaha. Msifie na uwe unatumia miguso wakati mnaongea. Hapa mwanaume huyu atataka kukutongoza kwa kuwa atakuona mwanamke tofauti kati ya wote.<br />
<br />
<br />
<br />
<br /><div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-71509070432793951242023-05-03T10:29:00.000+03:002023-05-03T10:29:45.727+03:00Jinsi Ya Kuongea Na Mwanaume Na Umfanye Apendezwe NaweTuanze. Je wajua jinsi ya kumfanya mwanaume apendezwe nawe? Wanawake wengi wanakuwa na maswali mengi ya kutaka kujua mambo ya kumwambia mwanaume wakati wanapokuwa wanaongea.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAGmqHFvQ4K96iGfe4_PXFNX3UuFttQkiVQd4OKe-M08i01DCrX_1rTaPu37s8wCp31SpomlLfZqc6c-yZzblgvCp36DzkGzo4mHMvBZSQJT5d9meCZAH_TcCHATDTKndrgswWL2vFHuc/s1600/new-how-to-talk-to-a-guy-you-like-the-easy-way-1.jpeg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="622" data-original-width="940" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiAGmqHFvQ4K96iGfe4_PXFNX3UuFttQkiVQd4OKe-M08i01DCrX_1rTaPu37s8wCp31SpomlLfZqc6c-yZzblgvCp36DzkGzo4mHMvBZSQJT5d9meCZAH_TcCHATDTKndrgswWL2vFHuc/s1600/new-how-to-talk-to-a-guy-you-like-the-easy-way-1.jpeg" /></a></div>
<br />
Kujua jinsi ya kuongea na mwanaume kunaweza kukutofautisha kati ya mwanamke anayeweza kuvutia attention na yule ambaye anaudhi wakati anapoongea na mwanaume.<br />
<br />
Pia unapaswa kufahamu ya kuwa kufanya mwanaume apendezwe na wewe kunahitaji mambo mawili. Kwanza lazima ujue jinsi ya kuongea na pili lazima ujue jinsi ya kumfanya attention yake ije kwako.<br />
<br />
<h3>
jinsi ya kuongea na mwanaume.</h3>
<br />
Wakati ambapo utakuwa unazungumza na mwanaume, hakikisha unafuata mwongozo ambao tumekupatia na bila shaka utafaulu kuiteka atenshen yake na pia utaweza kumfanya apendezwe na wewe.<br />
<br />
<h4>
#1 Tabasamu mara kwa mara.</h4>
Next time ukiwa unaongea na mwanaume unayempenda, hakikisha unatabasamu zaidi. Cheka anapotoa mizaha yake, tabasamu mara kwa mara bila sababu ya maana na ulete hio nishati kwa macho yako. Hapa hakuna mwanaume yeyote ambaye anaweza kuistahimili jazba iliyoko ndani yako.<br />
<br />
<h4>
#2 Onyesha madoido.</h4>
Hii ni mbinu ambayo imekuwa ikitumika kwa maelfu ya miaka iliyopita. Na hadi wa leo inafanya kazi. Kuonyesha madoido ni tofauti na kuonyesha aibu kwa mwanamke. Na wanaume hupenda kuwaona wanawake ambao hupenda kuonyesha madoido. Wakati ambapo unaongea na mwanaume huyu, hakikisha ya kuwa unacheza na nywele zako, yazungushe macho yako wakati unapojaribu kupinga fikra zake, uma kucha, na kadhalika. Madoido huja automatic kwa mwanamke. Hivyo ni silaha nzuri ambayo unapaswa kuitumia wakati wowote ule.<br />
<br />
<h4>
#3 Mshike.</h4>
Wanaume wamejulikana kuwa huvutiwa zaidi pale ambapo wanapoguswa na wanawake. Pia utafiti umethibitisha swala hili kwa kudai kuwa wanaume huonyesha tabia za kutaka kuwatongoza wanawake pindi wanapoguswa wakati mazungumzo yanapoendelea.<br />
<br />
So ile hatua ambayo unapaswa kuifuata ni kuhakikisha kuwa mara kwa mara unamgusa mkono, kuweka mkono wako kwa bega lake, ama sehemu nyingine yoyote ile ambayo haitaleta picha mbaya. Ukifanya hivyo utaona akionyesha interest zake kwako.<br />
<br />
<h4>
#4 Tafuta ulinzi wake.</h4>
Wanaume wanajulikana kama viumbe walinzi mbele ya wanawake. Hivyo utahitajika kuifufua hio taswira ambayo imekuwa ikijulikana tangu enzi za zamani. Na kufanikisha hivi ni rahisi sana. Mfano wakati ambapo mnavuka barabara pamoja, ushikilie mkono wake. Mshike kwa nguvu wakati utaona mbwa mkubwa akipita kando yenu, tabasamu halafu umwambie akushikilie mzigo mzito kwa dakika nk. Hizi ni baadhi ya mifano ambayo unaweza kuitumia ikiwa lengo kuu ni kumfanya ajihisi kuwa yeye ndie mlinzi wako.<br />
<br />
<h4>
#5 Usitumie lugha chafu.</h4>
Wanawake wanatambulika kuwa wanapenda kusengenya na kutumia lugha za matusi wakiwa kikundini wakiongea. Well, ukiwa na huyu mwanaume hakikisha ya kuwa unatumia lugha ya heshima na pia unaacha kuongea kuhusu watu wengine. Wewe unachohitajika kufanya ni kumakinika na kusikiliza kile ambacho atakuwa anaongea.<br />
<br />
<h4>
#6 Usiwe mtu wa kutabirika.</h4>
Wanaume huwa wanachoshwa na wanawake ambao hawaeleweki. Lakini pia wanawake aina hii ndio wanawakula vichwa wanaume. Wanaweza kuzunguka kila mahali wakitaka kupewa majibu kuhusiana na wanawake hawa. So kwa upande wako, hakikisha kuwa mwanaume hapati kukuelewa kirahisi. Yaani asiweze kuisoma akili yake kwa vyovyote vile. La sivyo atakuona unaboesha.<br />
<br />
<h4>
#7 Kuwa mtundu.</h4>
Utundu ni jambo ambalo unapaswa kufanya mara moja au nyingine. Unaweza kumtesa, kumtatiza, kutoa mizaha kidogo ama kuyafanya yote. Wanaume hupenda wanawake wazuri, watulivu na wa amani. Lakini mambo hayo yanaweza kuboa baada ya muda flani so pia unahitajika kuonyesha ule upande wako mwingine.<br />
<br />
<h4>
#8 Kuwa na heshima.</h4>
Hii ni moja wapo ya tabia ya mwanamke ambayo kila mwanaume anatamani. Hivyo kama unataka kuongea na mwanaume ambaye unataka avutiwe na wewe, lazima uonyeshe heshima kwake. Lazima uwe unamakinika na maswali na majibu ambayo utakuwa unamwambia. Unaweza kufeki ama kujiteteza wakati ukiwa na yeye lakini pia ni vigumu na inahitaji ustadi wa hali ya juu. So badala yake hakikisha ya kuwa heshima yako inakuwa ya ukweli.<br />
<br />
<h4>
#9 Cheza mchezo usio rahisi.</h4>
Kama unataka mwanaume huyu avutiwe na wewe unahitajika kuwa mgumu. Usiwe mtu rahisi ambaye anaweza kukufanya vile anavyotaka yeye. Ongea na mwanaume kwa njia ya ukarimu lakini usimruhusu akuchukulie hivi hivi. Pia usiwe unapatikana kirahisi. Mtese kadri utakavyoweza. Afterall wanaume hawachoki kutafuta!<br />
<br />
Upo!? Hizi ndizo mbinu ambazo unahitajika kufuata iwapo unataka mwanaume aweze kuvutiwa na wewe kirahisi. Tegea hapa hapa Nesi Mapenzi kwani kuna mengi ambayo yanakuja.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-91268410000551625582023-05-02T10:51:00.000+03:002023-05-02T10:51:25.048+03:00Jinsi Ya Kujichukua Baada Ya Mwanamke KukukataaHali kama hii hutokea mara kwa mara kwa kila mwanaume. Hakuna mwanaume anaweza kusema kuwa hajawahi kukataliwa na mwanamke. Na iwapo kuna mtu anasema kuwa hajakataliwa na mwanamke, basi huyo ni mwanaume zege anayeogopa kutongoza wanawake kadhaa.<br />
Tukirudi kwa mada, ni kuwa umekuwa ukimfukizia huyu mwanamke kila siku. Umetumia mbinu zote za kijanja tulizokupatia. Umejaribu kama mwanaume alpha lakini mwisho wa siku mwanamke huyu amekuambia, "Mimi siwezi toka na mwanaume kama wewe"<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxLb7B9C5aZiDZhhAQi8L4hQcVF08TNWYz71ft6oC55RNsBO6chub3_JnoGuQbEetf6ixoOCfdEBFH8rgefl5bIMMT4XT9-RlWzkb-YzJll-6f8PtAE0J-YRVAyZmbhWk6883ji2JzRV4/s1600/Reasons-To-Confess-Your-Feelings-To-Your-Girl-3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="667" data-original-width="1000" height="213" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxLb7B9C5aZiDZhhAQi8L4hQcVF08TNWYz71ft6oC55RNsBO6chub3_JnoGuQbEetf6ixoOCfdEBFH8rgefl5bIMMT4XT9-RlWzkb-YzJll-6f8PtAE0J-YRVAyZmbhWk6883ji2JzRV4/s320/Reasons-To-Confess-Your-Feelings-To-Your-Girl-3.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
So utafanyaje?<br />
<br />
Kama tulivyotangulia kusema awali ni kuwa hili ni jambo la kawaida kutokea kwa kila mwanaume. Pia hapa Nesi Mapenzi ni jambo la kawaida kwa paneli yetu kukumbana na jambo hili. So kukabiliana na hali kama hii tumekuandalia mambo kadhaa ambayo utahitaji kuzingatia ili uweze kunusurika usije ukajipata katika hali ya misongo ya mawazo.<br />
<br />
<h3>
#1 Si kila mtu atakupenda.</h3>
Jambo la kwanza unapaswa kufahamu ni kuwa si kila mtu katika ulimwengu huu atatamani kuwa na wewe. Ukishaliweka hili katika akili yako, basi hili jambo la kukataliwa linakuwa rahisi kwako. Najua inakuwa vigumu ukiwa unampenda fulani lakini pia unapaswa kujua kuwa ni jambo ambalo huwezi kulizuia. Itakubidi uvumilie hadi umpate yule ambaye atakupenda asilimia mia. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/mwongozo-wa-nesi-mapenzi-kuchagua.html">Mwongozo wa kutafuta mwanamke</a>]<br />
<br />
<h3>
#2 Kuwa mtulivu.</h3>
Utakuwa umeudhika baada ya kukataliwa. Kama vile yeyote yule aliyekataliwa, la kwanza kufanyika ni kuwa atahisi uchungu, halafu kufuatiliwa na kukasirika. Lakini haya mambo yasikutatize. Huu ni mchakato mzima ambao huanza kwa hatua moja hadi nyingine. So ukiona kuna mabadiliko katika hisia zako, unapaswa kuwa mtulivu na wala hupaswi kukurupukwa ukafanya mambo ambayo yanaweza kukuletea shida.<br />
<br />
<h3>
#3 Usiichukulie binafsi.</h3>
Kila hatua umekuwa umeichukua kwa huyu mwanamke halafu akakukataa. Atakuwa amekukataa na sababu zake binafsi. Labda alikuwa hakujui, ama hujampendeza na approach yako. So lakufanya usiichukulie swala hili kuwa zito ukaanza kujiona hufai. La, naamini kama ungebahatika kumpata mwanamke ambaye analingana na wewe wakati huo basi ingekuwa rahisi kwako kuweza kumpata huyo mwanamke.<br />
<br />
<h3>
#4 Fahamu kuwa wanawake ni tofauti.</h3>
Wanawake wote si sawa. Unaweza ukatumia approach moja kwa mwanamke akakutaa, halafu ukaitumia approach hio hio kwa mwingine na akakukubali. So ukiona mwanamke wa kwanza amekukataa, hio haimaanishi kuwa kila mwanamke atakukataa. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/02/aina-12-ya-wanawake-ambao-watayafanya.html">Aina tofauti tofauti ya wanawake ambao hawakufai</a>]<br />
<br />
<h3>
#5 Rudi nyuma ufikirie jambo ulilofanya.</h3>
Njia moja wapo nzuri ya kufanikiwa kwa wanawake ni kujua makosa ambayo umeyafanya awali. Ukiwa mtu ambaye unarudi nyuma kuangalia makosa ambayo umefanya basi itakuwa rahisi kwako kuweza kufanikiwa mbeleni. Pia utagundua makosa uliyoyafanya na badala ya kuwa na huzuni ya kukataliwa, unarudi kufanya mazoezi ili uwe bora zaidi.<br />
<br />
<h3>
#6 Weka umimi kando.</h3>
Usiruhusu umimi ukuingie kichwani. Kama umekataliwa na huyu mwanamke kubali tu na uendelee na maísha yako. Lakini ukianza kumtukana mwanamke kwa kuwa amekuacha, then mwisho itakuja na kukuathiri mwenyewe. Weka hisia hasi kando na ukubali matokeo. Hii itakupa fursa ya kupoza kidonda ambacho bado ni kibichi.<br />
<br />
<h3>
#7 Nenda zako.</h3>
Baada ya kukataliwa na huyu mwanamke, usipoteze muda wako ukingojea madakika. Unapaswa ujue ishara ambazo zinaonyesha kuwa uko karibu kukataliwa na mwanamke.<br />
<br />
So ukigundua kuwa mwanamke huyu atakukataa baada ya dakika mbili zinazokuja, wewe hupaswi kungojea hadi akwambie kuwa hakutaki. La kufanya ni kujitoa na mapema ili ubadilishe mchezo uueke kwake. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/majukumu-mjeuko-mfanye-mwanamke.html">Mbinu ya mjeuko ya kumfanya mwanamke akufukuzie</a>]<br />
<br />
<h3>
#8 Usitumie maneno machafu.</h3>
Hili tayari tuligusia katika hoja ya 6. Mwanaume wa kawaida anafaa kuwa gentleman, hivyo akikataliwa asione kuwa ni ishu kubwa. Wanawake ní wengi sana. So tabia ya kumtukana mwanamke akikukataa ni ishara ya kutojiamini na uoga. Tabia hizi tuwaachie wenyewe.<br />
<br />
<h3>
#9 Usimuombe.</h3>
Hakuna kitu kinachosikitisha zaidi kama kumuona mwanaume akiomba penzi. Unapata mwanaume anampigia magoti mwanamke akimuomba asimuache. Hata kama ni mrembo kiasi gani, hupaswi kumuomba. Pindi mwanamke akiona kuwa yeye yuko juu yako basi anaweza kukufanyia chochote kile anachotaka ilimradhi akudharau. Hivyo epuka tabia hii.<br />
<br />
<h3>
#10 Usidhanie kuwa kila mwanamke yuko hivyo.</h3>
Kwa wale ambao ndio wameingia katika sekta ya kutongoza, unapaswa kufahamu ya kuwa si kila mwanamke atakukataa. Huyu ambaye umekutana naye mara ya kwanza na akakukataa, basi yule mwingine atakuwa tofauti na huyu wa kwanza. Kiufupi ni kuwa unapaswa kuelewa kuwa wanawake ni tofauti na tabia zao hazifanani.<br />
<br />
Kumalizia ni kuwa kama umekataliwa ama unaogopa kukataliwa, lazima uelewe kuwa wanawake ni wengi. Unahitaji ukataliwe mara kwa mara hadi umpate yule ambaye atakukubali. Ni kama vile tu kutafuta kazi. Unaweza ukatuma makaratasi yako ukaitwa katika mahojiano na ukakataliwa mara kadhaa hadi mwishowe ukakubaliwa kirahisi. So usikate tamaa kamwe.<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-85689555187928996002023-04-25T17:23:00.000+03:002023-04-25T17:23:37.389+03:00 Jinsi Ya Kuongea Na Mwanamke Kwa Mara Ya KwanzaKuongea na mwanamke kwa mara ya kwanza ni rahisi. Unachohitaji ni mambo matatu tu. Kwanza ni kujiamini, pili ni kuwa na mistari, tatu nikufunga mchezo. Huu ndio mfumo ambao marafiki zako wengi wangeweza kukuambia pindi ambapo utawauliza jinsi ya kuongea na mwanamke.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeM_iLFkrDKncXRVpcCkr9HA04bpRLhQCCcQDK7I7qO6Wc-UNUeHO4K9R6XRf2y9Pae-6Am9-LLJ83QaVm-w20E_jhtDHVXOxB40DrGsI4DqekEGlCo7olmvlcQ13XWfBmft7VG3eyHMA/s1600/File-1502369727.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="500" data-original-width="800" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjeM_iLFkrDKncXRVpcCkr9HA04bpRLhQCCcQDK7I7qO6Wc-UNUeHO4K9R6XRf2y9Pae-6Am9-LLJ83QaVm-w20E_jhtDHVXOxB40DrGsI4DqekEGlCo7olmvlcQ13XWfBmft7VG3eyHMA/s1600/File-1502369727.jpg" /></a></div>
<br />
Hapa Nesi Mapenzi tunaamini kuwa kuongea na mwanamke kuna hatua na mchakato ambao unauhitaji kuufuata bila kuruka hatua hata moja. Lengo letu ni kuhakikisha ya kuwa hakuna hatua itakupita. Tutakupatia zana zote ambazo unahitaji kuzifahamu ambazo zinahusiana na wanawake. [Soma: <a href="http://nesimapenzi.blogspot.com/search/label/sanaa%20ya%20kutongoza">Sanaa za jinsi ya kutongoza mwanamke</a>]<br />
<br />
Ok, je wazifahamu njia ya kutumia hadi uanze kuongea na mwanamke? Zama nasi.<br />
<br />
<h3>
#1 Angalia usafi wako.</h3>
Kabla hujachukua hatua yeyote ya kuongea na mwanamke hakikisha kuwa uko nadhifu. Kwanza piga mswaki, valia nguo safi na pia ukiwa na marashi jipulize. Hii itakusaidia kwa kuwa ukiwa mchafu basi hakuna mwanamke yeyote atakubali kuongea nawe.<br />
<br />
Pia hakikisha unapoamua kumuapproach unaangalia nguo ulizovalia. Je, nguo umevalia kinamna gani. Huwezi kuapproach mwanamke uongee naye katika klabu wakati umevalia kana kwamba unaenda kwa ibada. Hakikisha kuwa nguo zako unazozivaa zina wiana na mazingira ulipo.<br />
<br />
<h3>
#2 Muapproach ukiwa anakuona.</h3>
Wakati unamuapproach mwanamke huyu hakikisha tayari amekuona. Usimuapproach kama mwizi. Nenda moja kwa moja sehemu ambayo yuko huku ukionyesha tabasamu la kuwa uko tayari kuongea na yeye pindi ambapo utamfikia. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2017/11/jinsi-ya-kumuapproach-mwanamke-katika.html">Jinsi ya kuapproach mwanamke katika basi</a>]<br />
<br />
<h3>
#3 Miondoko ya mwili.</h3>
Mwanamke kuongea ama kukataa kuongea na wewe kutategemea pakubwa na miondoko yako ya mwili. Ok, tayari umemuapproach huyu mwanamke. Je ni hatua gani unachukua? Ukianza kutokwa na kijasho ama kigugumizi cha ghafla ama kujikuna kichwa na kucheza na miguu basi fahamu miondoko yako ya mwili haifai na mwanamke atakupiga chenga wakati wowote.<br />
<br />
<h3>
#4 Tabasamu.</h3>
Kama nilivyotangulia kusema ya kuwa lazima uwe unatabasamu ukiwa unaaproach mwanamke, hivyo hivyo ni muhimu kutabasamu wakati umekaa kando ya mwanamke. Hii ni muhimu kwa kuwa utamfanya mwanamke huyu kujihisi huru mbele yako na pia ni njia moja wapo ya kujitokeza kirafiki. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kuapproach-wanamke-ambaye.html">Jinsi ya kuapproach mwanamke kwa mara ya kwanza</a>]<br />
<br />
<h3>
#5 Mwangalie machoni.</h3>
Ushamfikia huyu mwanamke. Kitu ambacho kinafuatia ni lazima uonyeshe ujasiri. Na ujasiri wako utaonekana pale ambapo utamwangalia huyu mwanamke machoni. Ukiwa unaanza mazungumzo na yeye, haupaswi kuangalia upande ama kuangalia chini.<br />
<br />
<h3>
#6 Tumia ishara za mikono. </h3>
Kutumia mikono yako mara kwa mara kuashiria kitu ama jambo fulani kunakupa ujasiri wa ghafla. Pia matumizi ya ishara hizi husaidia kusisitiza jambo fulani kando na kuwa inakupatia utulivu wakati mazungumzo yenu yanaendelea. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/05/kutongoza-kutumia-mwili-body-language.html">Jinsi ya kutongoza wanawake kwa kutumia mwili</a>]<br />
<br />
<h3>
#7 Zingatia himaya yako.</h3>
Himaya yako ni ile sehemu ambayo unakuwa umeimiliki wakati mnaongea. Ukiwa umejifinya kwa kuchukua nafasi ndogo zaidi basi mafanikio yako kwa huyu mwanamke pia huwa finyu. Mfano kama unaongea na huyu mwanamke mkiwa kati kochi, halafu wewe umejifinya kwa kujiweka mwisho kabisa na kuchukua nafasi kidogo basi mwanamke unayeongea naye atakuona muoga.<br />
<br />
Pia kwa kuwa wewe na huyu mwanamke mumekutana mara ya kwanza, hupaswi kujionyesha wewe ni wewe. Hivyo unachohitajika kufanya ni kuchukua nafasi tu ile ya kawaida wakati mnazungumza.<br />
<br />
<h3>
#8 Tumia sauti na lugha inayofaa.</h3>
Ukiongea kwa sauti kubwa na mwanamke basi utampa ishara ya kuwa wewe ni duko, yaani masikio yako ni mazito. Ukiongea haraka haraka atakuona wewe ni fala. Pia ukiongea kwa sauti laini atakuona wewe hujakomaa na hufanani na mwanaume thabiti. So hapa lazima ujifundishe jinsi ya kuongea na mwanamke vile inavyotakikana.<br />
<br />
Hali kadhalika, matumizi ya lugha yako ni muhimu. Usitumie lugha ya kudhalilisha mtu, usitumie matusi, usitumie lugha ya uchafu. Yaani hapa lazima uwe mstaarabu kwa kuwa ni mara ya kwanza kwako kuongea na huyu mwanamke. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2018/05/maneno-14-ambayo-mwanamke-anatamani.html">Maneno matamu ambayo mwanamke angependa umwambie</a>]<br />
<br />
<h3>
#9 Msifu. </h3>
Hapa Nesi Mapenzi huwa mara nyingi hatukosi kutoa point ya kumsifu mwanamke. Hii ni mbinu moja wapo ya kumfanya mwanamke ajiskie huru na kujiona kuwa angalau ameweza kumzuzua mwanaume. Kujipodoa lisaa lizima asubuhi hakuji hivi hivi!<br />
<br />
<h3>
#10 Ingiza ucheshi ndani ya mazungumzo.</h3>
Wakati unaendelea kuongea na mwanamke huyu, hakikisha ya kuwa unaingiza ucheshi ndani ya mazungumzo yako. Hii ni muhimu kwa kuwa wanawake huvutiwa na wanaume ambao ni wacheshi.<br />
<br />
<h3>
#11 Jitoe katika mazungumzo kistadi.</h3>
Ok, huwezi kuzungumza na mwanamke milele. Lazima itafikia wakati utahitajika kujitoa ili kuendelea na shughuli nyingine. Ukiona kuwa mazungumzo yenu yamefikia kiwango cha kuwa munaenda zaidi ya dakika moja bila mmoja wenu kuongea basi ni bora zaidi kujiondoa.<br />
<br />
Well, hizi ndizo hatua ambazo zinahitajika kuchukiliwa wakati ambapo unataka kuzungumza na mwanamke. Hakikisha kila moja ya hatua hizi unazichukua ili kufanikisha mpango mzima wa kufanikisha mazungumzo yenu. Halafu kabla sijasahau...usitoke hivi hivi bila kuchukua namba yake ya simu. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/08/mbinu-5-tofauti-za-kumwomba-mwanamke.html">Njia 5 tofauti za kuchukua namba kutoka kwa mwanamke</a>]<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-3140279350472968768.post-34025896485552634312023-04-23T11:21:00.000+03:002023-04-23T11:21:48.970+03:00Jinsi Ya Kumfanya Mwanamke Atabasamu Na Apende Kuwa Na Wewe Wakati Wote<br />
Kama tunataka kutongoza mwanamke, kuwafurahisha ama wajiskie huru mbele zetu huwa tunatumia mbinu ya kuwafanya watabasamu. Kutabasamu ni njia moja wapo ya kuondoa misongo ya mawazo, uchovu, na hata kuondoa uzee. Ndio maana wazungu walikuja na ule msemo wa laughter is the best medicine.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwvpVMCngRpQP_vlFtW44Xx4ReW4O98yM0X-YnS-Jir-3CL38Uv-e8bATd6UfCERqD0u3V8Qw10402m5YGv9_ISiKJex2IylAuCccCDJ-8wL6MlVTvS7cAx3TEA2kN4p5q1bQoQB3bnh8/s1600/Screenshot_2019-01-20-13-25-34-194_com.miui.gallery.png" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" data-original-height="344" data-original-width="720" height="152" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwvpVMCngRpQP_vlFtW44Xx4ReW4O98yM0X-YnS-Jir-3CL38Uv-e8bATd6UfCERqD0u3V8Qw10402m5YGv9_ISiKJex2IylAuCccCDJ-8wL6MlVTvS7cAx3TEA2kN4p5q1bQoQB3bnh8/s320/Screenshot_2019-01-20-13-25-34-194_com.miui.gallery.png" width="320" /></a></div>
<br />
Kabla hatujaingia katika swala la jinsi ya kumfanya mwanamke atabasamu, lazima tufahamu ya kuwa kuna tofauti kati ya kutabasamu na kucheka. Kucheka ni pale ambapo utakuja na mizaha ya zee comedy ili mwanamke acheke ilhali kumfanya mwanamke atabasabu utakuja na mbinu ambazo tutakueleza muda mfupi.<br />
<br />
Tukija katika swala la kumfanya mwanamke atabasamu lazma ufahamu kuwa hauhitaji kufikiria sana. Lazima uwe natural. Sababu pindi utakapoanza kufikiria mbinu za kutumia kumfanya mwanamke atabasamu basi atakugundua. Hivyo la kufanya ni kuhakikisha unapumua vizuri na unatumia mbinu za kujiamini. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/njia-nne-za-kufanya-ili-uongeze.html">Jinsi ya kujiamini</a>]<br />
<br />
<h3>
#1 Mpogeze.</h3>
Hii ni mbinu inayotumika sana na bado inafanya kazi. Lakini kabla hujatamka neno unapaswa kuanza na tabasamu. Weka tabasamu na umwambie maneno kama, “Wow! Leo unaonekana mrembo sana.” Ama unaweza kumwambia, “Hii nguo uliovaa leo imekupendeza sana”<br />
<br />
Maneno kama haya hujayapangia, yanakuja yenyewe kulingana na mandhari ambayo mko. Mbinu hii ambayo imekuwa ikitumika tangu zamani hufanya kazi vizuri.<br />
<br />
<h3>
#2 Mnunulie kitu.</h3>
Hapa unafahamu ya kuwa lengo letu ni kumfanya mwanamke atabasamu na wala si kumtongoza. Kama unataka kumtongoza awe mpenzi wako ingia <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/05/jinsi-ya-kutongoza-kama-bingwa-kwa-wale.html">hapa</a>. Ok, tukirudia kwa hoja yetu ni kuwa mwanamke huyu haimaanishi kuwa unapaswa kumnunulia zawadi, la. Hapa namaanisha unamnunulia kitu kama vile mumeenda klabu ukamnunulia kinywaji ama umeenda kwa mkahawa ukamnunulia vibanzi, chokoleti na kadhalika. Hii ni njia murua ya kumfanya atabasamu.<br />
<br />
<h3>
#3 Msaidie.</h3>
Huku ni kumsaidia pale ambapo anashindwa kufanya ama anahitaji msaada. Hii ni kuanzia kama anataka usaidizi wa kubebewa mizigo kwa gari, kumtengenezea aeaeri yake ya tv, kumsaidia kupiga picha akiwa na marafiki zake. Kiufupi ni yale mambo madogo madogo tu. Si lazima ufanye jambo la kuchekesha ndipo umwone mwanamke atabasamu.<br />
<br />
<h3>
#4 Shika macho yake.</h3>
Kumsuka mwanamke kwa kutumia macho kunatambulika kama mbinu fioa ya kutongoza mwanamke. Mbinu hii pia inakuwa na uwezo mkubwa wa kumfanya mwanamke atabasamu. Ukijifundisha mbinu za kutongoza kwa kutumia mwanamke itakuwa silaha kubwa katika nyaja ya utongozaji. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/njia-10-mbadala-za-kutongoza-kwa-macho.html">Jinsi ya kutongoza kwa kutumia macho</a>]<br />
<br />
Mbinu hii unaweza kuitumia katika klabu, hotelini ama kwa chumba tu. Kile unachohitajika nikuangalia macho yake kwa sekunde tatu halafu uangalie kando. Fanya hivi kwa muda wa kama dakika kumi na tano hivi na mwishowe unaona amekuwa interested na wewe na zaidi utamfanya atabasamu.<br />
<br />
<h3>
#5 Tafuta mwanya mowote ili ujitolee kwake.</h3>
Unaweza usipate nafasi ya kumsaidia na kitu, lakini kuna watu wengine wengi katika hii dunia. So mahali popote pale ulipo, makinika kutafuta mwanamke ambaye atakuwa anatatizika kufanya jambo. Hii pia itakusaidia pakuu kuondoa uoga wakati ambapo itafika ule wakati wa kuapproach mwanamke kumtongoza. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/06/toa-uoga-wa-kuapproach-mwanamke-na.html">Hatua za kuondoa uoga wa kuapproach wanawake</a>]<br />
<br />
<h3>
#6 Mwambie kuwa anafaa.</h3>
Well, hapa utamweleza anafaa kwa njia gani. Hii itategemea na vile ambavyo unamchukulia mwanamke huyu. Unaweza kuwa mumetoka matembezi na mumefurahia hadi jioni. Halafu wakati mnaagana unamwambia, “Wewe unafaa” Maneno haya bila shaka yatamfanya atabasamu.<br />
<br />
<h3>
#7 Kuwa gentleman. </h3>
Kuwa gentleman ni kama vile ambavyo tumeeleza katika hoja ya #3. Gentle ni tabia za utu ambazo wanawake wengi hupenda. Ukimfungulia mlango, kumsaidia kuvuta kiti akae ni baadhi ya tabia za gentleman. Wanawake bila shaka watatabasamu ukiwa na tabia kama hizi.<br />
<br />
<h3>
#8 Kuwa romantic. </h3>
Kando na kuwa gentleman, unafaa kuwa romantic muda wote ambao mtakuwa pamoja. Kuonyesha kuwa romantic ni pale ambapo unamwita katika mazingira ambayo kuna mishumaa, maua, chokoleti na kadhalika. Vitu hivi kwa mwanamke hufanya kazi sana.<br />
<br />
Pia unaweza kudance na yeye. Weka nyimbo ya kimahaba katika simu yako na uanze kudance na yeye polepole bila kukurupuka.<br />
<br />
<h3>
#9 Mshike mkono.</h3>
Wakati mnakutana na wazazi wake ama wazazi wetu ama kuwa katika hali ya wasiwasi, unaweza kuukaza mkono wake pole pole. Kufanya hivi kunakuwa na maana nzito ajabu. Hii ni ishara ya kumuonyesha kuwa ‘ijapokuwa hatuwezi kuongea sahizi, niko na wewe na wala siwezi kukuacha’<br />
<br />
Finally ni kuwa kumfanya mwanamke atabasamu lazima ile hatua ya kwanza ni kumfanya ajihisi vizuri. Baada ya hapo, chochote kinaweza kufanyika. Hii ni mbinu mora zaidi ya kuanza mahusiano mazuri na mwanamke. [Soma: <a href="https://www.nesimapenzi.com/2015/03/jinsi-ya-kumfanya-mwanamke-acheke.html">Jinsi ya kumfanya mwanamke acheke</a>]<div class="blogger-post-footer"><br/><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi">PAKUA APP YETU MPYA YA NESI MAPENZI</a><div style="text-align: center;"><a href="https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mapenzi.nesi" target="_blank"><img border="0" data-original-height="720" data-original-width="300" height="250" src="https://1.bp.blogspot.com/-nhYMsZ_t9bQ/X934H8sppVI/AAAAAAAAT6Q/eq5ncj0-SRIsvugW8O1CiTchQDpzMwlygCLcBGAsYHQ/w320-h267/PicsArt_12-19-03.07.49.jpg" width="320" /></a></div></div>Unknownnoreply@blogger.com0